Nani anamkumbuka msanii Ali Kiba?, Kwa sasa yupo wapi?

Nani anamkumbuka msanii Ali Kiba?, Kwa sasa yupo wapi?

Mnasema hamjamsikia muda mrefu wakat mnamwongelea sasa hivi???
 
Shilawadu At Work. Kuna Mtu Humu Alisema Aliyewaroga Waafrika Akatubu. Hata Km Ni Unazi Au Ushabiki Wa Mzk Umezd Du!
 
Hahahh aje rimix imechcha. Nasikia amepiga nyimbo Na chakachaka WA south Africa

USA anapiga raha na meneja wake so unajua meneja kawa demu siku hizi raha kwenda mbele
 
kiba yupo bongo bhana kila siku namuona anafanya mazoezi..!
 
Huyu demu Malaika kaamia US au alikuja kikazi by Kazi I mean kufanya show kwenye sebule za watu? Mwaka unaisha sasa bado yupo tu

Ila kazuri kanafaa kwa matumizi yule jamaa wa DMK atakua anafanya yake hapa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kashahamia huyo.alizinguana na sponsor wake wa bongo
 
Habari wakuu,

Ni kitambo sana msanii Ali Kiba hajasikika vinywani mwa watu, hajaonekana kwenye matukio yoyote na wala haandikwi kabisa na vyombo vya habari vya Tanzania, Afrika na hata dunia nzima.

Hata hapa JF nimejaribu kuangalia Jukwaa la ''Celebrities'' page ya KWANZA mpaka ya TANO hakuna mada inayomhusu moja kwa moja. Iliyopo kati ya Page hizo ni Kwanini Ali Kiba hataki bifu lake na Diamond liishe?.

Nilisikia ana show ulaya lakini sioni video wala picha mnato. Je, ni kwamba Show zimebuma mpaka anaogopa kuwaonesha mashabiki zake nini kinaendelea?

Mara ya mwisho katoa wimbo wa AJE na kaufanyia remix zaidi ya mbili, je ni kwamba kaishiwa utunzi?

[HASHTAG]#BringBackKingKiba[/HASHTAG]
yuko america anapiga show.
 
ukimya wa Ali una stua, kwanza ana mwaka sasa hajatoa wimbo wowote mpya, ila mashabiki wake utakuta wana mwita king, king gani ana kuwa anatega hivi?, jamaa ni mvivu kiaina. mashabiki wengi wa AK wamejikuta wakishadadia heka heka za Harmorappa kwa sasa. Ali hawatendei haki watu wanao mkubali kwa kukaa kimya hivi
NB: sina timu
king ni king
 
Halafu Mombasa haendi tena maana yule shoga ake ana kashfa ya vyeti so hawezi kuwa gavana tena.
 
Lazima muumie maana si kwa show anazozipiga! mwezi wa pili sasa anazunguka UK to USA mtaachaje kuumia? by the way wanunuzi wa chibu washafika 20? mpaka sasa?
51e5dc26a35abb0e6b23ffd2c58ad646.jpg
 
Back
Top Bottom