Nani anamtumia Mwana FA juu ya ugonjwa wa Corona?

Nani anamtumia Mwana FA juu ya ugonjwa wa Corona?

Hata anapoulizwa kwenye mahojiano na waandishi anadai eti hairuhusiwi kutaja mahali ilipo hiyo Quaranteen, utajiuliza kwanini serikali izue hata hilo.


Alexander The Great
Hako kalimbuke FA kapo kwake hakaumwi chochote kamejifungia na kujirekodi kuleta taharuki za kishamba tu hakuna haja ya kuhangaika kupajua alipo kwaa sababu haumwi siyo mgonjwa huyo ni Mbinu za kuwahadaa watanzania kisha CCM wapate sababu za kuahirisha uchaguzi wa October
 
Hako kalimbuke FA kapo kwake hakaumwi chochote kamejifungia na kujirekodi kuleta taharuki za kishamba tu hakuna haja ya kuhangaika kupajua alipo kwaa sababu haumwi siyo mgonjwa huyo ni Mbinu za kuwahadaa watanzania kisha CCM wapate sababu za kuahirisha uchaguzi wa October
Minyoo umepinda kwelikweli. Yaani MwanaFA atumike kama kigezo cha kuahirisha uchaguzi ujao!!, umezoea kumsoma kigogo2014 na madhara yake ndio aina hii ya mawazo.
 
Tunaambiwa wakati mwingine ni vizuri kuficha upumbavu wetu. Huyo fa sijui unaleta matani kwenye kifo
Ni hivi Mungu atakuadhibu kwa namna tofauti soon and very soon
Unawadhihaki wenye kuguliwa kuugua na kufa kwa Corona

Aliyekutuma mwambie imebuma
Taarifa zako za udanganyifu zitaanikwa wazi kama ulivyojitangaza eti nina Corona
 
Minyoo umepinda kwelikweli. Yaani MwanaFA atumike kama kigezo cha kuahirisha uchaguzi ujao!!, umezoea kumsoma kigogo2014 na madhara yake ndio aina hii ya mawazo.
Mzee chokocho huanza Mdogo Mdogo tena kule usikotarajia kumbuka kule Tunisia kilichotekea baada ya mtu mmoja kufa, FA angebahatika kuipatia igizo ina maana wengi wangeigiza zaidi na zaidi ndipo CCM wangezifanyia kazi fikra mbaya za akina Le mutuz na cyprian Musiba wapotoshaji wa chama ambao sasa wapo busy kubuni vingi vya hovyo wapate kula pesa za CCM kienyeji
 
Ummy - Tanga! Fa- Tanga

Sent using Jamii Forums mobile app
Licha ya Ummy kuwa ndugu yake FA pia ni rafiki mkubwa wa Daud Bashite na kile kikundi cha Bashite Yaani akina Le mutuz kubwa jinga na Cyprian Musiba mubwekaji wa Taifa. Pata picha kuanzia hapo sasa utabaini nini kinaendelea
 
Korona ni mafua toka lini mafua yakaua mwafrika?Yes Malaria ni hatari kuliko corona!
 
Hata anapoulizwa kwenye mahojiano na waandishi anadai eti hairuhusiwi kutaja mahali ilipo hiyo Quaranteen, utajiuliza kwanini serikali izue hata hilo.


Alexander The Great

GT wa JF think big pse...!
Hii ni Fiction movie inachezwa kwa Watz na Starring Ni Mwana-FA, Producer Ni CCM ya Magufuli Director akiwa Ni Ummy Mwalimu....!
NB: Starring never die, na ikitokea akafa inakuwa: THE END
 
Mzee chokocho huanza Mdogo Mdogo tena kule usikotarajia kumbuka kule Tunisia kilichotekea baada ya mtu mmoja kufa, FA angebahatika kuipatia igizo ina maana wengi wangeigiza zaidi na zaidi ndipo CCM wangezifanyia kazi fikra mbaya za akina Le mutuz na cyprian Musiba wapotoshaji wa chama ambao sasa wapo busy kubuni vingi vya hovyo wapate kula pesa za CCM kienyeji
Tunisia, Morocco, Misri, Libya, wale ni waarabu wameshazoea kujitoa mhanga, washazoea kujilipua.

Wabongo ni waoga tu, hawana jeuri ya kufanya kama walivyofanya jamaa wa afrika kaskazini.
 
Tuzidishe ibada makanisani na misikitini na Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma atuepushie mbali hili gonjwa na InshaAllah awafanyie wepesi na wenzetu huko linakowasumbua sana..

Mazingira yetu si rafiki kwa ugonjwa huu hasa ukija kwa kasi na kuanza kushambulia kikweli kweli.. Tayari tumeshaanza kuleta siasa kwenye suala serious ambalo linahitaji akili na maandalizi yakitaalamu kupambana nalo.. Wagonjwa wote kuanzia Isabela na hawa bongo fleva taarifa zao zina walakini na ni ujanja ujanja, kwa mtu anayefikiri vizuri lazima agundue kitu...

Isabela kashuka KIA Airport akapimwa temp akakutwa normal lakini mwenyewe akasema No anamashaka akaenda hotel then akajisikia vibaya akaenda hospital akapimwa ikawa positive then anaonekana kwenye media akibonga huku na kule, MwanaFA naye alikuwa SA lakini weekend alikuwa pale Mlimani city ghafla SA mara tuesday tayari Corona inasoma positive then anakuja kwenye media na blah blah..JAMANI TUWE SERIOUS HII COVID 19 sio yakuletea siasa kabisa bali inahitaji umakini na sio propaganda..
 
Kwa sasa umakini na kukaa tayari kidharuladharula vinahitajika sana, COVID 19 sio siasa na inahitaji akili zilizo sawa kukabili hali na kitimtim kitakachokuja..

Wahusika ni wakati wa kupambana kujua watanzania hawa masikini wataishije kama kutakuwa na ulazima wa lock down, watanzania hawa tutawatibu vipi kama hali ikiwa mbaya, mbinu gani zitumike kujilinda sasa ili maambukiza na ugonjwa usiingie Tanzania..
 
Kwa sasa umakini na kukaa tayari kidharuladharula vinahitajika sana, COVID 19 sio siasa na inahitaji akili zilizo sawa kukabili hali na kitimtim kitakachokuja..

Wahusika ni wakati wa kupambana kujua watanzania hawa masikini wataishije kama kutakuwa na ulazima wa lock down, watanzania hawa tutawatibu vipi kama hali ikiwa mbaya, mbinu gani zitumike kujilinda sasa ili maambukiza na ugonjwa usiingie Tanzania..
Alichokifanya Mtanga sio poa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
IMG_20200322_183558.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabongo bhana mtu anaweza akajitengenezea tu hypothetiko kesi basi naye akawa kavumbua jambo kama huyu mleta mada. Bila hata kujua undani wa jambo lenyewe. Hivi kwani Hiyo korona inahitaji muda au nguvu kiasi gani kuipata??
 
Back
Top Bottom