Nani anamtumia Mwana FA juu ya ugonjwa wa Corona?

Nani anamtumia Mwana FA juu ya ugonjwa wa Corona?

Unapotumia uongo ku-put your point across wewe ni fraud tu!

Haijalishi motive or anything behind it!

Ishu ni kua huyu Mwajuma na kilaza mwenzie Mwalimu wa Zamu wanafanya Kaole kabisa of which made them look pathetic and silly kwenye issue serious kama hii

Ya nini maigizo,?

For what hasa?Wananchi sio watoto

This made the whole thing seem pathetic kabisa!
Kwenye kilugha chetu huwa tuma msemo mmoja unaoosema hivi: CHIZI HUWA HATOI TAHADHARI YA VITA INAYOKUJA, kwa maana kuwa akipita chizi anasema kuwa Kule Kibaha sasa hivi hali ni tete tuchukueni tahadhari, na kwa bahati nzuri au mbaya taarifa za chizi huyo zikawa ni za kweli, NOBODY WILL LISTEN, kwa sababu watu wanajua kuwa ni chizi. Mpaka pale watu watakaposhuhudia madhara yakiwa tayari yameshawafika, ndiyo watakapoanza ku-recall kwamba kumbe yule chizi taarifa zake zilikuwa ni za kweli!

Mwan FA kama alikuwa kweli ametumwa na watu kutoa taarifa hizo, basi nachelea kusema kuwa waliokuwa wamemtuma wana akili ndefu kuzidi akili ya asilimia 90 ya watanzania wote, wewe mweneyewe ukiwa mmoja wao. Si kila hoax unayoisikia kwenye media imetokana na fikra za akili ndogo ila kwa haraka haraka, hoax zote huwa zinaonekana kama ni ubunifu wa watu machizi chizi hivi, NOT ALWAYS rafiki yangu
 
Kwenye kilugha chetu huwa tuma msemo mmoja unaoosema hivi: CHIZI HUWA HATOI TAHADHARI YA VITA INAYOKUJA, kwa maana kuwa akipita chizi anasema kuwa Kule Kibaha sasa hivi hali ni tete tuchukueni tahadhari, na kwa bahati nzuri au mbaya taarifa za chizi huyo zikawa ni za kweli, NOBODY WILL LISTEN, kwa sababu watu wanajua kuwa ni chizi. Mpaka pale watu watakaposhuhudia madhara yakiwa tayari yameshawafika, ndiyo watakapoanza ku-recall kwamba kumbe yule chizi taarifa zake zilikuwa ni za kweli!

Mwan FA kama alikuwa kweli ametumwa na watu kutoa taarifa hizo, basi nachelea kusema kuwa waliokuwa wamemtuma wana akili ndefu kuzidi akili ya asilimia 90 ya watanzania wote, wewe mweneyewe ukiwa mmoja wao. Si kila hoax unayoisikia kwenye media imetokana na fikra za akili ndogo ila kwa haraka haraka, hoax zote huwa zinaonekana kama ni ubunifu wa watu machizi chizi hivi, NOT ALWAYS rafiki yangu

Kwahiyo HOAX ni clever living undertaking ya civilized people?

Hoax ni lies,and are to be debunked!

Hoax mongers are stupid people using lies to push their stupid agenda!

MwanaFA is garbage!

Everybody know!
 
Kwahiyo HOAX ni clever living undertaking ya civilized people?

Hoax ni lies,and are to be debunked!

Hoax mongers are stupid people using lies to push their stupid agenda!

MwanaFA is garbage!

Everybody know!
Hey pleaset take it easy, just in case you are too civilized to the extent that you cannot be in a position to accommodate what's already going on. It's because it has happened already. so what do you do?
Multiple ID???
 
Hey pleaset take it easy, just in case you are too civilized to the extent that you cannot be in a position to accommodate what's already going on. It's because it has happened already. so what do you do?
Multiple ID???

Multiple IDs?

Me?

For what hasa mzee?

Im fvcken Wyatt Mathewson,every nigga knows me!

Ongea na mods wakuangalizie kama nina IDs mbili

Waulize

What has happened?

MwanaFA is a lier!

Alidanganya,for his bitchness,na we dont care what happened later!

Fvck him and his bitch slave master!
 
NANI ANAMTUMIA MWANA FA?

Na Thadei Ole Mushi

Mwana FA yupo Karantini au yupo nyumbani?

Wagonjwa wanaojulikana positive si wanawekwa Karantini chini ya uangalizi?

Mbona hajavaa Mask? Wanaomletea Chai, Chakula nk si atawaambukiza wote?

Je ni Nani anahusika kuvitangaza hivi visa? Ni wagonjwa wenyewe au Waziri? Naona Mwana FA na Meneja wa Diamond kashajitangaza wenyewe hata hivyo idadi ya walioambukizwa haikuongezeka au Hawa sio watanzania? Mbona Waziri haongezi idadi ya wagonjwa?

Anadai ametoka S.A juzi na video kaitoa Jana kwa maana hiyo juzi Ni jumanne ndio alirudi ila Jumapili alikuwa nchini kwa kuwa kwenye Uzinduzi wa albam ya Harmonize alikuwepo au tuseme aliondoka Jumapili na kurudi jumanne inawezekana ila angelituambi S.A alienda lini tungemwamini zaidi.

Kwa alichokipost baada ya hii video Ni kuwa malaria Ni hatari zaidi ya Corona kwa kuwa kapona. Kwa maneno haya tahadhari zote ambazo watu walikuwa wanazichukua wataacha kwa kuwa Ni ka ugonjwa kadogo na utapona tu kama yeye. Si tunajua huyu Ni celebrity hivyo vijana wengi watamuamini na kuacha kufuata kanuni za afya.

Nani anamtumia Mwana FA kupotosha jamii? Wizara ya Afya haioni upotoshaji huu wa wazi? Kwa Nini hawamkamati? Wanaomtumia kupotosha kwa nn wasimtumie kuwapa watu Elimu zaidi?

Serikali mbona haitoi tamko? Msanii mkubwa Kama huyu anasikilizwa na watu wengi je tufuate anayoyasema? Maswali Ni mengi kuliko majibu ila swali kuu linabakia Nani Anayemgumia na Kumtuma Mwana FA?

Tunavyozungumza hivi makamu wa pili wa Rais Burkinafaso ameshafariki kutokana na Corona. Mwana FA anatuambia hii ni vimafua tu?

Tuneona Ummy Mwalimu akimtakia kila la Kheri Mwana FA kuwa utavishinda tu hivi virusi mdogo wangu mbona Hao wengine sita wa awali hajawatakia salamu hii na Kheri hii? Nani anamtuma Mwana FA na Kwa malengo gani?

Ole Mushi
0712702602View attachment 1393727

Sent using Jamii Forums mobile app
NASIKIA CCM WAMEAMUA KUMTUMIA HUYU ILI KUWAAMINISHA WATU KUWA CORONA SIYO HATARI. UKWELI NI KWAMBA HUYU NDUGU HAUMWI CORONA. HUWEZI KUWA KATIKA ENEO LA KUTENGWA HALAFU UNAKUWA NA ACCESS NA VYOMBO VYA HABARI KIASI HICHO. KUMBUKA WAGONJWA WA CORONA SIO WASEMAJI WA CORONA
 
Kuna fomu zinajazwa online kwa wote wanaobisha kuwa FA haumwi
Ukishajaza Basi unapekekwa aliko unakumbatiana nae na yeye anaruhusiwa kukohoa bila kuziba mdomo huku wewe ukiwepo.
Vipi umeshaja hizo fomu au mnapiga tu kelele huku?
 
Chanjo,dawa bado wataaram tupo kwny majaribio,majaribio yakiwa tyr tutawapa majibu.

WHO imetoa dawa tatu ambazo zinazaniwa zikiongezewa ngumu kwa kuchangnya na Chemicals nyngn zinaweza tibu Corona dawa hizo ni Chloroquine,HIV tablets na Chinese Traditional medicine.Majibu mpk mwezi wa April ndio maana shughuli nyng zimefungwa kwa mwezi kwa matarajio adi April wataaramu watakuwa washafanikisha dawa na chanjo.

Ss sio update Corona ukanywe ARV au Chloroquine utakufa maana ili Chloroquine iwe dawa kuna kitu kinaongezwa kwanza knw Chloroquine ss wasioelew wamebeba tu kwmb Chloroquine dawa ya Corona.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wakitoa taarifa mastaa wa nje mnawaamini, wa bongo mnawaona waongo! Wabongo bana

Corona ni mafua yanaua mizungu kama flu inavyo waua. Wabongo hawana uhakika wa mlo wa usiku leo wanataka kuacha kazi kisa corona shenzi sana, ndo maana JPM kasema watu wapige kazi waache kutishana.
 
NASIKIA CCM WAMEAMUA KUMTUMIA HUYU ILI KUWAAMINISHA WATU KUWA CORONA SIYO HATARI. UKWELI NI KWAMBA HUYU NDUGU HAUMWI CORONA. HUWEZI KUWA KATIKA ENEO LA KUTENGWA HALAFU UNAKUWA NA ACCESS NA VYOMBO HABARI KIASI HICHO. KUMBUKA WAGONJWA WA CORONA SIO WASEMAJI WA CORONA
Na Mbowe je? Katumwa na nani kumtangaza mwanawe kuwa ana Corona? Au nae anajiandaa kuunga mkono juhudi?
 
Simfahamu vizuri huyo FA, ila napenda tu kuchangia machache. Corona ipo, na inaambukiza kwa haraka kwa urahisi sana. Ila, siyo kila atakayeambukizwa apate zile dalili tulizoelezwa. Wako watakaopata baadhi, wako watakaopata zote, na wako watakaopata bila kujua kama walipata. Kwa hiyo tuchukue tu tahadhari.
 
Kuna fomu zinajazwa online kwa wote wanaobisha kuwa FA haumwi
Ukishajaza Basi unapekekwa aliko unakumbatiana nae na yeye anaruhusiwa kukohoa bila kuziba mdomo huku wewe ukiwepo.
Vipi umeshaja hizo fomu au mnapiga tu kelele huku?
Weka link hapa watu tujaze!
 
Wakitoa taarifa mastaa wa nje mnawaamini, wa bongo mnawaona waongo! Wabongo bana

Corona ni mafua yanaua mizungu kama flu inavyo waua. Wabongo hawana uhakika wa mlo wa usiku leo wanataka kuacha kazi kisa corona shenzi sana, ndo maana JPM kasema watu wapige kazi waache kutishana.
Nyumbu hutawaweza. Wana mambo mengi sana. Kwa hiyo Mbowe na mwanaye wao wanatumika na nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NANI ANAMTUMIA MWANA FA?

Na Thadei Ole Mushi

Mwana FA yupo Karantini au yupo nyumbani?

Wagonjwa wanaojulikana positive si wanawekwa Karantini chini ya uangalizi?

Mbona hajavaa Mask? Wanaomletea Chai, Chakula nk si atawaambukiza wote?

Je ni Nani anahusika kuvitangaza hivi visa? Ni wagonjwa wenyewe au Waziri? Naona Mwana FA na Meneja wa Diamond kashajitangaza wenyewe hata hivyo idadi ya walioambukizwa haikuongezeka au Hawa sio watanzania? Mbona Waziri haongezi idadi ya wagonjwa?

Anadai ametoka S.A juzi na video kaitoa Jana kwa maana hiyo juzi Ni jumanne ndio alirudi ila Jumapili alikuwa nchini kwa kuwa kwenye Uzinduzi wa albam ya Harmonize alikuwepo au tuseme aliondoka Jumapili na kurudi jumanne inawezekana ila angelituambi S.A alienda lini tungemwamini zaidi.

Kwa alichokipost baada ya hii video Ni kuwa malaria Ni hatari zaidi ya Corona kwa kuwa kapona. Kwa maneno haya tahadhari zote ambazo watu walikuwa wanazichukua wataacha kwa kuwa Ni ka ugonjwa kadogo na utapona tu kama yeye. Si tunajua huyu Ni celebrity hivyo vijana wengi watamuamini na kuacha kufuata kanuni za afya.

Nani anamtumia Mwana FA kupotosha jamii? Wizara ya Afya haioni upotoshaji huu wa wazi? Kwa Nini hawamkamati? Wanaomtumia kupotosha kwa nn wasimtumie kuwapa watu Elimu zaidi?

Serikali mbona haitoi tamko? Msanii mkubwa Kama huyu anasikilizwa na watu wengi je tufuate anayoyasema? Maswali Ni mengi kuliko majibu ila swali kuu linabakia Nani Anayemgumia na Kumtuma Mwana FA?

Tunavyozungumza hivi makamu wa pili wa Rais Burkinafaso ameshafariki kutokana na Corona. Mwana FA anatuambia hii ni vimafua tu?

Tuneona Ummy Mwalimu akimtakia kila la Kheri Mwana FA kuwa utavishinda tu hivi virusi mdogo wangu mbona Hao wengine sita wa awali hajawatakia salamu hii na Kheri hii? Nani anamtuma Mwana FA na Kwa malengo gani?

Ole Mushi
0712702602View attachment 1393727

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatimaye kazi yake imelipa
 
Back
Top Bottom