Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,187
- 4,857
Au nayeye alikuwa anaabudu dini ya mashetaniHuyu mwam
Huyu mwamba alitaka kuleta mapinduzi makubwa kwenye bongofleva,alitoka ulaya akaja nchini kuwekeza,lengo ilikuwa kuwainua wengine,naweza kusema kwa ujuzi wa mziki,na kuwa na mkwanja mrefu,ndio Diamond wa kipindi kile 2000,
Tofauti kubwa iliyopo na kina Mond wa leo,ni kwamba Hawa wasasa wanapiga hela ndeefu,wanamafanikio makubwa,lakini hawana nia Wala hawataki kuuinua mziki na wasanii wengine,wasasa wanapiga one man show,wawe na hela,Dunia iwatambue,wakifa leo,hawaachi chochote
Mi Kuna jamaa tumezaliwa wote 1990,, Yeye ana miaka 26 Mimi 31,nilipo muhoji kwanin hatupo sawa...hilo swala langu ila Yeye anajua ana 26 kazaliwa 1990Nachojiuliza enzi hizo huyu Elizabeth Michael tayari alishakuwa muigizaji ingawa alikuwa bado mdogok kidogo tulikuwa tunalingana umri. Ila nashangaa huyu Lulu yeye mpaka leo yupo under 25 nimeshampiga gap kubwa la age sasa sijui mwenzangu anakua kurudi nyuma
Duh inashangaza mkuuMi Kuna jamaa tumezaliwa wote 1990,, Yeye ana miaka 26 Mimi 31,nilipo muhoji kwanin hatupo sawa...hilo swala langu ila Yeye anajua ana 26 kazaliwa 1990
😂😂😂😂😂mkuu bhana umenifurahishaHalafu nikisikia hivi vitoto vilamba midomo vikisema mziki wameutoa mbali, maaanina zao huwa nataman niwatoe roho..
Jamaa aliingia miziki ya kiroboto,
Ukifatilia ile ajari ya gari utagundua kiroboto alitumia mbinu mbadala
Juma nature hana hamu nae hadi akatunga wimbo wa inauma sana
Cj massive....
"Hasira za nini wee bwana, wataka kuniua bure bwana. Yule si wako nami si wangu chukuli ya nini kati yangu mimi na wewe...sina makosaaa..."
[emoji23][emoji23][emoji23] alitoa remix mkuuHuyu sio Less Wanyika kweli mkuu ??
[emoji23][emoji23][emoji23] alitoa remix mkuu
Jamaa alishaimba nyimbo na Koffii na Madilu System kitambo sana.Alitoa ngoma moja ilishika namba moja kwenye billboard kwa muda mrefu sana. Jamaa aliupeleka muziki wake kimataifa long time na ameomba na wasanii wakubwa muda mrefu sasa unakutana na hawa walamba midomo anasema ameupeleka muziki kimataifa unamuangalia unatamani kumkata makofi..
Ndio nani huyu mwamba?!Nakumba miaka 90 tunaishi maeneo ya Sinza au utapenda kusema Sinza kwa Wajanja.
Kulikuwa na baa maarufu sana kama Vatican City, Sangara na n.k
Ila sehemu hizo miziki ya James Dandu uwezi kukosa kusikia imepigwa.
Kama kile kibao kilichotamba sina makosa akiwa ana rap.
James Dandu baada kuishi nje sana Uswidi (Stockholm) alikuja na mziki ambao kama mtapata vibao vyake vilikuwa vya kipekee sana.
Alifariki 27 Agosti 2002, Dar es Salaam.
Kitu kama ajari ya gari hivi. Miaka 19 nimemkumbuka baada ya pita pita Youtube kuona nyimbo zake.
Aliacha mke na watoto wawili
Ila mke wake sijui yupo wapi siku hizi.
Hapo kwenye corus umesahau ukisema basi kwa heri utasikia hiyo kwaheri kwiyoo.
Tigo ilikua Buzz [emoji23][emoji23][emoji23]Stori kama izi ndo mtupigie sisi madogo zenu mana wengine wanajisahau wanajiita downtown kitambo wakati wamekuta celtel inaitwa airtel
Kulikua na mche wa sabuni fasheni kuning'iniza simu shingoniTigo ilikua Buzz [emoji23][emoji23][emoji23]
Buzz ilikuja baada ya mobitelWakati wa cool James mtoto wa dandu kulikuwa na mtandao wa simu unaitwa Tritel na huu wa tigo ulikuwa unaitwa buzz
Na kipind hicho vocha zilikua kuanzia 5000 mpaka 10000 zikiitwa dollar...hapo mtandao wa ttcl ndo ulikua umeweka call box nchi nzimaTigo ilikua Buzz [emoji23][emoji23][emoji23]
Daah! Ni kitambo..Na kipind hicho vocha zilikua kuanzia 5000 mpaka 10000 zikiitwa dollar...hapo mtandao wa ttcl ndo ulikua umeweka call box nchi nzima