Nani anamuelewa Pastor Tony Kapola?

Nani anamuelewa Pastor Tony Kapola?

Kuna wakati flani kwenye maisha yangu ya dhambi nilienda kwa mganga mida ya asubuhi sasa nikakuta mganga kama kachoka sana. Kumuuliza ndo akasema usiku mzima alikesha anahudumia wachungaji.
Pana wachungaji wanaweka bible madhabauni na hawazifungui wote hao ni washirikina Huwa wanamezeshwa bibla na waganga.
Wanamezeshwaji wanachana ukurusa la kwanza yaani kitbu Cha mwanzo na kitbu Cha ufunuo wanachanga na dawa na maji wanakoroga unapewa unakunywa, Biblia nzima inakaa kichwan,wao utumia Biblia kwa kupotosha na Sio kufundisha neno la Mungu ukazia mafundisho ya kishetani mfano
.1Bwana anaangalia moyo hapa ndipo ishu za vimini na nguo za kupromote ngono na uzinzi makanisani
2.Mfalme daudi alicheza akabaki uchi hapa ndipo zilipoingizwa densi za mikatiko ya kingono isiyo na staha Wala heshima kwa Mungu.Beat za kuzimu makanisani mfano amapiano,rap,taarabu,singeli nk
3 Visaidizi mfano upako,chumvi,nk
 
Hujui unachokisema.

Binafsi naheshimu sana watumishi wa Mungu lakini ukweli acha usemwe. Wengine hawajasimama katika kweli na wanafanya madhara makubwa sana na huu Ukristo wetu wa kisasa wa kuabudu personality za hawa mitume na manabii badala ya kusimama katika Neno.

In short Kapola is dirty. Ameharibu mabinti wengi sana waliopita pale kwake. Clinically the guy can be classified as a prolific and ruthless sexual predator. Ingekuwa ni huko kwenye nchi za wenzetu angekuwa na kesi nyingi sana mahakamani za sexual manipulation, grooming and abuse.

Na kwa vile Mungu huwa hadhihakiwi, subiri anguko lake litakapofika ndiyo utaelewa. Kwa sasa kama unasali kwake au unamwona tu kwenye TV huwezi kuelewa. Tunza hii comment na tuombe tuwe wazima.

Pray for him, if you can!

View attachment 2678117
Bro kwema naona unatoa detail information, tunashukuru
 
Hapana asee, kwa mwakasege nitapinga mpaka dakika ya mwisho, yule mzee naanza kumfahamu tangu anahubiri pale kwenye kiwanja cha shule ya Arusha meru secondary, baadae akahamia pale relini

Tafuta mfano mwingine hata wakina mzee wa upako lusekelo [emoji38][emoji481][emoji482]
MWAKASEGE usijaribu kumlinganisha na hawa watoto wa juzi wamekalia ubishoo
 
Halafu misukule yake ipo hapa imekazana kutoa vitisho eti usiwaseme watumishi wa Mungu kumbe Mungu wala hahusiki wanaendeshwa na wafuasi wa nguvu za giza!

Kuna mabinti wamepita pale wakawa sexually abused hawataki tena hata kusikia neno Yesu maishani mwao. Hawa wakiishia kwenda motoni siku ya mwisho huyu sexual predator atakuja kujibu nini kwa roho hizi anazozipoteza?

Wakati masikini he is gifted as a preacher yaani angesimama katika haki na kweli angekuwa na huduma moja nzuri sana iliyojaa ushuhuda na ukombozi.

Inasikitisha sana. Mchungaji unakuwa sexual predator kwa kondoo wako mwenyewe? Tena mabinti wadogo wadogo ambao ndiyo kwanza wanajitambua kimaisha?

Devilish!
Bro embu elaborate hapo kwenye sexual predator anafanya mambo ya mzee Robert kelly
 
Huyu jamaa ni mhimu balaa ,juzi nilikutane nae pale sinza Africana anaongea kama wale wahuni wa mbagala tu ..


Harafu nasikia anawapiga Sana p.umbu waumini wake hatariii...[emoji23]

Masikin tule tubinti kila siku mellenium tower kusali pale kumbe anawagonga na visket vyao vifupu na suruali ....
 
Huyu jamaa ni mhimu balaa ,juzi nilikutane nae pale sinza Africana anaongea kama wale wahuni wa mbagala tu ..


Harafu nasikia anawapiga Sana p.umbu waumini wake hatariii...[emoji23]

Masikin tule tubinti kila siku mellenium tower kusali pale kumbe anawagonga na visket vyao vifupu na suruali ....
Vinagawa pumbu mtaani na Kanisani
 
Hujui unachokisema.

Binafsi naheshimu sana watumishi wa Mungu lakini ukweli acha usemwe. Wengine hawajasimama katika kweli na wanafanya madhara makubwa sana na huu Ukristo wetu wa kisasa wa kuabudu personality za hawa mitume na manabii badala ya kusimama katika Neno.

In short Kapola is dirty. Ameharibu mabinti wengi sana waliopita pale kwake. Clinically the guy can be classified as a prolific and ruthless sexual predator. Ingekuwa ni huko kwenye nchi za wenzetu angekuwa na kesi nyingi sana mahakamani za sexual manipulation, grooming and abuse.

Na kwa vile Mungu huwa hadhihakiwi, subiri anguko lake litakapofika ndiyo utaelewa. Kwa sasa kama unasali kwake au unamwona tu kwenye TV huwezi kuelewa. Tunza hii comment na tuombe tuwe wazima.

Pray for him, if you can!

View attachment 2678117
Ukiambiwa uthibitishe ushahidi unao?
Au ndio stori za vijiweni hizi ila inshort ukiwa na jina mjini huwezi kosa kashfa
 
Ukiambiwa uthibitishe ushahidi unao?
Au ndio stori za vijiweni hizi ila inshort ukiwa na jina mjini huwezi kosa kashfa
Mkuu Kapola ni mhuni ambaye amebarikiwa kuwa na uwezo wa kushawishii na kumotivate watu ,kapita kwenye bible kukamilisha nguvu ya ushawishi .....

Kutana nae live ongea nae utajua hana vina Saba vyovyote vya uchungaji wala u pastor ,mwonekano ,lugha ,mavazi ,matendo yote ya kidunia tu ...

Mbaya zaidi anapelekea moto wale kondoo wake ....

Nenda millennium tower pale ndio chimbo lake ....
 
Mkuu Kapola ni mhuni ambaye amebarikiwa kuwa na uwezo wa kushawishii na kumotivate watu ,kapita kwenye bible kukamilisha nguvu ya ushawishi .....

Kutana nae live ongea nae utajua hana vina Saba vyovyote vya uchungaji wala u pastor ,mwonekano ,lugha ,mavazi ,matendo yote ya kidunia tu ...

Mbaya zaidi anapelekea moto wale kondoo wake ....

Nenda millennium tower pale ndio chimbo lake ....
nilimuonaga sua hospital pale kavaa crazy jeans
 
Huyu jamaa ni mhimu balaa ,juzi nilikutane nae pale sinza Africana anaongea kama wale wahuni wa mbagala tu ..


Harafu nasikia anawapiga Sana p.umbu waumini wake hatariii...[emoji23]

Masikin tule tubinti kila siku mellenium tower kusali pale kumbe anawagonga na visket vyao vifupu na suruali ....
cocastic tutafutie mafaili yake pastor kapola. Je ni kweli anakula pisi kali zinazokuja kwenye mahubiri au wanamsingizia?


Kama kweli jamaa anakula pisi kali zinazokuja kwenye mahubiri yake, atakua anazingua mno 😂😂. Nasubiria ile siku mange apost "pastor kapola achafua hali ya hewa habari kamili kwenye app"
 
cocastic tutafutie mafaili yake pastor kapola. Je ni kweli anakula pisi kali zinazokuja kwenye mahubiri au wanamsingizia?


Kama kweli jamaa anakula pisi kali zinazokuja kwenye mahubiri yake, atakua anazingua mno [emoji23][emoji23]. Nasubiria ile siku mange apost "pastor kapola achafua hali ya hewa habari kamili kwenye app"
Ndugu hao ni maadui wa injili lengo lao ni kukatisha tamaa watu wasihubiri neno la Mungu,amini huo ni uzushi tu.
 
Back
Top Bottom