Muweke Mwakasege Mbali na upuuzi aisee.
Usimfananishe mwakasege na vitu vya kipumbavuNi wale wale tu pwagu na pwaguzi wanazidiana mikakati tu
Umeongea PointMkuu siku hizi kinachoongelewa zaidi katika Mahubiri ni logic tu. Sikiliza alivyokuwa anahubiri JOSHUA ndio wengi wanahubiri hivyo hawa wahibiri wa kisasa. Hata wewe ukiweza kuosoma.vizuri na kuielewa utapendwa katika mahubiri yako. Wachungaji wakongwe wengi walikosa hiyo kitu ila vijana wengi wamesoma wanajua kuflow na premises.
Kanisa lake la pale morogoro kisonga anamuachia nani?Naona amehamia dar. Na anampango wa kuujenga kanisa.
Yah mwanae ndie na huduma ya tony kwa sasa iko chini ya nabii urbet angel ndo maana ameanza kujiita OsbornMbona juzi Nabii Angel alipokuwa Tanzania alimwita my son. Halafu Tony akawa anampigia magoti arudi bongo.
Apunguze kuruhusu wahumini wake kuingia uchi madhabahu ya bwana.Apunguze kiswanglish
Unawajua ma pastors wenyewe au unaropoka ili umuelewa pastor inabidi uwe na maneno machache rohoni ila kama uko vizuri rohoni hauwezi kumuelewa huyu.Wewe umeona mavazi tu ausio??? kwa bongo hakuna pastor anafundisha neno kwa uwezo mkuwa kumshinda huyu jamaa ni kijana ila laiti angekuwa na kanisa dar ningekuwa nasali kwake...!! ni mtumishi pekee kwenye maisha yangu namuona anaongelea neno masaa 4 plus bila kutaja sadaka ni zaidi ya mwalimu wa neno. Watu wanamsifia mwakasege sana nadhani huyu atamfata ni genius aje dar aokoe vijana na kizazi hiki kwa mafundisho pia kwa ustawi wa maisha yake.
Kwa kufanya money laundering si ndiyo?Anaitwa Antony Kapola
Ana Masters ya Cyber security
Mkewe ana PhD.
Ana kanisa lake Morogoro ndiyo. Ila ana semina karibia Mikoa mingi. Kote huko ulipopataja. Halazimiki kubaki hapo Morogoro
Kanisa lake lipo chini ya Ministry ya Eubert Angel, huyo nabii anaiyemuita baba.
Unaweza kumtafsiri Eubert kama tapeli, ila taifa lake linamuona wa maana. Anasaidia kupooza makali ya vikwazo vya kiuchumi.
Duh aisee ni balaaNi tapeli m1 hivi mjini.
Ana mafungamano ya huduma yake na tapeli wa Zimbabwe ambaye ni mtakatishaji fedha maarufu sanaa
Umevuta bhangi????Unawajua ma pastors wenyewe au unaropoka ili umuelewa pastor inabidi uwe na maneno machache rohoni ila kama uko vizuri rohoni hauwezi kumuelewa huyu.
Amechagua niche yake huna na Kinge huwezi kukwepaTony yuko vizuri ila niliamua kumpuuza baada ya kuona anapenda KISWANGLISH. Mahubiri yake ni kwa wenye hela na wasomi. Nimemweka kundi moja na kina Masanja. Pia kujiunga na tapeli wa Zimbabwe inapoteza imani kabisa. Haiwezekani uwe unapiga madili yaliyokaa kimafia halafu hapohapo uwe mchungaji.
Alisoma SUA mwaka gani na pia alisoma nini?Nimesoma nae Sua,alikua mshkaji tu Badae namuona anatrend[emoji23]
Wambie bad ni watoto tu hao wao wanamizambi Wamekali kusema watumishiHaya majibu haya hapa. Kapola anatii maagizo
View attachment 2677674
Bado Hujasema kijana mpaka useme dishAlisoma SUA mwaka gani na pia alisoma nini?
Sijakuelewa kabisa, kuuliza mwaka aliosoma ni kosa? Hii comment umeandika ukiwa umelewa au?Bado Hujasema kijana mpaka useme dish
Ni pwagu na pwaguzi tu mwakasege kanjanja sanaUsimfananishe mwakasege na vitu vya kipumbavu
Angalia comment #57Alisoma SUA mwaka gani na pia alisoma nini?