Hivyo ndio vifupisho vya Majina yake.Huyu demu Malaika kaamia US au alikuja kikazi by Kazi I mean kufanya show kwenye sebule za watu? Mwaka unaisha sasa bado yupo tu
Ila kazuri kanafaa kwa matumizi yule jamaa wa DMK atakua anafanya yake hapa
Usimsingizie ustadhi wa watu huyu kijana ni wa kiislamu mkuuSingle father wa kiwango cha hali ya juu! Atakuwa hatumii condoms huyu jamaa!
ZikojeSitaki kabisa kumbuka ugomvi wa mashabiki wake... Akili zao kama yeye...
Hivi kumbe ana show USA mm nikafikiri maisha clubLazima muumie maana si kwa show anazozipiga! mwezi wa pili sasa anazunguka UK to USA mtaachaje kuumia? by the way wanunuzi wa chibu washafika 20? mpaka sasa?
Like yours..Zikoje
hao ni wanunuzi au wapiga picha?!
Naskia abdu kiba anakuja na uchafu mwingine. Label ya kiba inaitwaje kwani?hao ni wanunuzi au wapiga picha?!
Naona mnajitekenya alafu mnaangua vicheko wenyewe.
Darasa alitoa wimbo ukabuma akaamua kuukana.vipi Darasa mnamsikia tena??
Picha ya zamani hii nadhani wakato anasajiliwa,aliongea lugha mbovu kidogo azimie.
Mkuu nimecheka kwa sauti sana,ilibakia kidogo nimwage bia yanguPicha ya zamani hii nadhani wakato anasajiliwa,aliongea lugha mbovu kidogo azimie.
Namtumia jina lako Dada mange kimambi akunyoosheKuna yule dada yake anaemchukia diamond yule wa marekani ambae anajifanya anapigania nchi atakuwa hajui alipo kweli?
Hahaaaa eti Dada Mange hahaaaaaaNamtumia jina lako Dada mange kimambi akunyooshe
sasa hapo ni kwenye show au maktaba