Nani anamtumia Mwana FA juu ya ugonjwa wa Corona?

Nani anamtumia Mwana FA juu ya ugonjwa wa Corona?

NANI ANAMTUMIA MWANA FA?

Na Thadei Ole Mushi

Mwana FA yupo Karantini au yupo nyumbani?

Wagonjwa wanaojulikana positive si wanawekwa Karantini chini ya uangalizi?

Mbona hajavaa Mask? Wanaomletea Chai, Chakula nk si atawaambukiza wote?

Je ni Nani anahusika kuvitangaza hivi visa? Ni wagonjwa wenyewe au Waziri? Naona Mwana FA na Meneja wa Diamond kashajitangaza wenyewe hata hivyo idadi ya walioambukizwa haikuongezeka au Hawa sio watanzania? Mbona Waziri haongezi idadi ya wagonjwa?

Anadai ametoka S.A juzi na video kaitoa Jana kwa maana hiyo juzi Ni jumanne ndio alirudi ila Jumapili alikuwa nchini kwa kuwa kwenye Uzinduzi wa albam ya Harmonize alikuwepo au tuseme aliondoka Jumapili na kurudi jumanne inawezekana ila angelituambi S.A alienda lini tungemwamini zaidi.

Kwa alichokipost baada ya hii video Ni kuwa malaria Ni hatari zaidi ya Corona kwa kuwa kapona. Kwa maneno haya tahadhari zote ambazo watu walikuwa wanazichukua wataacha kwa kuwa Ni ka ugonjwa kadogo na utapona tu kama yeye. Si tunajua huyu Ni celebrity hivyo vijana wengi watamuamini na kuacha kufuata kanuni za afya.

Nani anamtumia Mwana FA kupotosha jamii? Wizara ya Afya haioni upotoshaji huu wa wazi? Kwa Nini hawamkamati? Wanaomtumia kupotosha kwa nn wasimtumie kuwapa watu Elimu zaidi?

Serikali mbona haitoi tamko? Msanii mkubwa Kama huyu anasikilizwa na watu wengi je tufuate anayoyasema? Maswali Ni mengi kuliko majibu ila swali kuu linabakia Nani Anayemgumia na Kumtuma Mwana FA?

Tunavyozungumza hivi makamu wa pili wa Rais Burkinafaso ameshafariki kutokana na Corona. Mwana FA anatuambia hii ni vimafua tu?

Tuneona Ummy Mwalimu akimtakia kila la Kheri Mwana FA kuwa utavishinda tu hivi virusi mdogo wangu mbona Hao wengine sita wa awali hajawatakia salamu hii na Kheri hii? Nani anamtuma Mwana FA na Kwa malengo gani?

Ole Mushi
0712702602View attachment 1393727

Sent using Jamii Forums mobile app
Tz hakuna corona virus. Hao wanaojitangaza ni katika kutafuta kiki tu.
 
Wabongo waoga sana,hii Corona sio ishu,Kuna magojwa Kama kansa,ukimwi,kifua kikuu,nk.. sasa hii Corona nao ugojwa,wazungu wamejitengenezea kifo ngoja kiwatafune,lkn ngozi nyeusi tunadunda kitaa,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NANI ANAMTUMIA MWANA FA?

Na Thadei Ole Mushi

Mwana FA yupo Karantini au yupo nyumbani?

Wagonjwa wanaojulikana positive si wanawekwa Karantini chini ya uangalizi?

Mbona hajavaa Mask? Wanaomletea Chai, Chakula nk si atawaambukiza wote?

Je ni Nani anahusika kuvitangaza hivi visa? Ni wagonjwa wenyewe au Waziri? Naona Mwana FA na Meneja wa Diamond kashajitangaza wenyewe hata hivyo idadi ya walioambukizwa haikuongezeka au Hawa sio watanzania? Mbona Waziri haongezi idadi ya wagonjwa?

Anadai ametoka S.A juzi na video kaitoa Jana kwa maana hiyo juzi Ni jumanne ndio alirudi ila Jumapili alikuwa nchini kwa kuwa kwenye Uzinduzi wa albam ya Harmonize alikuwepo au tuseme aliondoka Jumapili na kurudi jumanne inawezekana ila angelituambi S.A alienda lini tungemwamini zaidi.

Kwa alichokipost baada ya hii video Ni kuwa malaria Ni hatari zaidi ya Corona kwa kuwa kapona. Kwa maneno haya tahadhari zote ambazo watu walikuwa wanazichukua wataacha kwa kuwa Ni ka ugonjwa kadogo na utapona tu kama yeye. Si tunajua huyu Ni celebrity hivyo vijana wengi watamuamini na kuacha kufuata kanuni za afya.

Nani anamtumia Mwana FA kupotosha jamii? Wizara ya Afya haioni upotoshaji huu wa wazi? Kwa Nini hawamkamati? Wanaomtumia kupotosha kwa nn wasimtumie kuwapa watu Elimu zaidi?

Serikali mbona haitoi tamko? Msanii mkubwa Kama huyu anasikilizwa na watu wengi je tufuate anayoyasema? Maswali Ni mengi kuliko majibu ila swali kuu linabakia Nani Anayemgumia na Kumtuma Mwana FA?

Tunavyozungumza hivi makamu wa pili wa Rais Burkinafaso ameshafariki kutokana na Corona. Mwana FA anatuambia hii ni vimafua tu?

Tuneona Ummy Mwalimu akimtakia kila la Kheri Mwana FA kuwa utavishinda tu hivi virusi mdogo wangu mbona Hao wengine sita wa awali hajawatakia salamu hii na Kheri hii? Nani anamtuma Mwana FA na Kwa malengo gani?

Ole Mushi
0712702602View attachment 1393727

Sent using Jamii Forums mobile app

Hivi bado kuna mtu anasikiliza what MwanaFA talks on anything?

I knew that nigga was beyond bitchhood alipo msnitch Lady Jaydee kipindi anatoa album yake!

The funny thing is,album launch ya FA ilidoda ya Jidee ikapaa ajabu!

Lile jamaa nililiona Liswahili sana

From there on naliona janamke lililovaa suruali tu!

Na hii sanaa ya Corona ndio ameonekana hamnazo kabisa na Ummy wake!

Lile jamaa sio lizima aisee!
 
Sasa atumiwe kupotosha jamii kwa manufaa ya nani? Na kama kweli anatumika, basi ni kwa lengo ambalo ni positive, ni kwa ajili ya kuwa-counter attack wale ambao wanajitokeza kwa ajli ya kupanikisha watu. Hao wanaotumika kutaka kuleta tafrani kwa kuwapanikisha watu, wakiwa wana message negative, wenyewe hujawaona, ila umemuona mwana FA tu. na ambaye tena ana ujumbe ulio pisitive?

Unapotumia uongo ku-put your point across wewe ni fraud tu!

Haijalishi motive or anything behind it!

Ishu ni kua huyu Mwajuma na kilaza mwenzie Mwalimu wa Zamu wanafanya Kaole kabisa of which made them look pathetic and silly kwenye issue serious kama hii

Ya nini maigizo,?

For what hasa?Wananchi sio watoto

This made the whole thing seem pathetic kabisa!
 
Sijaelewa kwanini watanzania wamekuwa wagumu kumuamini Mwana FA kwamba ana maambukizi ya Corona aliyoyapata Afrika kusini.

Mbona Aurlus Mabere hatunaye kwa sababu ya Corona?

Mbona Mano Dibango naye amepata maambukizi ya Corona!

Hata mimi awali sikuamini lakini baada ya kufuatilia mambo yanayoendelea Afrika kwa sasa ambapo kuna vifo zaidi ya 16 vya Corona sitabisha tena mtu akisema ana maambukizi maana watu wameanza " kuvuta" pamoja na joto lote mfano kule Misri!

Niishie hapo!
 
Sijaelewa kwanini watanzania wamekuwa wagumu kumuamini Mwana FA kwamba ana maambukizi ya Corona aliyoyapata Afrika kusini.

Mbona Aurlus Mabere hatunaye kwa sababu ya Corona?

Mbona Mano Dibango naye amepata maambukizi ya Corona!

Hata mimi awali sikuamini lakini baada ya kufuatilia mambo yanayoendelea Afrika kwa sasa ambapo kuna vifo zaidi ya 16 vya Corona sitabisha tena mtu akisema ana maambukizi maana watu wameanza " kuvuta" pamoja na joto lote mfano kule Misri!

Niishie hapo!
Kila mtu ana uwezo wake wa kuchanganua jambo na kuamua kuliamini au kutoliamini..

Sasa unataka kila unaloliamini wewe ndio kila mtu aliamini..?

Wee Mama vipi wewe..!?
 
habar za week end wana jf.

Mwana FA yupo karantin au yupo nyumbani?

Wagonjwa wanao julikana positive si wanawekwa chinj ya uangalizi?

Mbona hajavaa mask wanao mletea chai,chakula nk si atawaabukizwa wote?

Je ni nani anahusika kuvitangaza hivi visa ?

Nani anamtumia FA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo watu maarufu wengi tu wanajinasibu kuwa walikuwa ni wahanga wa corona na sasa wamepona. Ukichimba Sana utakuta kimba. Achana nao
 
Mwana fa bwana! Yani jumapili yupo kwenye shoo mlimani city then akatoka hapo akaenda bondeni fasta kuchukua Corona na sasa eti yupo karantini Tz. Yote hayo yamefanyika ndani ya siku TATU TU! Acheni akaite kaugonjwa maana hata alivyokakwaa ni kimaajabu maajabu sana tena haiwezekani katika hali ya kawaida.
 
Sijaelewa kwanini watanzania wamekuwa wagumu kumuamini Mwana FA kwamba ana maambukizi ya Corona aliyoyapata Afrika kusini.

Mbona Aurlus Mabere hatunaye kwa sababu ya Corona?

Mbona Mano Dibango naye amepata maambukizi ya Corona!

Hata mimi awali sikuamini lakini baada ya kufuatilia mambo yanayoendelea Afrika kwa sasa ambapo kuna vifo zaidi ya 16 vya Corona sitabisha tena mtu akisema ana maambukizi maana watu wameanza " kuvuta" pamoja na joto lote mfano kule Misri!

Niishie hapo!
Mtambo wa umbea kazini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom