Nani anamtumia Mwana FA juu ya ugonjwa wa Corona?

Nani anamtumia Mwana FA juu ya ugonjwa wa Corona?

kule arusha wamefunga hotel ,iki kijamaa serikali kinamwogopa
 
Siku zinavyo enda natamani huyu jamaa aingie kwenye siasi tuzoee


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mwana FA yupo sahihi kutoa ile video kwani amewatoa hofu Mashabiki wake na raia wa kawaida wenye hofu kubwa juu ya Corona.(Ni maoni yangu binafsi)

Hata mke wa Waziri mkuu wa Canada alipoumwa Corona alitoa taarifa, wasanii wakubwa na wanamichezo pia wametoa taarifa hata Waziri mkuu wa Spain pia hivyo hakuna tatizo hapo.
Maoni yako binafsi ni haramu ni maoni mabaya sana hayafai kusikilizwa na yeyote mwenye Akili timamu lakini mjinga atakubaliana na wewe kama ulivyokubaliana na mwana FA kienyeji pasipo kutafakari Athari za kuwafanya watanzania wasiogope juu ya janga la corona
 
Wasanii wa bongo na watangazaji wengi ni vilaza, juzi kuna mtangazaji alikuwa anatangaza kwamba Chloroquine inatibu Corona sijuhi tunaelekea wapi?

Nimeanza ona watu washaanza kuamini, wamepotezea kunawa mikono na kujikinga.
 
Usipoteze muda wako kujadili hao wapuuzi maana wanavyomeza Arv mbon a hawatuoneshi kwenye video

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo watu wanamtetea mwana FA kisa ni rafiki yao lakini hawajui thamani ya kuwakumbusha watu kunawa mikono mara kwa mara na kuepuka misongamano itasaidia kuepuka magonjwa mengi ikiwemo TB ambayo imekuwa ikiwaua watanzania wengi pasipo takwimu zake kupungua
 
Wasanii wa bongo na watangazaji wengi ni vilaza,juzi kuna mtangazaji alikuwa anatangaza kwamba Chloroquine inatibu Corona sijuhi tunaelekea wapi??
Nimeanza ona watu washaanza kuamini,wamepotezea kunawa mikono na kujikinga.
Yafaa msisitizo wa kunawa mikono uwe ni wa kudumu isiwe kampeni ya mda mfupi tena kwani kutopena mikono kutawaepusha watanzania na magonjwa mengi likiwemo gonjwa la kansa na magonjwa mengi
 
Sasa atumiwe kupotosha jamii kwa manufaa ya nani? Na kama kweli anatumika, basi ni kwa lengo ambalo ni positive, ni kwa ajili ya kuwa-counter attack wale ambao wanajitokeza kwa ajli ya kupanikisha watu. Hao wanaotumika kutaka kuleta tafrani kwa kuwapanikisha watu, wakiwa wana message negative, wenyewe hujawaona, ila umemuona mwana FA tu. na ambaye tena ana ujumbe ulio pisitive?
 
Miongoni mwa watu ninaowapuuza kwenye nchi hii ni hao viumbe wanaopenda kujiita wasanii jinga kabisa hao!
Wapo watu wanamtetea mwana FA kisa ni rafiki yao lakini hawajui thamani ya kuwakumbusha watu kunawa mikono mara kwa mara na kuepuka misongamano itasaidia kuepuka magonjwa mengi ikiwemo TB ambayo imekuwa ikiwaua watanzania wengi pasipo takwimu zake kupungua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom