Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hicho huwa kiburi cha Wanawake wote hasa Wanapofanikiwa, huwa wanataka neno lao liwe Alpha na Omega.Mama uwezo na upeo wake mdogo ndio unamuhujumu..kuna wakati anaongea kama kuwatisha wanaume au kushindana nao wasimuone ye mwanamke..
Ilitakiwa afuate kanuni tu bila kuwatisha kina kassim kama wakati ule alipomsema hadharani kuwa kassim na wenzio mlisema mi rais wa mpito..
Matokeo yake hata mtashindwa kumshauri au kumuelekeza..maana mtahisi ataona mnafanya hivyo sababu yeye ni mwanamke..Mwisho wa siku mnamkubalia kila anachoagiza.
Maana likiharibika inabaki kuwa mwenyewe ndio alisema au alitaka hivyo.
Mama ana kiburi fulani na dharau fulani ya madaraka..we mchunguze.
Kuhusu huyo PM kuna tetesi zinasema Mama anataka kumpiga chini kabla au baada ya 2025, na mbadala wake awe yule Waziri ambaye mdogo wake naye ni Mbunge.
Uwezo wake wa kupambanua mambo unaweza usiwe mkubwa lakini si ana washauri, awape nafasi hao wamsaidie.