Nani anamtumia Mwana FA juu ya ugonjwa wa Corona?

Nani anamtumia Mwana FA juu ya ugonjwa wa Corona?

Ametumia haki yake ya kikatiba kufikisha ujumbe kwa jamii
Screenshot_20200320-141126~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tee Bag, Ole Mushi leo ni tarehe 20/03/2020, unauliza kwamba alienda lini SA na akahudhuria uzinduzi wa Harmonize ambao ulifanyika terehe 08/03/2020 siku 12 nyuma na yeye kasema jana tarehe 19/03/2020 kwamba juzi alipokua anatoka SA ndipo alipoona joto lake la mwili linapanda na kushika do the math brother.

Aidha nani anapaswa kumtangaza Mgonjwa hebu tusahau kwanza kuhusu Salam SK na FA, mwigizaji na muimbaji maarufu nchini Uingereza, Indris Elba alijipeleka mwenyewe kupima baada ya kugundua mtu aliyekua naye amekua positive.

Kuhusu ugonjwa kuwa unategemeana na umadhubuti wa mtu kiafya, sio COVID -19 pekee bali ugonjwa wowote reaction yake hutegemea na tabia mwili (Askari) wa Mgonjwa ambao huhuishwa zaidi na mazoezi na lifestyle hasa katika ulaji wa virutubisha mwili.

Bwashee
Wapo watu wanaoweza kutumiwa au kutafuta kiki huyu jombaa si miongoni mwao.

Mtu mwingine ambaye he is always real ni Mhe. Joseph Mbilinyi aka Sugu. These gentleman you can't easly manipulate them.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nmeamini humu kuna watu wanajifanya wajuaji kila kitu.
Waziri wa afya alitangaza watu wawili mmoja alitoka Afrika kusini (mwana FA) Mwingine nchi za Dernmark, Belgium (meneja wa Diamond)

Hakuwataja majina kwa sababu Taarifa za mgonjwa ni Siri yake mwenyewe.
Hata hivo kina mwana FA wao ndo wamejitangaza.
Acheni ujuaji kila kitu mnasema sijui kiki mara siasa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nilisema tangia mwanzo , ni mpuuzi na mwehu Tu anayeweza kuogopa Corona , Corona ni psychological deal ya watu tu, Tangu December up to date ugonjwa unaoitwa Corona umeua watu 7000 worldwide, wakat huo Kwa mwezi wa pili pekee malaria imeua watu 80000+ na huku watoto 3000 below 5 wakiperish away per day..

Uzuri Wana siasa wanajua vyema huu ni mchezo tuu na ndo mana hawafungi vyanzo vikuu vya mapato kisa Corona na hii chance watawala wataitumia effectively Kwanza wanaomba iendelee ili wajihalarishie kuendelea kubaki madarakani bila sanduku la kura
 
Nliona anezuia comments kwenye account yake ya Instagram nikapata ukakasi flani pengine ni project wanatufanyia watanganyika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tee Bag,
Hayo mahusiano binafsi ya wawili kutakiana kheri naona usiyaingilie wala usihoji, nawe tafuta wako jifungie msalani kisha mwambie akutakie kila la kheri halafu Post JF of GT.
 
Mi nilisema tangia mwanzo , ni mpuuzi na mwehu Tu anayeweza kuogopa Corona , Corona ni psychological deal ya watu tuu , Tangu December up to date ugonjwa unaoitwa Corona umeua watu 7000 worldwide, wakat huo Kwa mwezi wa pili pekee malaria imeua watu 80000+ na huku watoto 3000 below 5 wakiperish away per day....
Uzuri Wana siasa wanajua vyema huu ni mchezo tuu na ndo mana hawafungi vyanzo vikuu vya mapato kisa Corona na hii chance watawala wataitumia effectively Kwanza wanaomba iendelee ili wajihalarishie kuendelea kubaki madarakani bila sanduku la kura
Hayo malaria tumeyazoea ujinga kufa kwa ugonjwa wa kichina "Chinese Disease"wakati product nyingi za China ni fake include Corona.
 
Nadhani baada ya hii wiki Corona inaweza kuwa sio ishu tena.
Maana hata vyombo vya habari vya kimagharibi vimeaanza kupotezea kwa mbaali
Unatizama vyombo vya habari vya Kolomije!??
 
Mi nilisema tangia mwanzo , ni mpuuzi na mwehu Tu anayeweza kuogopa Corona , Corona ni psychological deal ya watu tuu , Tangu December up to date ugonjwa unaoitwa Corona umeua watu 7000 worldwide, wakat huo Kwa mwezi wa pili pekee malaria imeua watu 80000+ na huku watoto 3000 below 5 wakiperish away per day....
Uzuri Wana siasa wanajua vyema huu ni mchezo tuu na ndo mana hawafungi vyanzo vikuu vya mapato kisa Corona na hii chance watawala wataitumia effectively Kwanza wanaomba iendelee ili wajihalarishie kuendelea kubaki madarakani bila sanduku la kura
Hivi mnaandika wenyewe au mnaandikiwa!??
 
Back
Top Bottom