Nani anamfadhili Luhaga Mpina? aweka mawakili 100 kupambana na CCM na serikali, haipungui bilioni moja. Anapinga sukari kushuka kutoka 5000 mpaka 2300

Hata kama CCM na serikali wamekosea maadamu tunanunua sukari kwa 2000/-huku nanjilinji ...tunaunga mkono serikali na mpina afukuzwe ...
Kwasababu mwisho wa siku mwananchi wa kawaida nae ale matunda ya nchi yake..
wapi huko sukari 2000
 
Hiyo sukari ya 2300 inauzwa duka gani mkuu. Sijanywa chai mwaka sasa kisa bei ya sukari.
 
Hivi huwa mnatoa wapi nguvu za kuandika upumbavu km huu kutetea uovu wa serikali.. ikiingia madarakani serikali yenye uchungu na rasilimali za nchi wewe mtoa post unastahili kitanzi ww na familia yako kwa kushiba fedha ya uchawa.
 
Tunaoelewa maana ya "cartel" huwa hatupati shida kuelewa hayo.

Mradi serikali inawafahamu wote walio nyuma ya mpina, hatuna wasiwasi.
 
inatakiwa ishuke zaidi
 
Unaweza ukanibishia ... Ila ukweli ni kwamba ,Uwezo wa mtu wa kutoa Hoja, Huwa ni indicator ya Maendeleo ya akili yake .

Wewe ni Mjinga, kama unabisha tuweke hapa Vyeti vyetu vya kitaaluma Mimi Nawewe kuanzia kidato Cha Nne mpaka chuo kikuu.
 
Tatizo ni hoja zake ama kwa kua kagusa chama chakavu?
 
Unaweza ukanibishia ... Ila ukweli ni kwamba ,Uwezo wa mtu wa kutoa Hoja, Huwa ni indicator ya Maendeleo ya akili yake .

Wewe ni Mjinga, kama unabisha tuweke hapa Vyeti vyetu vya kitaaluma Mimi Nawewe kuanzia kidato Cha Nne mpaka chuo kikuu.
Mjinga maana yake nini, na inahusiana vipi na vyeti? Unaweza kusomea Finance, lakini ukawa hujui civil engineering, na kwa kuwa hujui civil engineering, wewe ni mjinga katika civil engineering.

Hivi vyeti vyako vya kuvua nguo za ndani ili upewe maksi ndio vya kutambia? Kwanza vya chuo gani? Vile vyuo viikuu ambavyo ni form six zIlizochangamka? Research mnafanyiwa mitaani pamoja na assignment? Mwalimu "unamuona" Ili akupe maksi nzuri?

Vile vyuo vyenye majengo kama madarasa ya shule ya msingi Nanjilinji au Ihayabuyaga?
 
Naona na wewe unatumika kuitetea serkali hii iliyokosa mwelekeo...Mpina yuko sahihi %99.99
 
Wauza Sukari na wanaosimamia sukari Tanzania wametengeza mazingira ya Sukari ionekane ni bidhaa adimu sana na bei yake iwe inapanda kila mwaka wanapoamua wakati Eswatin tu hapo wanachoma Sukari iliyopita muda wa matumizi ila Tanzania wanatengeneza mazingira mpaka viwanda vipo kwenye hii ishu ya kitapeli kwa Watanzania kama kweli Tanzania sukari ni tatizo waruhusu kila mtu alete kutoka Malawi au Zambia hicho kitu hakiwezekani kwa sababu ni biashara ya watu wachache sana Mpina ana hoja sema anaowapambania hawajitambui kabisa.
 
Mpina ni tapeli na anatumika na majangili wa sekta ya sukari. Bahati nzuri Bashe amejiapiza kuyabomoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…