Nani anamtumia Mwana FA juu ya ugonjwa wa Corona?

Nani anamtumia Mwana FA juu ya ugonjwa wa Corona?

Mkuu kuwa karantini sio lazima uwe hosp au kwenye kambi... Italy nchi nzima watu mil 60 wapo karantini ndio kusema wapo hosp au makambini? Nop, ni kutojichanganya na wengine ili kuepuka kusambaa kwa ugonjwa
Tofautisha karantini na lokodauni mkuu...
Ila MwanaFA siku nyingi amepotea kwenye media sasa naona amegundua namna
 
Yaani aka kakipepeo ata msharaha kanachukua bure kabisa
 
Jamaa kuna sehemu anakwama.. juzi kati alikua na harmonize kwenye uzinduzi wa afroeast..
Sawa tuseme alipotoka tu ndio akapaa kwenda SA , alivyorudi akajisikia homa akaenda hospital akakutwa na Covid wakamruhusu aende hom kujirekodi??😂😂
Au pale inakuaje.. kwamba ukiende hosptali ukakutwa unaumwa COVID kama unajiskia vizuri wanakuruhusu urudi home kujiuguza mwenyewe??

Juzi nilimuona suspect wa corona mikoa flani ya nyanda za juu kusini.. yule jamaa alikua suspect tu ambaye baada ya muda waliconfirm kwamba hakuwa positive..lakini the way alivyokuwa treated ilikua as if ni time bomb linalolipuka muda wowote.. yaani alipewa ward ya peke yake kila kitu hosptali kilikua kinarevolve around yeye..

Sasa leo from no where mtu mmoja atest positive halafu wamuachie akajirekodi kwenye makochi ya ghetto lake... nitakuwa wa mwisho kuamini.
 
Logic ya wengi wanaotilia shaka yako hapo. Mtu anasema ana Covid-19 lakini anarekodiwa akionesha dharau as if ugonjwa anaoongelea ni sawa na kidonda cha kujikata na wembe?

Sent using Jamii Forums mobile app

dalili za corona hizo hapo, 80% ya wanaougua ni mafua tu ya kawaida
Capture.PNG
 
Nikujibu ktk list ya wagonjwa walotangazwa jana wanaume wawili wenye miaka 40 ni Mwana Fa na sallam_sk...Tangazo la wizara alikutaja majina option ya kujitangaza wamepewa na wizara na haji manara yupo njian anarudi nae tutajua ni postv or negative...ni kweli ugonjwa upo ila autishi km hofu tunayojitia Tee Bag,

Sent using Jamii Forums mobile app
Isabella Mwampamba nani alimtaja jina?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuwa karantini sio lazima uwe hosp au kwenye kambi... Italy nchi nzima watu mil 60 wapo karantini ndio kusema wapo hosp au makambini? Nop, ni kutojichanganya na wengine ili kuepuka kusambaa kwa ugonjwa
Sio kweli. Tofautisha Quarantine, Self Isolation na Shelter in place.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa kuna sehemu anakwama.. juzi kati alikua na harmonize kwenye uzinduzi wa afroeast..
Sawa tuseme alipotoka tu ndio akapaa kwenda SA , alivyorudi akajisikia homa akaenda hospital akakutwa na Covid wakamruhusu aende hom kujirekodi??😂😂
Au pale inakuaje.. kwamba ukiende hosptali ukakutwa unaumwa COVID kama unajiskia vizuri wakakuruhusu urudi home kujiuguza mwenyewe??

Juzi nikimuona suspect wa corona mikoa flani ya nyanda za juu kusini.. yule jamaa alikua suspect tu ambaye baada ya muda waliconfirm kwamba hakuwa positive..lakini the way alivyokuwa treated ilikua as if ni time bomb linalolipuka muda wowote.. yaani alipewa ward ya peke yake kila kitu hosptali kilikua kinarevolve around yeye..

Sasa leo from no where mtu mmoja atest positive halafu wamuachie akajirekodi kwenye makochi ya ghetto lake... nitakuwa wa mwisho kuamini.
Duh......nimekuelewa sana.

Baada ya kugundulika anavyo akaruhusiwa kurudi nyumbani tofauti na Isabella wa Arusha!!!
 
Yaani Mwana nani alijipima, hizi test kit zipo za Instagram.. Ukijibu tu maswali unapata diagnosis...
Mafua...
Kichwa kuuma...
Kukohoa..
Homa..
Kupanda ndege safari ya kimataifa
...
Kama hayo yote jibu ndiyo

Tiyari wewe una CORONA...😀

Everyday is Saturday.................... 😎
 
Wizara itujulishe kama kuna maambukizi mapya iyaseme na itutajie jina la mgpnjwa uraia na mahala alipo,au kama ametoka nchi fulani iseme
Hii itasaidia kuondoa utata kama huu wa mwana Fa maana hatujasikia serikali ikimtangaza ila yeye mgonjwa ndio anajitangaza kupitia mitandaoni na kwenye tv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom