Nani anamkumbuka msanii Ali Kiba?, Kwa sasa yupo wapi?

Nani anamkumbuka msanii Ali Kiba?, Kwa sasa yupo wapi?

Attachments

  • IMG_3751.PNG
    IMG_3751.PNG
    878.7 KB · Views: 40
Si unajua yeye hatakag shobo kama hawa wanaotoa kila week halafu vnachacha?
Hao kina Rihhana wenyewe wanatoa nyimbo mbili ndani ya mwezi mmoja sembuse Alikiba?![emoji30]

Huko Nigeria kina Tekno kila mwezi wanaachia nyimbo,Davido anaachia nyimbo mbili siku moja
WIZKID Daddyo haijamaliza miezi miwili kashatoa na Drake!!halafuvwe unasemaje?!
 
Back
Top Bottom