Nani anamtumia Mwana FA juu ya ugonjwa wa Corona?

Nani anamtumia Mwana FA juu ya ugonjwa wa Corona?

Sasa atumiwe kupotosha jamii kwa manufaa ya nani? Na kama kweli anatumika, basi ni kwa lengo ambalo ni positive, ni kwa ajili ya kuwa-counter attack wale ambao wanajitokeza kwa ajli ya kupanikisha watu. Hao wanaotumika kutaka kuleta tafrani kwa kuwapanikisha watu, wakiwa wana message negative, wenyewe hujawaona, ila umemuona mwana FA tu. na ambaye tena ana ujumbe ulio pisitive?
Mwana FA kaja kishamba kiki yake ni ya kienyeji Tatizo lake hakusoma upepo ajue kuwa watanzania wa sasa siyo mafala wana Akili kuliko yeye ajifunze kupitia hapa
 
Miongoni mwa watu ninaowapuuza kwenye nchi hii ni hao viumbe wanaopenda kujiita wasanii jinga kabisa hao!

Sent using Jamii Forums mobile app
Pengine alijua ni mjanja mwenye Akili sasa atajiona ni mjinga kupita kipimo atazinduka na kuwaomba msamaha watanzania ambao wameamua kwa pamoja kukataa maigizo ya kiki ya kishamba kienyeji toka kwa mwana FA
 
MTU na njia iliyotumika sio sahii,wangemtumia kuelimisha jamii jinsi ya kujikinga ,sio hatuabie Corona km mafua.
Wangemtumia hata Fid Q au Joh Makini ila kwa FA wamebugi.
Mwana FA huvuta Bangi sana uwezo wake wa kufikiri umeshuka kama wa Le mutuz, mara mia AY yupo vizuri asingeweza kufanya vioja kama hivyo
 
kwanza unajitangaza ili iweje? Mara msamaha kama yule mama wa Arusha.....hadi nahisi kichefu.....badala kuendelea na tiba unahangaika kujirekodi

mbona mkiwa na ukimwi hamjitangazi kwa mbwembwe zote....mgenusuru wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasanii wa bongo na watangazaji wengi ni vilaza,juzi kuna mtangazaji alikuwa anatangaza kwamba Chloroquine inatibu Corona sijuhi tunaelekea wapi??
Nimeanza ona watu washaanza kuamini,wamepotezea kunawa mikono na kujikinga.

Chloroquine ni kweli, tamko kutoka FDA kwa Trump huko.... nakubaliana na wewe kuwa wengi wao ni vilaza.
 
kwanza unajitangaza ili iweje? Mara msamaha kama yule mama wa Arusha.....hadi nahisi kichefu.....badala kuendelea na tiba unahangaika kujirekodi......
mbona mkiwa na ukimwi hamjitangazi kwa mbwembwe zote....mgenusuru wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulimbukeni wake FA hauna kipimo ni ulimbukeni wa karne atajuuta kujirokodi guest house kisha kuwahadaa watanzania
 
Shime shime watanzania wote tuungane kumshambulia FA kwa kujaribu kututoa kwenye njia. More than 3000 chinese died, 3000+ Italian died afu achia mbali kwingine huko France, USA, Africa afu yeye analeta sanaa kwenye ishu critical kama hii.
 
MTU na njia iliyotumika sio sahii,wangemtumia kuelimisha jamii jinsi ya kujikinga ,sio hatuabie Corona km mafua.
Wangemtumia hata Fid Q au Joh Makini ila kwa FA wamebugi.
Corona sisi hatuna ila watu hawaelewi, ipo ya kuletwa na ndiyo tunayotakiwa kujikinga nayo.
 
Usiwaamini wasanii wa bongo hata wawaje wana akili za ajabu sana dunia inasema ugonjwa hatari msanii mmoja wa bongo flava anasema ni kihoma tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujuaji wa Kitanzania tayari, Haya anatumiwa na DAB mwambie Siro amkamate
Angekuwa Lema wa Chadema,ungemsikia yule polisi wa kanda sijui anaitwa Mambokale na yule PPD wa Mganga,ungesikia tumemkamata kwa kuleta taharuki kwa jamii.
 
Back
Top Bottom