Nani anamtuma Mchengerwa kazi ya kusimamisha watumishi kazi? Mbona huko wizara nyingine hakuwa anasimamisha watu kazi? Hizi tume zake anazilipaje?

Nani anamtuma Mchengerwa kazi ya kusimamisha watumishi kazi? Mbona huko wizara nyingine hakuwa anasimamisha watu kazi? Hizi tume zake anazilipaje?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Waziri kusimamisha watumishi kazi siyo ishara ya ufanisi bali ni ishara ya kushindwa kuwa mbunifu.

Mchengerwa anatoka wizarani kwenda kuwasimamisha kazi watumishi wakati huo wapo watumishi wanalipwa salary kwa ajili ya kusimamia miradi na matumizi ya fedha.

Wakuu wa Wilaya mbona wapo ofisini au kwa sababu wao ni Makada wa chama hakuna wakuwatumbua? Wakuu wa mikoa wanasubiri nini ofisini? Internal Audit office kwenye halmashauri zimeshindwa kufanya kazi?

Je hizi gharama Mchengerwa anazifanyia tathimini? Akiendelea na utaratibu huu kwa mwaka mmoja atakuwa amesababisha hasara kiasi gani kwa serikali? Je yeye atachunguzwa na nani kuhusu hasara aliyosababisha?

Najiuliza haya kwa sababu alipokuwa huko kwingine hakuwa na hii tabia ya tumbua tumbua; ameanza alipokabidhiwa watumishi. Kwanini hakuwa anatumbua akiwa hizo wizara nyingine? Kulikuwa hakuna Madudu?

Mawaziri wetu wawe wabunifu wafanye reform kwenye utumishi wa umma, waboreshe mazingira ya kazi; watengeneze mifumo yakuona wizi mapema siyo kusubiri imepita miaka. Ulaya hakunakutumbuana kwa sababu mifumo inafanya kazi.

Waziri kutumbua siyo kazi yako; umepewa wizara ufanye utafiti wa kitaalamu na kuweka mifumo yakudhibiti wizi na upotevu wa fedha.

Mnachofanya mawaziri nikutumia gharama kubwa kuzunguka ambazo hizo gharama mkizip3lkea kuimarisha mifumo hakutakuwepo na sababu ya ninyi kulipwa kuzunguka kutafuta 2akuwatumbua.
Waziri anatakiwa akiwa ofisini aone kila project kwenye eneo lake na apate reports zikiwa zimefanyiwa analysis siyo kutoka ofisini na Majungu kwenda mikoani.

Leo hakuna mahali Mhe. Mchengerwa ameweka wazi kwa watumishi wake nini malengo yake; dira yake ni ipi? Maono yake ni yapi?

Tunapokwenda Ulaya tujaribu kuiga japo mambo madogo madogo hasa umuhimu wa policy katika management zetu. Waziri anaweza akadhani anafanya kwafaidia kumbe analitia hasara Taifa.

Kwani waziri anashindwa nini kumpigia simu RC akamwambia maeneo yenye shida? Anashindwa nini kumjulisha mkurugenzi na kumpa alert? Utumbuaji always ni mfumo Wakuvizia watu wakosee...
 
Mhe. Waziri kusimamisha watumishi kazi siyo ishara ya ufanisi bali ni ishara ya kushindwa kuwa mbunifu.

Mhe. Mchengerwa anatoka wizarani kwenda kuwasimamisha kazi watumishi wakati huo wapo watumishi wanalipwa salary kwa ajili ya kusimamia miradi na matumizi ya fedha.

Wakuu wa Wilaya mbona wapo ofisini au kwa sababu wao ni Makada wa chama hakuna wakuwatumbua? Wakuu wa mikoa wanasubiri nini ofisini? Internal Audit office kwenye halmashauri zimeshindwa kufanya kazi?

Je hizi gharama Mchengerwa anazifanyia tathimini? Akiendelea na utaratibu huu kwa mwaka mmoja atakuwa amesababisha hasara kiasi gani kwa serikali? Je yeye atachunguzwa na nani kuhusu hasara aliyosababisha?

Najiuliza haya kwa sababu alipokuwa huko kwingine hakuwa na hii tabia ya tumbua tumbua; ameanza alipokabidhiwa watumishi. Kwanini hakuwa anatumbua akiwa hizo wizara nyingine? Kulikuwa hakuna Madudu?

Mawaziri wetu wawe wabunifu wafanye reform kwenye utumishi wa umma, waboreshe mazingira ya kazi; watengeneze mifumo yakuona wizi mapema siyo kusubiri imepita miaka. Ulaya hakunakutumbuana kwa sababu mifumo inafanya kazi.

Mhe. Waziri kutumbua siyo kazi yako; umepewa wizara ufanye utafiti wa kitaalamu na kuweka mifumo yakudhibiti wizi na upotevu wa fedha.

Mnachofanya mawaziri nikutumia gharama kubwa kuzunguka ambazo hizo gharama mkizip3lkea kuimarisha mifumo hakutakuwepo na sababu ya ninyi kulipwa kuzunguka kutafuta 2akuwatumbua.
Waziri anatakiwa akiwa ofisini aone kila project kwenye eneo lake na apate reports zikiwa zimefanyiwa analysis siyo kutoka ofisini na Majungu kwenda mikoani.

Leo hakuna mahali Mhe. Mchengerwa ameweka wazi kwa watumishi wake nini malengo yake; dira yake ni ipi? Maono yake ni yapi?

Tunapokwenda Ulaya tujaribu kuiga japo mambo madogo madogo hasa umuhimu wa policy katika management zetu. Waziri anaweza akadhani anafanya kwafaidia kumbe analitia hasara Taifa.

Kwani waziri anashindwa nini kumpigia simu RC akamwambia maeneo yenye shida? Anashindwa nini kumjulisha mkurugenzi na kumpa alert? Utumbuaji always ni mfumo Wakuvizia watu wakosee...
Mama mkwe
 
Kwa Sasa watumishi wa tamisemi wakiwemo wakuu wa mkoa wanamheshimu na kumwogopa waziri wa tamisemi. Licha ya wote kupokea maelekezo kutoka Kwa mmoja, lakini mkwe akishauri anasikikiza.


Waziri mchengerwa wapelekee moto mpaka maji Waite mozooo
 
Waziri kusimamisha watumishi kazi siyo ishara ya ufanisi bali ni ishara ya kushindwa kuwa mbunifu.

Mchengerwa anatoka wizarani kwenda kuwasimamisha kazi watumishi wakati huo wapo watumishi wanalipwa salary kwa ajili ya kusimamia miradi na matumizi ya fedha.

Wakuu wa Wilaya mbona wapo ofisini au kwa sababu wao ni Makada wa chama hakuna wakuwatumbua? Wakuu wa mikoa wanasubiri nini ofisini? Internal Audit office kwenye halmashauri zimeshindwa kufanya kazi?

Je hizi gharama Mchengerwa anazifanyia tathimini? Akiendelea na utaratibu huu kwa mwaka mmoja atakuwa amesababisha hasara kiasi gani kwa serikali? Je yeye atachunguzwa na nani kuhusu hasara aliyosababisha?

Najiuliza haya kwa sababu alipokuwa huko kwingine hakuwa na hii tabia ya tumbua tumbua; ameanza alipokabidhiwa watumishi. Kwanini hakuwa anatumbua akiwa hizo wizara nyingine? Kulikuwa hakuna Madudu?

Mawaziri wetu wawe wabunifu wafanye reform kwenye utumishi wa umma, waboreshe mazingira ya kazi; watengeneze mifumo yakuona wizi mapema siyo kusubiri imepita miaka. Ulaya hakunakutumbuana kwa sababu mifumo inafanya kazi.

Waziri kutumbua siyo kazi yako; umepewa wizara ufanye utafiti wa kitaalamu na kuweka mifumo yakudhibiti wizi na upotevu wa fedha.

Mnachofanya mawaziri nikutumia gharama kubwa kuzunguka ambazo hizo gharama mkizip3lkea kuimarisha mifumo hakutakuwepo na sababu ya ninyi kulipwa kuzunguka kutafuta 2akuwatumbua.
Waziri anatakiwa akiwa ofisini aone kila project kwenye eneo lake na apate reports zikiwa zimefanyiwa analysis siyo kutoka ofisini na Majungu kwenda mikoani.

Leo hakuna mahali Mhe. Mchengerwa ameweka wazi kwa watumishi wake nini malengo yake; dira yake ni ipi? Maono yake ni yapi?

Tunapokwenda Ulaya tujaribu kuiga japo mambo madogo madogo hasa umuhimu wa policy katika management zetu. Waziri anaweza akadhani anafanya kwafaidia kumbe analitia hasara Taifa.

Kwani waziri anashindwa nini kumpigia simu RC akamwambia maeneo yenye shida? Anashindwa nini kumjulisha mkurugenzi na kumpa alert? Utumbuaji always ni mfumo Wakuvizia watu wakosee...
Mama Mkwe alituambia kuwa amemteua Mkwewe kuingia TAMISEMI kwasababu ana kifua kipana.Hiyo ndiyo kazi ya kifua kipana,ubabe kwa kwenda mbele!!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Waziri kusimamisha watumishi kazi siyo ishara ya ufanisi bali ni ishara ya kushindwa kuwa mbunifu.

Mchengerwa anatoka wizarani kwenda kuwasimamisha kazi watumishi wakati huo wapo watumishi wanalipwa salary kwa ajili ya kusimamia miradi na matumizi ya fedha.

Wakuu wa Wilaya mbona wapo ofisini au kwa sababu wao ni Makada wa chama hakuna wakuwatumbua? Wakuu wa mikoa wanasubiri nini ofisini? Internal Audit office kwenye halmashauri zimeshindwa kufanya kazi?

Je hizi gharama Mchengerwa anazifanyia tathimini? Akiendelea na utaratibu huu kwa mwaka mmoja atakuwa amesababisha hasara kiasi gani kwa serikali? Je yeye atachunguzwa na nani kuhusu hasara aliyosababisha?

Najiuliza haya kwa sababu alipokuwa huko kwingine hakuwa na hii tabia ya tumbua tumbua; ameanza alipokabidhiwa watumishi. Kwanini hakuwa anatumbua akiwa hizo wizara nyingine? Kulikuwa hakuna Madudu?

Mawaziri wetu wawe wabunifu wafanye reform kwenye utumishi wa umma, waboreshe mazingira ya kazi; watengeneze mifumo yakuona wizi mapema siyo kusubiri imepita miaka. Ulaya hakunakutumbuana kwa sababu mifumo inafanya kazi.

Waziri kutumbua siyo kazi yako; umepewa wizara ufanye utafiti wa kitaalamu na kuweka mifumo yakudhibiti wizi na upotevu wa fedha.

Mnachofanya mawaziri nikutumia gharama kubwa kuzunguka ambazo hizo gharama mkizip3lkea kuimarisha mifumo hakutakuwepo na sababu ya ninyi kulipwa kuzunguka kutafuta 2akuwatumbua.
Waziri anatakiwa akiwa ofisini aone kila project kwenye eneo lake na apate reports zikiwa zimefanyiwa analysis siyo kutoka ofisini na Majungu kwenda mikoani.

Leo hakuna mahali Mhe. Mchengerwa ameweka wazi kwa watumishi wake nini malengo yake; dira yake ni ipi? Maono yake ni yapi?

Tunapokwenda Ulaya tujaribu kuiga japo mambo madogo madogo hasa umuhimu wa policy katika management zetu. Waziri anaweza akadhani anafanya kwafaidia kumbe analitia hasara Taifa.

Kwani waziri anashindwa nini kumpigia simu RC akamwambia maeneo yenye shida? Anashindwa nini kumjulisha mkurugenzi na kumpa alert? Utumbuaji always ni mfumo Wakuvizia watu wakosee...
Kuna kipindi wakati Mchengelwa akiwa wizara ya Utumishi na Utawala Bora wafanyakazi hususani waliopo chini ya wizara ya TAMISEMI (yaani maHalmashauri na sekretarieti za mikoa) walikuwa wakimsifia sana kuwa ni mtu ana huruma na utu sasa sijui saa hizi wanasemaje anavyowachinja kwa kuwatumbua tumbua
 
Kuna kipindi wakati Mchengelwa akiwa wizara ya Utumishi na Utawala Bora wafanyakazi hususani waliopo chini ya wizara ya TAMISEMI (yaani maHalmashauri na sekretarieti za mikoa) walikuwa wakimsifia sana kuwa ni mtu ana huruma na utu sasa sijui saa hizi wanasemaje anavyowachinja kwa kuwatumbua tumbua
Wanamsifia tena maradufu aendelee kuwageuzia kibra
 
Waziri kusimamisha watumishi kazi siyo ishara ya ufanisi bali ni ishara ya kushindwa kuwa mbunifu.

Mchengerwa anatoka wizarani kwenda kuwasimamisha kazi watumishi wakati huo wapo watumishi wanalipwa salary kwa ajili ya kusimamia miradi na matumizi ya fedha.

Wakuu wa Wilaya mbona wapo ofisini au kwa sababu wao ni Makada wa chama hakuna wakuwatumbua? Wakuu wa mikoa wanasubiri nini ofisini? Internal Audit office kwenye halmashauri zimeshindwa kufanya kazi?

Je hizi gharama Mchengerwa anazifanyia tathimini? Akiendelea na utaratibu huu kwa mwaka mmoja atakuwa amesababisha hasara kiasi gani kwa serikali? Je yeye atachunguzwa na nani kuhusu hasara aliyosababisha?

Najiuliza haya kwa sababu alipokuwa huko kwingine hakuwa na hii tabia ya tumbua tumbua; ameanza alipokabidhiwa watumishi. Kwanini hakuwa anatumbua akiwa hizo wizara nyingine? Kulikuwa hakuna Madudu?

Mawaziri wetu wawe wabunifu wafanye reform kwenye utumishi wa umma, waboreshe mazingira ya kazi; watengeneze mifumo yakuona wizi mapema siyo kusubiri imepita miaka. Ulaya hakunakutumbuana kwa sababu mifumo inafanya kazi.

Waziri kutumbua siyo kazi yako; umepewa wizara ufanye utafiti wa kitaalamu na kuweka mifumo yakudhibiti wizi na upotevu wa fedha.

Mnachofanya mawaziri nikutumia gharama kubwa kuzunguka ambazo hizo gharama mkizip3lkea kuimarisha mifumo hakutakuwepo na sababu ya ninyi kulipwa kuzunguka kutafuta 2akuwatumbua.
Waziri anatakiwa akiwa ofisini aone kila project kwenye eneo lake na apate reports zikiwa zimefanyiwa analysis siyo kutoka ofisini na Majungu kwenda mikoani.

Leo hakuna mahali Mhe. Mchengerwa ameweka wazi kwa watumishi wake nini malengo yake; dira yake ni ipi? Maono yake ni yapi?

Tunapokwenda Ulaya tujaribu kuiga japo mambo madogo madogo hasa umuhimu wa policy katika management zetu. Waziri anaweza akadhani anafanya kwafaidia kumbe analitia hasara Taifa.

Kwani waziri anashindwa nini kumpigia simu RC akamwambia maeneo yenye shida? Anashindwa nini kumjulisha mkurugenzi na kumpa alert? Utumbuaji always ni mfumo Wakuvizia watu wakosee...
Ukitaka kujua tabia ya mdengereko mpe cheo
 
Waziri kusimamisha watumishi kazi siyo ishara ya ufanisi bali ni ishara ya kushindwa kuwa mbunifu.

Mchengerwa anatoka wizarani kwenda kuwasimamisha kazi watumishi wakati huo wapo watumishi wanalipwa salary kwa ajili ya kusimamia miradi na matumizi ya fedha.

Wakuu wa Wilaya mbona wapo ofisini au kwa sababu wao ni Makada wa chama hakuna wakuwatumbua? Wakuu wa mikoa wanasubiri nini ofisini? Internal Audit office kwenye halmashauri zimeshindwa kufanya kazi?

Je hizi gharama Mchengerwa anazifanyia tathimini? Akiendelea na utaratibu huu kwa mwaka mmoja atakuwa amesababisha hasara kiasi gani kwa serikali? Je yeye atachunguzwa na nani kuhusu hasara aliyosababisha?

Najiuliza haya kwa sababu alipokuwa huko kwingine hakuwa na hii tabia ya tumbua tumbua; ameanza alipokabidhiwa watumishi. Kwanini hakuwa anatumbua akiwa hizo wizara nyingine? Kulikuwa hakuna Madudu?

Mawaziri wetu wawe wabunifu wafanye reform kwenye utumishi wa umma, waboreshe mazingira ya kazi; watengeneze mifumo yakuona wizi mapema siyo kusubiri imepita miaka. Ulaya hakunakutumbuana kwa sababu mifumo inafanya kazi.

Waziri kutumbua siyo kazi yako; umepewa wizara ufanye utafiti wa kitaalamu na kuweka mifumo yakudhibiti wizi na upotevu wa fedha.

Mnachofanya mawaziri nikutumia gharama kubwa kuzunguka ambazo hizo gharama mkizip3lkea kuimarisha mifumo hakutakuwepo na sababu ya ninyi kulipwa kuzunguka kutafuta 2akuwatumbua.
Waziri anatakiwa akiwa ofisini aone kila project kwenye eneo lake na apate reports zikiwa zimefanyiwa analysis siyo kutoka ofisini na Majungu kwenda mikoani.

Leo hakuna mahali Mhe. Mchengerwa ameweka wazi kwa watumishi wake nini malengo yake; dira yake ni ipi? Maono yake ni yapi?

Tunapokwenda Ulaya tujaribu kuiga japo mambo madogo madogo hasa umuhimu wa policy katika management zetu. Waziri anaweza akadhani anafanya kwafaidia kumbe analitia hasara Taifa.

Kwani waziri anashindwa nini kumpigia simu RC akamwambia maeneo yenye shida? Anashindwa nini kumjulisha mkurugenzi na kumpa alert? Utumbuaji always ni mfumo Wakuvizia watu wakosee...

Wizara aliyokuwepo haina mandate hiyo
 
Waziri kusimamisha watumishi kazi siyo ishara ya ufanisi bali ni ishara ya kushindwa kuwa mbunifu.

Mchengerwa anatoka wizarani kwenda kuwasimamisha kazi watumishi wakati huo wapo watumishi wanalipwa salary kwa ajili ya kusimamia miradi na matumizi ya fedha.

Wakuu wa Wilaya mbona wapo ofisini au kwa sababu wao ni Makada wa chama hakuna wakuwatumbua? Wakuu wa mikoa wanasubiri nini ofisini? Internal Audit office kwenye halmashauri zimeshindwa kufanya kazi?

Je hizi gharama Mchengerwa anazifanyia tathimini? Akiendelea na utaratibu huu kwa mwaka mmoja atakuwa amesababisha hasara kiasi gani kwa serikali? Je yeye atachunguzwa na nani kuhusu hasara aliyosababisha?

Najiuliza haya kwa sababu alipokuwa huko kwingine hakuwa na hii tabia ya tumbua tumbua; ameanza alipokabidhiwa watumishi. Kwanini hakuwa anatumbua akiwa hizo wizara nyingine? Kulikuwa hakuna Madudu?

Mawaziri wetu wawe wabunifu wafanye reform kwenye utumishi wa umma, waboreshe mazingira ya kazi; watengeneze mifumo yakuona wizi mapema siyo kusubiri imepita miaka. Ulaya hakunakutumbuana kwa sababu mifumo inafanya kazi.

Waziri kutumbua siyo kazi yako; umepewa wizara ufanye utafiti wa kitaalamu na kuweka mifumo yakudhibiti wizi na upotevu wa fedha.

Mnachofanya mawaziri nikutumia gharama kubwa kuzunguka ambazo hizo gharama mkizip3lkea kuimarisha mifumo hakutakuwepo na sababu ya ninyi kulipwa kuzunguka kutafuta 2akuwatumbua.
Waziri anatakiwa akiwa ofisini aone kila project kwenye eneo lake na apate reports zikiwa zimefanyiwa analysis siyo kutoka ofisini na Majungu kwenda mikoani.

Leo hakuna mahali Mhe. Mchengerwa ameweka wazi kwa watumishi wake nini malengo yake; dira yake ni ipi? Maono yake ni yapi?

Tunapokwenda Ulaya tujaribu kuiga japo mambo madogo madogo hasa umuhimu wa policy katika management zetu. Waziri anaweza akadhani anafanya kwafaidia kumbe analitia hasara Taifa.

Kwani waziri anashindwa nini kumpigia simu RC akamwambia maeneo yenye shida? Anashindwa nini kumjulisha mkurugenzi na kumpa alert? Utumbuaji always ni mfumo Wakuvizia watu wakosee...
Mchengera ni Waziri ambaye ameshindwa kudelivery kila anakopelekwa.

Damu nzito kuliko maji
 
Tukimweleza mapungufu itamsaidia kujikarabati; main objective ya waziri wa tamisemi nikuangaika na mifumo na maslahi ya watumishi kwenye local government

Waziri wa tamisemi siyo mteule wa watumishi kwenye local government;

Akiendelea kutumbua nikumpa kazi Mhe.Rais abaki kuteua kila siku; matokeo yake unaweza kukuta anatumbua asiowapenda aweke watu wake. Kila Kiongoz akitaka kuweka mtu wake pale alipo tutafika?
 
Waziri kusimamisha watumishi kazi siyo ishara ya ufanisi bali ni ishara ya kushindwa kuwa mbunifu.

Mchengerwa anatoka wizarani kwenda kuwasimamisha kazi watumishi wakati huo wapo watumishi wanalipwa salary kwa ajili ya kusimamia miradi na matumizi ya fedha.

Wakuu wa Wilaya mbona wapo ofisini au kwa sababu wao ni Makada wa chama hakuna wakuwatumbua? Wakuu wa mikoa wanasubiri nini ofisini? Internal Audit office kwenye halmashauri zimeshindwa kufanya kazi?

Je hizi gharama Mchengerwa anazifanyia tathimini? Akiendelea na utaratibu huu kwa mwaka mmoja atakuwa amesababisha hasara kiasi gani kwa serikali? Je yeye atachunguzwa na nani kuhusu hasara aliyosababisha?

Najiuliza haya kwa sababu alipokuwa huko kwingine hakuwa na hii tabia ya tumbua tumbua; ameanza alipokabidhiwa watumishi. Kwanini hakuwa anatumbua akiwa hizo wizara nyingine? Kulikuwa hakuna Madudu?

Mawaziri wetu wawe wabunifu wafanye reform kwenye utumishi wa umma, waboreshe mazingira ya kazi; watengeneze mifumo yakuona wizi mapema siyo kusubiri imepita miaka. Ulaya hakunakutumbuana kwa sababu mifumo inafanya kazi.

Waziri kutumbua siyo kazi yako; umepewa wizara ufanye utafiti wa kitaalamu na kuweka mifumo yakudhibiti wizi na upotevu wa fedha.

Mnachofanya mawaziri nikutumia gharama kubwa kuzunguka ambazo hizo gharama mkizip3lkea kuimarisha mifumo hakutakuwepo na sababu ya ninyi kulipwa kuzunguka kutafuta 2akuwatumbua.
Waziri anatakiwa akiwa ofisini aone kila project kwenye eneo lake na apate reports zikiwa zimefanyiwa analysis siyo kutoka ofisini na Majungu kwenda mikoani.

Leo hakuna mahali Mhe. Mchengerwa ameweka wazi kwa watumishi wake nini malengo yake; dira yake ni ipi? Maono yake ni yapi?

Tunapokwenda Ulaya tujaribu kuiga japo mambo madogo madogo hasa umuhimu wa policy katika management zetu. Waziri anaweza akadhani anafanya kwafaidia kumbe analitia hasara Taifa.

Kwani waziri anashindwa nini kumpigia simu RC akamwambia maeneo yenye shida? Anashindwa nini kumjulisha mkurugenzi na kumpa alert? Utumbuaji always ni mfumo Wakuvizia watu wakosee...
Kwanza iyo gari ya watu Ameisha irudisha
 
Nadhani tatizo,lipo kwenye mfumo wa uteuzi wa hao wakurugenzi, uteuzi unafanywa kisiasa badala ya kuangalia taaluma na weledi au uzoefu wa Majukumu wanayokabidhiwa.wewe kama siyo kada au mtu wa kitengo au uvccm,hata kama una sifa zote hizo ni vigumu kupata uteuzi.
Ushauri
Hizi nafasi za wakurugenzi wa halmashauri na majiji au Na Das na Ras ziwe zinatangazwa na watanzania wenye sifa wafanyiwe usaili na watakao faulu wafanyiwe vetting na taasisi husika, ndiyo wapelekwe kwenye Mamlaka ya uteuzi.Tanzania ya leo Ina vijana wengi tu, wenye taaluma mbalimbali na wenye uwezo mkubwa wa kuchapa kazi, lakini kwa kuwa hawajapewa fursa ya kuonyesha umahili wao, Serikali haiwajui. Kwa wale ambao watafaulu usaili wakakosa vituo vya kufanyia kazi, majina yao,yahifadhiwe kwenye kanzi data kwa ajili ya teuzi za mbeleni na wakati wanasubiri wanawekwa kwenye kata mbalimbali kujua changamoto za wananchi vijijini au wilaya.
 
Wakiachwa mnalalama, wakisimamishwa mnalalama

Eihhhhshh
Hapa ndio nashindwa kuwaelewa binadamu wa Tanzania. Jamaa hakufukuzi kazi, anakusimamisha then mamlaka yako ukuhoji ikiona una hatia wakupeleke mahakamani ulipe hasara ya watu sasa sijui hapo kuna ubaya gani?! Yawezekana wivu umezidi mpaka watu wanashindwa kung'amua lipi ni sahihi na lipi sio sahihi but all in all hapa ndio tulipofikia halafu unategemea mabadiliko kwenye nchi!!!
 
Waziri kusimamisha watumishi kazi siyo ishara ya ufanisi bali ni ishara ya kushindwa kuwa mbunifu.

Mchengerwa anatoka wizarani kwenda kuwasimamisha kazi watumishi wakati huo wapo watumishi wanalipwa salary kwa ajili ya kusimamia miradi na matumizi ya fedha.

Wakuu wa Wilaya mbona wapo ofisini au kwa sababu wao ni Makada wa chama hakuna wakuwatumbua? Wakuu wa mikoa wanasubiri nini ofisini? Internal Audit office kwenye halmashauri zimeshindwa kufanya kazi?

Je hizi gharama Mchengerwa anazifanyia tathimini? Akiendelea na utaratibu huu kwa mwaka mmoja atakuwa amesababisha hasara kiasi gani kwa serikali? Je yeye atachunguzwa na nani kuhusu hasara aliyosababisha?

Najiuliza haya kwa sababu alipokuwa huko kwingine hakuwa na hii tabia ya tumbua tumbua; ameanza alipokabidhiwa watumishi. Kwanini hakuwa anatumbua akiwa hizo wizara nyingine? Kulikuwa hakuna Madudu?

Mawaziri wetu wawe wabunifu wafanye reform kwenye utumishi wa umma, waboreshe mazingira ya kazi; watengeneze mifumo yakuona wizi mapema siyo kusubiri imepita miaka. Ulaya hakunakutumbuana kwa sababu mifumo inafanya kazi.

Waziri kutumbua siyo kazi yako; umepewa wizara ufanye utafiti wa kitaalamu na kuweka mifumo yakudhibiti wizi na upotevu wa fedha.

Mnachofanya mawaziri nikutumia gharama kubwa kuzunguka ambazo hizo gharama mkizip3lkea kuimarisha mifumo hakutakuwepo na sababu ya ninyi kulipwa kuzunguka kutafuta 2akuwatumbua.
Waziri anatakiwa akiwa ofisini aone kila project kwenye eneo lake na apate reports zikiwa zimefanyiwa analysis siyo kutoka ofisini na Majungu kwenda mikoani.

Leo hakuna mahali Mhe. Mchengerwa ameweka wazi kwa watumishi wake nini malengo yake; dira yake ni ipi? Maono yake ni yapi?

Tunapokwenda Ulaya tujaribu kuiga japo mambo madogo madogo hasa umuhimu wa policy katika management zetu. Waziri anaweza akadhani anafanya kwafaidia kumbe analitia hasara Taifa.

Kwani waziri anashindwa nini kumpigia simu RC akamwambia maeneo yenye shida? Anashindwa nini kumjulisha mkurugenzi na kumpa alert? Utumbuaji always ni mfumo Wakuvizia watu wakosee...
Kwa hiyo kwa kuwa umesimamishwa kwa ufisadi wako ndo maana unapiga kelele siyo?
 
Tukimweleza mapungufu itamsaidia kujikarabati; main objective ya waziri wa tamisemi nikuangaika na mifumo na maslahi ya watumishi kwenye local government

Waziri wa tamisemi siyo mteule wa watumishi kwenye local government;

Akiendelea kutumbua nikumpa kazi Mhe.Rais abaki kuteua kila siku; matokeo yake unaweza kukuta anatumbua asiowapenda aweke watu wake. Kila Kiongoz akitaka kuweka mtu wake pale alipo tutafika?
Kusimamisha kazi watu ambao ni magoi goi na wavivu ni sehemu ya kazi yake
 
Kwenye hizi issues INTERNAL AUDITOR angesaidia sana ila ubaya anaripoti kwa mkurugenzi, bajeti yake anaidhinisha mkurugenzi, kwa kifupi internal auditors wamejiachia mambo yaende tu!

Jiweke hapa: internal auditor unakomaa na ripoti ambayo inakuwa ni mwanzo wa kuondolewa mkurugenzi na wakuu wengine....baada ya mwaka yule mkurugenzi anateuliwa kuwa mkuu wa mkoa uleule....
INTERNAL AUDITOR huna mafuta, huna posho za kwenda site kufanya Ukagizi wa project specifications unaishia kufanya financial audit compliance ukiwa ofisini, jengo linaleta shida ndio mnaanza kuambiwa kakagueni wakati guidelines na manual za huo ujenzi ziko wazi na rahisi TU kuhakiki vipimo kabla hasara haijawa kubwa
 
Waziri kusimamisha watumishi kazi siyo ishara ya ufanisi bali ni ishara ya kushindwa kuwa mbunifu.

Mchengerwa anatoka wizarani kwenda kuwasimamisha kazi watumishi wakati huo wapo watumishi wanalipwa salary kwa ajili ya kusimamia miradi na matumizi ya fedha.

Wakuu wa Wilaya mbona wapo ofisini au kwa sababu wao ni Makada wa chama hakuna wakuwatumbua? Wakuu wa mikoa wanasubiri nini ofisini? Internal Audit office kwenye halmashauri zimeshindwa kufanya kazi?

Je hizi gharama Mchengerwa anazifanyia tathimini? Akiendelea na utaratibu huu kwa mwaka mmoja atakuwa amesababisha hasara kiasi gani kwa serikali? Je yeye atachunguzwa na nani kuhusu hasara aliyosababisha?

Najiuliza haya kwa sababu alipokuwa huko kwingine hakuwa na hii tabia ya tumbua tumbua; ameanza alipokabidhiwa watumishi. Kwanini hakuwa anatumbua akiwa hizo wizara nyingine? Kulikuwa hakuna Madudu?

Mawaziri wetu wawe wabunifu wafanye reform kwenye utumishi wa umma, waboreshe mazingira ya kazi; watengeneze mifumo yakuona wizi mapema siyo kusubiri imepita miaka. Ulaya hakunakutumbuana kwa sababu mifumo inafanya kazi.

Waziri kutumbua siyo kazi yako; umepewa wizara ufanye utafiti wa kitaalamu na kuweka mifumo yakudhibiti wizi na upotevu wa fedha.

Mnachofanya mawaziri nikutumia gharama kubwa kuzunguka ambazo hizo gharama mkizip3lkea kuimarisha mifumo hakutakuwepo na sababu ya ninyi kulipwa kuzunguka kutafuta 2akuwatumbua.
Waziri anatakiwa akiwa ofisini aone kila project kwenye eneo lake na apate reports zikiwa zimefanyiwa analysis siyo kutoka ofisini na Majungu kwenda mikoani.

Leo hakuna mahali Mhe. Mchengerwa ameweka wazi kwa watumishi wake nini malengo yake; dira yake ni ipi? Maono yake ni yapi?

Tunapokwenda Ulaya tujaribu kuiga japo mambo madogo madogo hasa umuhimu wa policy katika management zetu. Waziri anaweza akadhani anafanya kwafaidia kumbe analitia hasara Taifa.

Kwani waziri anashindwa nini kumpigia simu RC akamwambia maeneo yenye shida? Anashindwa nini kumjulisha mkurugenzi na kumpa alert? Utumbuaji always ni mfumo Wakuvizia watu wakosee...
Wewe kama uko Tamisemi na ni mwizi utafikiwa na panga.

Bora Mchengerwa anakusimamisha ila aweso amefukuza mainjinia zaidi ya 300 Toka awe Waziri.

Waziri wa Tamisemi kaza hapo hapo
 
Back
Top Bottom