Nani anamtumia Mwana FA juu ya ugonjwa wa Corona?

Kwenye kilugha chetu huwa tuma msemo mmoja unaoosema hivi: CHIZI HUWA HATOI TAHADHARI YA VITA INAYOKUJA, kwa maana kuwa akipita chizi anasema kuwa Kule Kibaha sasa hivi hali ni tete tuchukueni tahadhari, na kwa bahati nzuri au mbaya taarifa za chizi huyo zikawa ni za kweli, NOBODY WILL LISTEN, kwa sababu watu wanajua kuwa ni chizi. Mpaka pale watu watakaposhuhudia madhara yakiwa tayari yameshawafika, ndiyo watakapoanza ku-recall kwamba kumbe yule chizi taarifa zake zilikuwa ni za kweli!

Mwan FA kama alikuwa kweli ametumwa na watu kutoa taarifa hizo, basi nachelea kusema kuwa waliokuwa wamemtuma wana akili ndefu kuzidi akili ya asilimia 90 ya watanzania wote, wewe mweneyewe ukiwa mmoja wao. Si kila hoax unayoisikia kwenye media imetokana na fikra za akili ndogo ila kwa haraka haraka, hoax zote huwa zinaonekana kama ni ubunifu wa watu machizi chizi hivi, NOT ALWAYS rafiki yangu
 

Kwahiyo HOAX ni clever living undertaking ya civilized people?

Hoax ni lies,and are to be debunked!

Hoax mongers are stupid people using lies to push their stupid agenda!

MwanaFA is garbage!

Everybody know!
 
Kwahiyo HOAX ni clever living undertaking ya civilized people?

Hoax ni lies,and are to be debunked!

Hoax mongers are stupid people using lies to push their stupid agenda!

MwanaFA is garbage!

Everybody know!
Hey pleaset take it easy, just in case you are too civilized to the extent that you cannot be in a position to accommodate what's already going on. It's because it has happened already. so what do you do?
Multiple ID???
 
Hey pleaset take it easy, just in case you are too civilized to the extent that you cannot be in a position to accommodate what's already going on. It's because it has happened already. so what do you do?
Multiple ID???

Multiple IDs?

Me?

For what hasa mzee?

Im fvcken Wyatt Mathewson,every nigga knows me!

Ongea na mods wakuangalizie kama nina IDs mbili

Waulize

What has happened?

MwanaFA is a lier!

Alidanganya,for his bitchness,na we dont care what happened later!

Fvck him and his bitch slave master!
 
NASIKIA CCM WAMEAMUA KUMTUMIA HUYU ILI KUWAAMINISHA WATU KUWA CORONA SIYO HATARI. UKWELI NI KWAMBA HUYU NDUGU HAUMWI CORONA. HUWEZI KUWA KATIKA ENEO LA KUTENGWA HALAFU UNAKUWA NA ACCESS NA VYOMBO VYA HABARI KIASI HICHO. KUMBUKA WAGONJWA WA CORONA SIO WASEMAJI WA CORONA
 
Kuna fomu zinajazwa online kwa wote wanaobisha kuwa FA haumwi
Ukishajaza Basi unapekekwa aliko unakumbatiana nae na yeye anaruhusiwa kukohoa bila kuziba mdomo huku wewe ukiwepo.
Vipi umeshaja hizo fomu au mnapiga tu kelele huku?
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wakitoa taarifa mastaa wa nje mnawaamini, wa bongo mnawaona waongo! Wabongo bana

Corona ni mafua yanaua mizungu kama flu inavyo waua. Wabongo hawana uhakika wa mlo wa usiku leo wanataka kuacha kazi kisa corona shenzi sana, ndo maana JPM kasema watu wapige kazi waache kutishana.
 
Na Mbowe je? Katumwa na nani kumtangaza mwanawe kuwa ana Corona? Au nae anajiandaa kuunga mkono juhudi?
 
Simfahamu vizuri huyo FA, ila napenda tu kuchangia machache. Corona ipo, na inaambukiza kwa haraka kwa urahisi sana. Ila, siyo kila atakayeambukizwa apate zile dalili tulizoelezwa. Wako watakaopata baadhi, wako watakaopata zote, na wako watakaopata bila kujua kama walipata. Kwa hiyo tuchukue tu tahadhari.
 
Kuna fomu zinajazwa online kwa wote wanaobisha kuwa FA haumwi
Ukishajaza Basi unapekekwa aliko unakumbatiana nae na yeye anaruhusiwa kukohoa bila kuziba mdomo huku wewe ukiwepo.
Vipi umeshaja hizo fomu au mnapiga tu kelele huku?
Weka link hapa watu tujaze!
 
Nyumbu hutawaweza. Wana mambo mengi sana. Kwa hiyo Mbowe na mwanaye wao wanatumika na nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatimaye kazi yake imelipa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…