Nani anamfadhili Luhaga Mpina? aweka mawakili 100 kupambana na CCM na serikali, haipungui bilioni moja. Anapinga sukari kushuka kutoka 5000 mpaka 2300

Nani anamfadhili Luhaga Mpina? aweka mawakili 100 kupambana na CCM na serikali, haipungui bilioni moja. Anapinga sukari kushuka kutoka 5000 mpaka 2300

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Mawakili 100, kwa walau shilingi million kumi kwa wakili, ni takribani bilioni moja. Mpina kazitoa wapi? Nani anamfadhili? Na kwa nini anasumbua viongozi na mambo yake, mpaka anawanyima muda wa kutekeleza ilani na kuhudumia wananchi?.

Yaani Mpina anachukia watanzania wakinunua sukari kwa bei rahisi, alitaka wanunue hata kwa elfu kumi? Huyu mzalendo kweli?

Kwa nini Mpina amechukia watanzania kununua sukari kwa bei rahisi? Kwa sababu anamiliki mashamba ya miwa huko Morogoro?

Hata suala la ngombe, alikuwa anataifisha ngombe za watu, baadae anazichukua yeye. Aka wa anazilisha kwenye hifadhi, zikakamatwa, sasa anajifichia kwenye majina ya wafugaji, kumbe anapigania ngombe zake alizokuwa anadhulumu wafugaji.

Mpina hufika mahakamani na mavazi yaliyoshonwa kama ya wanachadema. Wana kisesa wanaona jinsi mbunge wao anavyowatia aibu. CCM Shinyanga, mpira ukirudi kwa kipa, mnajua cha kufanya.
 
U CHAWA ni kazi ya hovyo sana.
U CHAWA na uongo ni kama mdomo na mate.

Wengi wa hao mawakili wamejitolea tu bure kumtetea Mpina kwa uonevu wa Tulia kumsimamisha asihudhurie vikao 15 bungeni.

Mpina pia amefungua kesi ya Kikatiba akipinga uamuzi wa Waziri wa Kilimo kutoa vibali vya ununuzi wa sukari kwa kampuni ambazo hazimiliki viwanda..
 
Mawakili 100, kwa walau shilingi million kumi kwa wakili, ni takribani bilioni moja. Mpina kazitoa wapi? Nani anamfadhili? Na kwa nini anasumbua viongozi na mambo yake, mpaka anawanyima muda wa kutekeleza ilani na kuhudumia wananchi?.

Yaani Mpina anachukia watanzania wakinunua sukari kwa bei rahisi, alitaka wanunue hata kwa elfu kumi? Huyu mzalendo kweli?

Kwa nini Mpina amechukia watanzania kununua sukari kwa bei rahisi? Kwa sababu anamiliki mashamba ya miwa huko Morogoro?

Hata suala la ngombe, alikuwa anataifisha ngombe za watu, baadae anazichukua yeye. Aka wa anazilisha kwenye hifadhi, zikakamatwa, sasa anajifichia kwenye majina ya wafugaji, kumbe anapigania ngombe zake alizokuwa anadhulumu wafugaji.

Wana kisesa wanaona jinsi mbunge wao anavyowatia aibu. CCM Shinyanga, mpira ukirudi kwa kipa, mnajua cha kufanya.
Kwanini asiachwe apiganie haki yake kuliko bunge na spika wake kutetea uhuni wa waziri!
 
Mawakili 100, kwa walau shilingi million kumi kwa wakili, ni takribani bilioni moja. Mpina kazitoa wapi? Nani anamfadhili? Na kwa nini anasumbua viongozi na mambo yake, mpaka anawanyima muda wa kutekeleza ilani na kuhudumia wananchi?.

Yaani Mpina anachukia watanzania wakinunua sukari kwa bei rahisi, alitaka wanunue hata kwa elfu kumi? Huyu mzalendo kweli?

Kwa nini Mpina amechukia watanzania kununua sukari kwa bei rahisi? Kwa sababu anamiliki mashamba ya miwa huko Morogoro?

Hata suala la ngombe, alikuwa anataifisha ngombe za watu, baadae anazichukua yeye. Aka wa anazilisha kwenye hifadhi, zikakamatwa, sasa anajifichia kwenye majina ya wafugaji, kumbe anapigania ngombe zake alizokuwa anadhulumu wafugaji.

Mpina hufika mahakamani na magazine yaliyoshonwa kama ya wanachadema. Wana kisesa wanaona jinsi mbunge wao anavyowatia aibu. CCM Shinyanga, mpira ukirudi kwa kipa, mnajua cha kufanya.
Kuna siku mtakuja hapa jukwaani kumtusi samia
 
Mawakili 100, kwa walau shilingi million kumi kwa wakili, ni takribani bilioni moja. Mpina kazitoa wapi? Nani anamfadhili? Na kwa nini anasumbua viongozi na mambo yake, mpaka anawanyima muda wa kutekeleza ilani na kuhudumia wananchi?.

Yaani Mpina anachukia watanzania wakinunua sukari kwa bei rahisi, alitaka wanunue hata kwa elfu kumi? Huyu mzalendo kweli?

Kwa nini Mpina amechukia watanzania kununua sukari kwa bei rahisi? Kwa sababu anamiliki mashamba ya miwa huko Morogoro?

Hata suala la ngombe, alikuwa anataifisha ngombe za watu, baadae anazichukua yeye. Aka wa anazilisha kwenye hifadhi, zikakamatwa, sasa anajifichia kwenye majina ya wafugaji, kumbe anapigania ngombe zake alizokuwa anadhulumu wafugaji.

Mpina hufika mahakamani na magazine yaliyoshonwa kama ya wanachadema. Wana kisesa wanaona jinsi mbunge wao anavyowatia aibu. CCM Shinyanga, mpira ukirudi kwa kipa, mnajua cha kufanya.
Kwa mbunge tsh 1 billion ni pesa ndogo sana 😂
 
Mawakili 100, kwa walau shilingi million kumi kwa wakili, ni takribani bilioni moja. Mpina kazitoa wapi? Nani anamfadhili? Na kwa nini anasumbua viongozi na mambo yake, mpaka anawanyima muda wa kutekeleza ilani na kuhudumia wananchi?.

Yaani Mpina anachukia watanzania wakinunua sukari kwa bei rahisi, alitaka wanunue hata kwa elfu kumi? Huyu mzalendo kweli?

Kwa nini Mpina amechukia watanzania kununua sukari kwa bei rahisi? Kwa sababu anamiliki mashamba ya miwa huko Morogoro?

Hata suala la ngombe, alikuwa anataifisha ngombe za watu, baadae anazichukua yeye. Aka wa anazilisha kwenye hifadhi, zikakamatwa, sasa anajifichia kwenye majina ya wafugaji, kumbe anapigania ngombe zake alizokuwa anadhulumu wafugaji.

Mpina hufika mahakamani na magazine yaliyoshonwa kama ya wanachadema. Wana kisesa wanaona jinsi mbunge wao anavyowatia aibu. CCM Shinyanga, mpira ukirudi kwa kipa, mnajua cha kufanya.
Inachekesha. 😅😅😅

Mawakili 100 kwa ajili ya nini? Hata wangekuwa 10 ingekuwa maigizo tu.
 
Hata kama CCM na serikali wamekosea maadamu tunanunua sukari kwa 2000/-huku nanjilinji ...tunaunga mkono serikali na mpina afukuzwe ...
Kwasababu mwisho wa siku mwananchi wa kawaida nae ale matunda ya nchi yake..
 
Hata kama CCM na serikali wamekosea maadamu tunanunua sukari kwa 2000/-huku nanjilinji ...tunaunga mkono serikali na mpina afukuzwe ...
Kwasababu mwisho wa siku mwananchi wa kawaida nae ale matunda ya nchi yake..
Eeh, ni kweli
 
U CHAWA ni kazi ya hovyo sana.
U CHAWA na uongo ni kama mdomo na mate.

Wengi wa hao mawakili wamejitolea tu bure kumtetea Mpina kwa uonevu wa Tulia kumsimamisha asihudhurie vikao 15 bungeni.

Mpina pia amefungua kesi ya Kikatiba akipinga uamuzi wa Waziri wa Kilimo kutoa vibali vya ununuzi wa sukari kwa kampuni ambazo hazimiliki viwanda..
Hakuna uongo hapo
 
Wakati we unahoji hivyo,wao Bashe na Mpina wam3piga picha ya Pamoja wakisema siasa wanawekabpembeni wanawahudumia wananchi.
 
Mawakili 100, kwa walau shilingi million kumi kwa wakili, ni takribani bilioni moja. Mpina kazitoa wapi? Nani anamfadhili? Na kwa nini anasumbua viongozi na mambo yake, mpaka anawanyima muda wa kutekeleza ilani na kuhudumia wananchi?.

Yaani Mpina anachukia watanzania wakinunua sukari kwa bei rahisi, alitaka wanunue hata kwa elfu kumi? Huyu mzalendo kweli?

Kwa nini Mpina amechukia watanzania kununua sukari kwa bei rahisi? Kwa sababu anamiliki mashamba ya miwa huko Morogoro?

Hata suala la ngombe, alikuwa anataifisha ngombe za watu, baadae anazichukua yeye. Aka wa anazilisha kwenye hifadhi, zikakamatwa, sasa anajifichia kwenye majina ya wafugaji, kumbe anapigania ngombe zake alizokuwa anadhulumu wafugaji.

Mpina hufika mahakamani na mavazi yaliyoshonwa kama ya wanachadema. Wana kisesa wanaona jinsi mbunge wao anavyowatia aibu. CCM Shinyanga, mpira ukirudi kwa kipa, mnajua cha kufanya.
Nini kilipandisha bei ya sukari wakati huo na nini kinalazimisha bei ishuke sasa
 
Back
Top Bottom