Nani anamtumia Mwana FA juu ya ugonjwa wa Corona?

Nani anamtumia Mwana FA juu ya ugonjwa wa Corona?

Ugonjwa Umetikisa Dunia na Umeua Watu Wengi Umeyumbisha Uchumi wa Mataifa makubwa Baadhi Wamefunga Mipaka yao..

Anatokea Mwana FA na kimwanya Chake anatoa maneno ya Kudharau Huu ugonjwa anasema eti haka KAUGONJWA HATA KASIWATISHE na hapo ana siku kadhaa hata hajawa Clear, Pumbaf zake.
 
Ugonjwa Umetikisa Dunia na Umeua Watu Wengi Umeyumbisha Uchumi wa Mataifa makubwa Baadhi Wamefunga Mipaka yao..

Anatokea Mwana FA na kimwanya Chake anatoa maneno ya Kudharau Huu ugonjwa anasema eti haka KAUGONJWA HATA KASIWATISHE na hapo ana siku kadhaa hata hajawa Clear, Pumbaf zake.
Nimekuelewa!
 
Tangu juzi sasa hivi ndio umeelewa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Muache ajipambanue na mwanya wake kama mlango wa noah. Siku akiukwaa kisawasawa ndo atajua Mungu haimbi hip-hop wala bongo flaver. Watu wako serious na dunia imesimama kwasababu ya corona yeye anaibuka na kusema bora malaria. Wazungu wamekosa ALU au Paracetamol?
 
Kuna kikundi cha Watanzania kila kitu lazima waki-link na siasa siasa...utaskia anatumika. Anafanywa vile.
 
Hivi mkuu taarifa ya mgonjwa anatakiwa atoe Nani kila mtu nchi hii NI mjuaji wa kila kitu yeye anahisi mafua anatoa taarifa as if amejipima akajikuta na tatizo
Sijaelewa kwanini watanzania wamekuwa wagumu kumuamini Mwana FA kwamba ana maambukizi ya Corona aliyoyapata Afrika kusini.

Mbona Aurlus Mabere hatunaye kwa sababu ya Corona?

Mbona Mano Dibango naye amepata maambukizi ya Corona!

Hata mimi awali sikuamini lakini baada ya kufuatilia mambo yanayoendelea Afrika kwa sasa ambapo kuna vifo zaidi ya 16 vya Corona sitabisha tena mtu akisema ana maambukizi maana watu wameanza " kuvuta" pamoja na joto lote mfano kule Misri!

Niishie hapo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uongo wewe mabere hajafa kwa corona

Sent using Jamii Forums mobile app
*MWANAMZIKI NGULI AURLUS MABELE AFARIKI DUNIA*

Mwanamuziki wa miondoko ya Soukous Aurlus Mabele amefariki dunia nchini Ufaransa akiwa na miaka 67.


Kwa mujibu wa rafiki yake wa karibu Nyboma Mwandido amethibitisha Aurlus Mabele kufariki dunia, huku taarifa zikieleza kuwa nguli huyo wa miondoko ya Soukous alifariki usiku wa kuamkia Ijumaa Machi 20, 2020 baada ya kuugua ugonjwa wa kiharusi kwa muda mrefu na hivi karibunia alipata maambukizi ya virusi vya corona.

Taarifa zaidi zimeeleza kuwa mwanamuziki huyo pia alikuwa akisumbuliwa kwa ugonjwa wa saratani ya koo, kwa miaka mingi, kabla ya kupata maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa corona.

Ugonjwa huo ambao ulianzia Wuhan nchini China na kusambaa katika nchi mbalimbali duniani, umeua zaidi ya watu 371 nchini Ufaransa.

Aurlus Mabele Alizaliwa mnamo mwaka wa 1953 huko Kongo-Brazzaville katika wilaya ya Poto-Poto nchini Jamhuri ya Kongo alifariki tarehe 20 March 2020.

Jina lake halisi ni Aurélien Miatsonama. Alianzisha kundi liitwalo "Ndimbola Lokole".

Mabele alikuwa mmoja ya waanzilishi na lijendi aliyewahi kuanzisha kundi la Loketo akiwa na wanamuziki wenzake nguli kama Mav Cacharel na Diblo Dibala miaka ya 1980 japo baadae kundi lao lilivunjika.

Mabele akiwa na Mav Cacharel na Diblo Dibala walitengeneza muziki maarufu wa soukous ambapo baadaye akatajwa kama mfalme, na kupelekea msemo wa kuwa "Aurlus Mabele ndiye mfalme wa soukous".


Mabele alikuwa ni msanii pekee aliyeweka makazi yake jijini Paris Ufaransa na kutamba katika miaka ya 1980 akitumia santuri.
Mabele pia aliwahi kutamba na nyimbo zake maarufu kama Embargo, Liste Rouge.


Katika miaka 25 ya kazi zake ameuza zaidi ya nakala milioni 10 za albamu dunia nzima na alisaidia kwa kiasi kikubwa katika kuitambulisha na kuisukuma vilivyo muziki wa soukous nje ya mipaka ya bara la Afrika.
Alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kupooza kwa miaka mitano, lakini aliweza kujipanga ili kufanya matamasha na kundi zima la Loketo huko Ulaya kati ya mwezi Mei na Juni, 2009.


Kwa kushirikiana na wapiga magitaa maarufu na wenye vipaji, alitengeneza dansi ya Kiafrika yenye ladha yake ya kipekee ya soukous kwa kutunga nyimbo kama vile Mousso Africa, Ivorian woman, Embargo, Betty De Asta, Evelyne, Loketo na kadhalika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
*MWANAMZIKI NGULI AURLUS MABELE AFARIKI DUNIA*

Mwanamuziki wa miondoko ya Soukous Aurlus Mabele amefariki dunia nchini Ufaransa akiwa na miaka 67.


Kwa mujibu wa rafiki yake wa karibu Nyboma Mwandido amethibitisha Aurlus Mabele kufariki dunia, huku taarifa zikieleza kuwa nguli huyo wa miondoko ya Soukous alifariki usiku wa kuamkia Ijumaa Machi 20, 2020 baada ya kuugua ugonjwa wa kiharusi kwa muda mrefu na hivi karibunia alipata maambukizi ya virusi vya corona.

Taarifa zaidi zimeeleza kuwa mwanamuziki huyo pia alikuwa akisumbuliwa kwa ugonjwa wa saratani ya koo, kwa miaka mingi, kabla ya kupata maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa corona.

Ugonjwa huo ambao ulianzia Wuhan nchini China na kusambaa katika nchi mbalimbali duniani, umeua zaidi ya watu 371 nchini Ufaransa.

Aurlus Mabele Alizaliwa mnamo mwaka wa 1953 huko Kongo-Brazzaville katika wilaya ya Poto-Poto nchini Jamhuri ya Kongo alifariki tarehe 20 March 2020.

Jina lake halisi ni Aurélien Miatsonama. Alianzisha kundi liitwalo "Ndimbola Lokole".

Mabele alikuwa mmoja ya waanzilishi na lijendi aliyewahi kuanzisha kundi la Loketo akiwa na wanamuziki wenzake nguli kama Mav Cacharel na Diblo Dibala miaka ya 1980 japo baadae kundi lao lilivunjika.

Mabele akiwa na Mav Cacharel na Diblo Dibala walitengeneza muziki maarufu wa soukous ambapo baadaye akatajwa kama mfalme, na kupelekea msemo wa kuwa "Aurlus Mabele ndiye mfalme wa soukous".


Mabele alikuwa ni msanii pekee aliyeweka makazi yake jijini Paris Ufaransa na kutamba katika miaka ya 1980 akitumia santuri.
Mabele pia aliwahi kutamba na nyimbo zake maarufu kama Embargo, Liste Rouge.


Katika miaka 25 ya kazi zake ameuza zaidi ya nakala milioni 10 za albamu dunia nzima na alisaidia kwa kiasi kikubwa katika kuitambulisha na kuisukuma vilivyo muziki wa soukous nje ya mipaka ya bara la Afrika.
Alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kupooza kwa miaka mitano, lakini aliweza kujipanga ili kufanya matamasha na kundi zima la Loketo huko Ulaya kati ya mwezi Mei na Juni, 2009.


Kwa kushirikiana na wapiga magitaa maarufu na wenye vipaji, alitengeneza dansi ya Kiafrika yenye ladha yake ya kipekee ya soukous kwa kutunga nyimbo kama vile Mousso Africa, Ivorian woman, Embargo, Betty De Asta, Evelyne, Loketo na kadhalika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana mkuu!
 
Kinachomcost FA ni ile baada ya CORONA kutangazwa kufika Tanzania, akavaa mask kama zote na picha za kutosha insta, wanazengo wakamchallenge mzee baba hizo si zinavaliwa mtu ukishapata ugonjwa jamaa akamaind sana kwa kua anajua zaidi na kudiss waliomuuliza. Siku mbili mbele mara kaupata hapo ndio wadau wakaanza kudoubt we si ndio ulikua fundi wa huu ugonjwa, imekuaje?
 
Back
Top Bottom