Nani anamhujumu Rais Samia?

Hicho huwa kiburi cha Wanawake wote hasa Wanapofanikiwa, huwa wanataka neno lao liwe Alpha na Omega.

Kuhusu huyo PM kuna tetesi zinasema Mama anataka kumpiga chini kabla au baada ya 2025, na mbadala wake awe yule Waziri ambaye mdogo wake naye ni Mbunge.

Uwezo wake wa kupambanua mambo unaweza usiwe mkubwa lakini si ana washauri, awape nafasi hao wamsaidie.
 
Huenda tatizo ni uwezo hafifu wa akili zetu wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…