Nani anamtuma Mchengerwa kazi ya kusimamisha watumishi kazi? Mbona huko wizara nyingine hakuwa anasimamisha watu kazi? Hizi tume zake anazilipaje?

Nani anamtuma Mchengerwa kazi ya kusimamisha watumishi kazi? Mbona huko wizara nyingine hakuwa anasimamisha watu kazi? Hizi tume zake anazilipaje?

Waziri kusimamisha watumishi kazi siyo ishara ya ufanisi bali ni ishara ya kushindwa kuwa mbunifu.

Mchengerwa anatoka wizarani kwenda kuwasimamisha kazi watumishi wakati huo wapo watumishi wanalipwa salary kwa ajili ya kusimamia miradi na matumizi ya fedha.

Wakuu wa Wilaya mbona wapo ofisini au kwa sababu wao ni Makada wa chama hakuna wakuwatumbua? Wakuu wa mikoa wanasubiri nini ofisini? Internal Audit office kwenye halmashauri zimeshindwa kufanya kazi?

Je hizi gharama Mchengerwa anazifanyia tathimini? Akiendelea na utaratibu huu kwa mwaka mmoja atakuwa amesababisha hasara kiasi gani kwa serikali? Je yeye atachunguzwa na nani kuhusu hasara aliyosababisha?

Najiuliza haya kwa sababu alipokuwa huko kwingine hakuwa na hii tabia ya tumbua tumbua; ameanza alipokabidhiwa watumishi. Kwanini hakuwa anatumbua akiwa hizo wizara nyingine? Kulikuwa hakuna Madudu?

Mawaziri wetu wawe wabunifu wafanye reform kwenye utumishi wa umma, waboreshe mazingira ya kazi; watengeneze mifumo yakuona wizi mapema siyo kusubiri imepita miaka. Ulaya hakunakutumbuana kwa sababu mifumo inafanya kazi.

Waziri kutumbua siyo kazi yako; umepewa wizara ufanye utafiti wa kitaalamu na kuweka mifumo yakudhibiti wizi na upotevu wa fedha.

Mnachofanya mawaziri nikutumia gharama kubwa kuzunguka ambazo hizo gharama mkizip3lkea kuimarisha mifumo hakutakuwepo na sababu ya ninyi kulipwa kuzunguka kutafuta 2akuwatumbua.
Waziri anatakiwa akiwa ofisini aone kila project kwenye eneo lake na apate reports zikiwa zimefanyiwa analysis siyo kutoka ofisini na Majungu kwenda mikoani.

Leo hakuna mahali Mhe. Mchengerwa ameweka wazi kwa watumishi wake nini malengo yake; dira yake ni ipi? Maono yake ni yapi?

Tunapokwenda Ulaya tujaribu kuiga japo mambo madogo madogo hasa umuhimu wa policy katika management zetu. Waziri anaweza akadhani anafanya kwafaidia kumbe analitia hasara Taifa.

Kwani waziri anashindwa nini kumpigia simu RC akamwambia maeneo yenye shida? Anashindwa nini kumjulisha mkurugenzi na kumpa alert? Utumbuaji always ni mfumo Wakuvizia watu wakosee...
Watumishi wengi wa serikali hasa Tamisemi hamjielew acha Chengerwa awepelekee moto
 
Waziri kusimamisha watumishi kazi siyo ishara ya ufanisi bali ni ishara ya kushindwa kuwa mbunifu.

Mchengerwa anatoka wizarani kwenda kuwasimamisha kazi watumishi wakati huo wapo watumishi wanalipwa salary kwa ajili ya kusimamia miradi na matumizi ya fedha.

Wakuu wa Wilaya mbona wapo ofisini au kwa sababu wao ni Makada wa chama hakuna wakuwatumbua? Wakuu wa mikoa wanasubiri nini ofisini? Internal Audit office kwenye halmashauri zimeshindwa kufanya kazi?

Je hizi gharama Mchengerwa anazifanyia tathimini? Akiendelea na utaratibu huu kwa mwaka mmoja atakuwa amesababisha hasara kiasi gani kwa serikali? Je yeye atachunguzwa na nani kuhusu hasara aliyosababisha?

Najiuliza haya kwa sababu alipokuwa huko kwingine hakuwa na hii tabia ya tumbua tumbua; ameanza alipokabidhiwa watumishi. Kwanini hakuwa anatumbua akiwa hizo wizara nyingine? Kulikuwa hakuna Madudu?

Mawaziri wetu wawe wabunifu wafanye reform kwenye utumishi wa umma, waboreshe mazingira ya kazi; watengeneze mifumo yakuona wizi mapema siyo kusubiri imepita miaka. Ulaya hakunakutumbuana kwa sababu mifumo inafanya kazi.

Waziri kutumbua siyo kazi yako; umepewa wizara ufanye utafiti wa kitaalamu na kuweka mifumo yakudhibiti wizi na upotevu wa fedha.

Mnachofanya mawaziri nikutumia gharama kubwa kuzunguka ambazo hizo gharama mkizip3lkea kuimarisha mifumo hakutakuwepo na sababu ya ninyi kulipwa kuzunguka kutafuta 2akuwatumbua.
Waziri anatakiwa akiwa ofisini aone kila project kwenye eneo lake na apate reports zikiwa zimefanyiwa analysis siyo kutoka ofisini na Majungu kwenda mikoani.

Leo hakuna mahali Mhe. Mchengerwa ameweka wazi kwa watumishi wake nini malengo yake; dira yake ni ipi? Maono yake ni yapi?

Tunapokwenda Ulaya tujaribu kuiga japo mambo madogo madogo hasa umuhimu wa policy katika management zetu. Waziri anaweza akadhani anafanya kwafaidia kumbe analitia hasara Taifa.

Kwani waziri anashindwa nini kumpigia simu RC akamwambia maeneo yenye shida? Anashindwa nini kumjulisha mkurugenzi na kumpa alert? Utumbuaji always ni mfumo Wakuvizia watu wakosee...
Hivi mfumo ni nini ?
 
Waziri kusimamisha watumishi kazi siyo ishara ya ufanisi bali ni ishara ya kushindwa kuwa mbunifu.

Mchengerwa anatoka wizarani kwenda kuwasimamisha kazi watumishi wakati huo wapo watumishi wanalipwa salary kwa ajili ya kusimamia miradi na matumizi ya fedha.

Wakuu wa Wilaya mbona wapo ofisini au kwa sababu wao ni Makada wa chama hakuna wakuwatumbua? Wakuu wa mikoa wanasubiri nini ofisini? Internal Audit office kwenye halmashauri zimeshindwa kufanya kazi?

Je hizi gharama Mchengerwa anazifanyia tathimini? Akiendelea na utaratibu huu kwa mwaka mmoja atakuwa amesababisha hasara kiasi gani kwa serikali? Je yeye atachunguzwa na nani kuhusu hasara aliyosababisha?

Najiuliza haya kwa sababu alipokuwa huko kwingine hakuwa na hii tabia ya tumbua tumbua; ameanza alipokabidhiwa watumishi. Kwanini hakuwa anatumbua akiwa hizo wizara nyingine? Kulikuwa hakuna Madudu?

Mawaziri wetu wawe wabunifu wafanye reform kwenye utumishi wa umma, waboreshe mazingira ya kazi; watengeneze mifumo yakuona wizi mapema siyo kusubiri imepita miaka. Ulaya hakunakutumbuana kwa sababu mifumo inafanya kazi.

Waziri kutumbua siyo kazi yako; umepewa wizara ufanye utafiti wa kitaalamu na kuweka mifumo yakudhibiti wizi na upotevu wa fedha.

Mnachofanya mawaziri nikutumia gharama kubwa kuzunguka ambazo hizo gharama mkizip3lkea kuimarisha mifumo hakutakuwepo na sababu ya ninyi kulipwa kuzunguka kutafuta 2akuwatumbua.
Waziri anatakiwa akiwa ofisini aone kila project kwenye eneo lake na apate reports zikiwa zimefanyiwa analysis siyo kutoka ofisini na Majungu kwenda mikoani.

Leo hakuna mahali Mhe. Mchengerwa ameweka wazi kwa watumishi wake nini malengo yake; dira yake ni ipi? Maono yake ni yapi?

Tunapokwenda Ulaya tujaribu kuiga japo mambo madogo madogo hasa umuhimu wa policy katika management zetu. Waziri anaweza akadhani anafanya kwafaidia kumbe analitia hasara Taifa.

Kwani waziri anashindwa nini kumpigia simu RC akamwambia maeneo yenye shida? Anashindwa nini kumjulisha mkurugenzi na kumpa alert? Utumbuaji always ni mfumo Wakuvizia watu wakosee...
Kwanini tuige Ulaya? Au kwa sababu wana pua ndefu?
 
Waziri kusimamisha watumishi kazi siyo ishara ya ufanisi bali ni ishara ya kushindwa kuwa mbunifu.

Mchengerwa anatoka wizarani kwenda kuwasimamisha kazi watumishi wakati huo wapo watumishi wanalipwa salary kwa ajili ya kusimamia miradi na matumizi ya fedha.

Wakuu wa Wilaya mbona wapo ofisini au kwa sababu wao ni Makada wa chama hakuna wakuwatumbua? Wakuu wa mikoa wanasubiri nini ofisini? Internal Audit office kwenye halmashauri zimeshindwa kufanya kazi?

Je hizi gharama Mchengerwa anazifanyia tathimini? Akiendelea na utaratibu huu kwa mwaka mmoja atakuwa amesababisha hasara kiasi gani kwa serikali? Je yeye atachunguzwa na nani kuhusu hasara aliyosababisha?

Najiuliza haya kwa sababu alipokuwa huko kwingine hakuwa na hii tabia ya tumbua tumbua; ameanza alipokabidhiwa watumishi. Kwanini hakuwa anatumbua akiwa hizo wizara nyingine? Kulikuwa hakuna Madudu?

Mawaziri wetu wawe wabunifu wafanye reform kwenye utumishi wa umma, waboreshe mazingira ya kazi; watengeneze mifumo yakuona wizi mapema siyo kusubiri imepita miaka. Ulaya hakunakutumbuana kwa sababu mifumo inafanya kazi.

Waziri kutumbua siyo kazi yako; umepewa wizara ufanye utafiti wa kitaalamu na kuweka mifumo yakudhibiti wizi na upotevu wa fedha.

Mnachofanya mawaziri nikutumia gharama kubwa kuzunguka ambazo hizo gharama mkizip3lkea kuimarisha mifumo hakutakuwepo na sababu ya ninyi kulipwa kuzunguka kutafuta 2akuwatumbua.
Waziri anatakiwa akiwa ofisini aone kila project kwenye eneo lake na apate reports zikiwa zimefanyiwa analysis siyo kutoka ofisini na Majungu kwenda mikoani.

Leo hakuna mahali Mhe. Mchengerwa ameweka wazi kwa watumishi wake nini malengo yake; dira yake ni ipi? Maono yake ni yapi?

Tunapokwenda Ulaya tujaribu kuiga japo mambo madogo madogo hasa umuhimu wa policy katika management zetu. Waziri anaweza akadhani anafanya kwafaidia kumbe analitia hasara Taifa.

Kwani waziri anashindwa nini kumpigia simu RC akamwambia maeneo yenye shida? Anashindwa nini kumjulisha mkurugenzi na kumpa alert? Utumbuaji always ni mfumo Wakuvizia watu wakosee...
Soma Sheria ya Utumishi wa Umma Namba 8 ya Mwaka 2002 na Kanuni zake za Mwaka 2003. Sheria hii ndiyo inayotoa
uwezo kwa Mamlaka mbalimbali za Ajira na Nidhamu katika Utumishi wa Umma na kuweka misingi ya namna masuala hayo yanavyopasa kushughulikiwa. Utekelezaji wa Sheria hii hufanyika pia kupitia Kanuni za Utumishi wa Umma za mwaka 2003; Taratibu za Uendeshaji katika Utumishi wa Umma za mwaka 2003; Taratibu Bora za Uendeshaji wa Masuala ya Ajira na Nidhamu katika Utumishi wa Umma, 2007; Kanuni za Kudumu katika Utumishi wa Umma za
mwaka 2009 na Miongozo mbalimbali iliyotolewa na Tume na Nyaraka mbalimbali za kiutumishi.

Mamalaka za nidhamu zimetajwa kama ifuatavyo:
1. Rais
2. Katibu Mkuu Kiongozi
3. Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa
4. Mamlaka za Serikali za Mitaa
5. Wakuu wa Mashirika ya Umma (CEOs)
6. Wakuu wa Idara na Divisheni

Utagundua kuwa Mawaziri wengine wote hawajatajwa zaidi ya huyo wa Serikali za Mitaa. Pia utagundua kuwa huko kwingine ambako Mchengerwa alikopita hakuwahi kuwasimamisha kazi watumishi.
 
Waziri kusimamisha watumishi kazi siyo ishara ya ufanisi bali ni ishara ya kushindwa kuwa mbunifu.

Mchengerwa anatoka wizarani kwenda kuwasimamisha kazi watumishi wakati huo wapo watumishi wanalipwa salary kwa ajili ya kusimamia miradi na matumizi ya fedha.

Wakuu wa Wilaya mbona wapo ofisini au kwa sababu wao ni Makada wa chama hakuna wakuwatumbua? Wakuu wa mikoa wanasubiri nini ofisini? Internal Audit office kwenye halmashauri zimeshindwa kufanya kazi?

Je hizi gharama Mchengerwa anazifanyia tathimini? Akiendelea na utaratibu huu kwa mwaka mmoja atakuwa amesababisha hasara kiasi gani kwa serikali? Je yeye atachunguzwa na nani kuhusu hasara aliyosababisha?

Najiuliza haya kwa sababu alipokuwa huko kwingine hakuwa na hii tabia ya tumbua tumbua; ameanza alipokabidhiwa watumishi. Kwanini hakuwa anatumbua akiwa hizo wizara nyingine? Kulikuwa hakuna Madudu?

Mawaziri wetu wawe wabunifu wafanye reform kwenye utumishi wa umma, waboreshe mazingira ya kazi; watengeneze mifumo yakuona wizi mapema siyo kusubiri imepita miaka. Ulaya hakunakutumbuana kwa sababu mifumo inafanya kazi.

Waziri kutumbua siyo kazi yako; umepewa wizara ufanye utafiti wa kitaalamu na kuweka mifumo yakudhibiti wizi na upotevu wa fedha.

Mnachofanya mawaziri nikutumia gharama kubwa kuzunguka ambazo hizo gharama mkizip3lkea kuimarisha mifumo hakutakuwepo na sababu ya ninyi kulipwa kuzunguka kutafuta 2akuwatumbua.
Waziri anatakiwa akiwa ofisini aone kila project kwenye eneo lake na apate reports zikiwa zimefanyiwa analysis siyo kutoka ofisini na Majungu kwenda mikoani.

Leo hakuna mahali Mhe. Mchengerwa ameweka wazi kwa watumishi wake nini malengo yake; dira yake ni ipi? Maono yake ni yapi?

Tunapokwenda Ulaya tujaribu kuiga japo mambo madogo madogo hasa umuhimu wa policy katika management zetu. Waziri anaweza akadhani anafanya kwafaidia kumbe analitia hasara Taifa.

Kwani waziri anashindwa nini kumpigia simu RC akamwambia maeneo yenye shida? Anashindwa nini kumjulisha mkurugenzi na kumpa alert? Utumbuaji always ni mfumo Wakuvizia watu wakosee...
safi sana wacha awatimue TAMISEMI ni shamba la bibi....
 
Basi huyo ni Mtanzania halisi.
Ukimpekeka Zanzibar ni mzanzibar akija huku Tanganyika ni Mtanzania.

Aya ebu tumpeleke Awesso Zanzibar,ni Mtanganyika hana sifa wala nafasi,hawezi kumiliki ardhi,hawezi kupata hata kazi ya ukarani.
 
Ukimpekeka Zanzibar ni mzanzibar akija huku Tanganyika ni Mtanzania.

Aya ebu tumpeleke Awesso Zanzibar,ni Mtanganyika hana sifa wala nafasi,hawezi kumiliki ardhi,hawezi kupata hata kazi ya ukarani.
Na wewe ukienda Zanzibar kkuwa Mtanganyika, maana huko unaitwa "chogo".

Tatizo nini?
 
hata na mimi niliwaza hivyo, kila siku humu malalamiko kuhusu utendaji mbovu wa wafanyakazi, lakini wakichukuliwa hatua wanakuja humu kulalamika.
Hao wafanyakazi wengi huko Halmashauri ni tatizo na mchwa, wacha awapelekee moto....
 
Na wewe ukienda Zanzibar kkuwa Mtanganyika, maana huko unaitwa "chogo".

Tatizo nini?
Tatizo haki zangu za uraia zinapunguzwa kama si kuondoshwa kabisa.

Wazanzibari wakija huku Tanganyika wana haki zote za uraia ikiwemo kugombea nafasi yoyote.Wana haki za kumiliki ardhi hawabaguliwi hata kidogo.
 
Huko tamisemi bila amshaamsha watu wapo irresponsible Sana, unaenda ofsn kuomba kibali unaambiwa uje baada ya wik, account zinahela lakn miradi Imesmama,. Naunga mkono watimuliwe tu Kuna uzembe wa Hali ya juu Sana
 
Tatizo haki zangu za uraia zinapunguzwa kama si kuondoshwa kabisa.

Wazanzibari wakija huku Tanganyika wana haki zote za uraia ikiwemo kugombea nafasi yoyote.Wana haki za kumiliki ardhi hawabaguliwi hata kidogo.

 
Kuna kipindi wakati Mchengelwa akiwa wizara ya Utumishi na Utawala Bora wafanyakazi hususani waliopo chini ya wizara ya TAMISEMI (yaani maHalmashauri na sekretarieti za mikoa) walikuwa wakimsifia sana kuwa ni mtu ana huruma na utu sasa sijui saa hizi wanasemaje anavyowachinja kwa kuwatumbua tumbua



Naona wameanza kuziona rangi zake halisi sasa bila shaka?!
 
Wakiachwa mnalalama, wakisimamishwa mnalalama

Eihhhhshh



Ifanyike kwa haki na sio kutafuta mileage/attention ya kisiasa.

Sasa kama wale jamaa wa kule mtukula Eti wanaambiwa wameonesha dharau,

Hivi kipimo cha dharau ni kipi Kwa mfano?
 
Uchunguzi mpaka ukamilike tume iliyoundwa kuchunguza inaweza kulipwa 20m mpaka 30m tu lakini Kwa matokeo ya tume na ikibainika Kuna ubadhirifu serikali inakuwa imesevu hata 1b kiwango Cha chini kabisa.
 
Huyu si Mdengereko,huyu ni Mpemba kwasababu Baba yake ni Mpemba na Mama ndio Mdengereko.

Huyu akipelekwa Wizara yoyote lazima atangulize kwanza maslahi ya Wazanzibari.



Kumbee?! [emoji848]

Ndiyo maana alisema kila ajira ikifanyika Tanzania 21% watoke Zanzibar yeye population ya watu 2M tu ?
 
Back
Top Bottom