Nani anamuelewa Pastor Tony Kapola?

Nani anamuelewa Pastor Tony Kapola?

Nani anamfahamu vizuri pastor Tony kapola.

Kanisa lake liko wapi ?
Nilisikia liko morogoro kutwa yupo Dar,dodoma

Kwanini waumini wake na mke wanavaa nguo za ovyo ?

Inakuaje ameungana na hawa manabii wa uongo matapeli wa zimbabwe ?
Ktik moja ya mahubiri yake alipata kusema ili mtu kuwa na pesa au tajiri inampas mtu kuwa na roho mbaya zaidi na kuwa fedhuli

Naona kma Ana kitu Cha kuwaambia wtz
 
Kila penye feki original ipo.
Mitume na manabii wa kweli wapo wengi tu
As for me nakataa ila sikulazimishi uamini!

Hao unaoona wanakusanya watu kuna cha ziada wanachotumia siyo nguvu ya neno la Mungu,(japo neno la Mungu linatenda kwa wale wanaoihubiri kweli).

Manabii enzi za mababu wa imani walikuwa wanatumwa kuwakumbusha watu umuhimu wa kumrudia Mungu na kutenda mema ila hawa wa kisasa hawasemi hayo wao wanawaambia watu watafute hela haijalishi wataiba au wataloga na kwamba hakuna aliyezaliwa awe maskini,au kuwaahidi watu watamiliki magari nyumba nzuri etc vitu ambavyo haviwasaidii chochote kwenye ulimwengu wa kiroho.

Kila mtu amewekewa na Mungu uwezo wa kupambana kiimani na yanayomsibu kama umaskini mapepo etc siyo lazima kwenda kwa hao popoma,na mpaka watu waje kustuka kwamba jamaa ni wapigaji watakuwa wameng'atwa sana.
 
Acha wivu tafuta hela. Wamissionari walitoka huko mpaka huku kutafuta kondoo

Yesu hakutulia mji mmoja alizunguka sana

Na aliagiza ya kwamba ENENDENI ULIMWENGUNI KOTE... sasa wewe unasoma biblia ukiwa umetumia aina gani ya kikevi mpaka usielewe jambo dogo hilo?
Ni hoja hi lkn nimekuelewa mnk Kweli wamisionari na wakoloni walitoka mbli Kuja hapa kueneza udini Ni kweli walielewa maandiko yanasema nn
 
Kapola namfahamu kiasi. Na huu ndiyo ukweli.

Kapola amesoma SUA; Bachelor. SUA alisoma Rural Development. Hana Masters yo yote labda kama ni kamba na majigambo yake ya kawaida!.

Mkewe ana Masters ya Jordan University hapo hapo Morogoro. Ni mwalimu by profession. Hana PhD, wala hafanyi PhD na wala hajawahi kufanya PhD.

Kanisa lake lipo chini ya Calvary Assemblies of God kwa Bishop Ryoba by then ndiye alikuwa spiritual father wake. Sasa hivi Calvary ipo chini ya Bishop Makundi. Kapola hata vyeti vya ndoa vya waumini wake anatumia vya Calvary.

View attachment 2677791
Sasa mkuu kwenye bio yake ya Instagram ameandika Ms Cyber security Sasa inakuwaje baba mchungaji adanganye
 
Kapola yuko talented na Biblia kidogo anaijua ila hajasimama katika kweli and he is only after money, show off, u celebrity na ngono na waumini wake. Anguko lake huyu dogo litakuwa la aibu kubwa. Kuna mambo anafanya pale kanisani kwake yanasikitisha sana japo kwa sasa ni kama kapatelekeza kamwachia dogo mmoja Msukuma lecturer wa SUA anaitwa Masunga.

Mwekeni katika maombi ili Mungu Amrudishe katika mstari vinginevyo it is only a matter of time before he falls maana Mungu huwa hadhihakiwi!
Inawezekan una taarifa ya ziada kumbe Ni kibaka wa injili
 
Tony nahisi amekengeuka kiukweli kanisani kwake Malaya wengi sana, mavazi ya hovyo, hana huduma ya uponyaji, usela mwingi sana, sijui lakini kila mtu na Mungu wake ila Tony uelekeo sio anasaka pesa kwa njia sizo siku hizi
 
Kwa sasa zigo la kuendesha kanisa kaangushiwa yule dogo lecturer wa SUA aliyeoa pisi kali mwaka juzi. Baba Mchungaji mwenyewe yupo anazunguka kupiga pesa mikoani na kutafuta u celebrity. Dogo mwenyewe aliyeangushiwa zigo ndo kwanza ameanza Ph.D SUA na Ph.D za SUA zilivyo ngumu sijui kama ataiweza huku anaendesha kanisa maana maombi na mikesha ni kama yote wakati huo huo ana familia changa tena yenye watoto mapacha na mtoto wa tatu akiwa njiani.

Mungu na Amsaidie [emoji1545]
Buyenzi huwa nakuheshimu Sana inaelekeaa unataarifa rasm za hao vijana wawili

Kanisa liko wapi hapo Moro niende kulidhuru Kisha. Ilete update kesho
 
Hio pisi ni pisi kweli mkuu...wala huongopi..

Dada yangu alikwama kwenye hilo kanisa,hata umwambie nini haelewi.kila saa biashara yake imefungwa tena ile mida ya biashara. Mara mikesha mara misa za jioni..michango lukuki mpaka nikaona sasa anapotea na sina la kufanya.

Nashukuru sasa hivi amefanikiwa kuchomoka.

Nahisi pia nguvu za giza hutumika humo.
Kumbe mko real jf idumu milele huwa mnanizanua sana


Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Kumbe
 
Hapana asee, kwa mwakasege nitapinga mpaka dakika ya mwisho, yule mzee naanza kumfahamu tangu anahubiri pale kwenye kiwanja cha shule ya Arusha meru secondary, baadae akahamia pale relini

Tafuta mfano mwingine hata wakina mzee wa upako lusekelo 😆🍺🍻

Hata mm nilishaudhuria mikutano yake Arusha meru Kisha baadae relini na😉😆 Sasa kawe naendaga na popote atakapo kuwepo namm nawepo
 
Anaitwa Antony Kapola
Ana Masters ya Cyber security

Mkewe ana PhD.

Ana kanisa lake Morogoro ndiyo. Ila ana semina karibia Mikoa mingi. Kote huko ulipopataja. Halazimiki kubaki hapo Morogoro

Kanisa lake lipo chini ya Ministry ya Eubert Angel, huyo nabii anaiyemuita baba.

Unaweza kumtafsiri Eubert kama tapeli, ila taifa lake linamuona wa maana. Anasaidia kupooza makali ya vikwazo vya kiuchumi.
uongo
 
Manabii na mitume wa ukweli waliishia pale Bible ilipofika mwisho wa kuandikwa the rest ni wezi,matapeli,wahuni,wenye tamaa ya vitu vya dunia taja na mengine unayoyajua wewe.

Watu wanafanyiwa maigizo hawaelewi,Mungu alikuwa hana sababu ya kuweka mlemavu kama siyo kwa ajili ya kuwajaribu wale aliowapa viungo vyote,mf,kipofu yupo ili mimi mwenye macho yanayoona vizuri nimsaidie kula pale asipoweza kutafuta kula yake kama mimi au nimsaidie pale anapohangaika kufanya kitu eg;kuvuka barabara au kumuepusha na mashimo lakini anatokea kijana mmoja mvaa suit na mawani ya jua kwa sababu anajua kucheza na maandiko anamleta kwenye banda lake la mabati mtu kama huyu na kusema "nguvu zake za kinabii zimempa uoni" watu na akili zao wanashangilia.

Yaani watu wanapingana na jinsi Mungu alivyoipanga dunia,maskini Mungu amewaweka ili dunia iwe balanced na kupitia wao watu wafike kwake ila waokota sadaka so called prophet wanaita umaskini ni laana huku wakiwaambia hao maskini wawape sadaka (na wao maskini wanatoa hawajui kama hao wanaowaita walaaniwa ilibidi wapokee kutoka kwao).

Wengine wanafikia hatua ku-act kufufua maiti,Mungu mwenyewe alimuonyesha mwanadamu pale alipokaa katikati yake akijifanya mtu kupitia Yesu kwamba baada ya mishe zote duniani kuna kifo lakini leo mtu anasema amefufua mfu huyu ni nani anapingana na Mungu?wakipewa homework waende Muhimbili au Ocean Road kwenye wagonjwa wa ukweli wanaingilia huku wanatokea huku mbona huko hawathubutu kwenda kuonyesha unabii wao?


Mtaibiwa sana.
Umeelezea vyema sana. Pata glass moja ya gongo kwa gharama zako.
 
Kapola yuko talented na Biblia kidogo anaijua ila hajasimama katika kweli and he is only after money, show off, u celebrity na ngono na waumini wake. Anguko lake huyu dogo litakuwa la aibu kubwa. Kuna mambo anafanya pale kanisani kwake yanasikitisha sana japo kwa sasa ni kama kapatelekeza kamwachia dogo mmoja Msukuma lecturer wa SUA anaitwa Masunga.

Mwekeni katika maombi ili Mungu Amrudishe katika mstari vinginevyo it is only a matter of time before he falls maana Mungu huwa hadhihakiwi!

Dah 🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️ Mungu amuhurumie kama ni kweli maana kipawa anacho
 
Hujui unachokisema.

Binafsi naheshimu sana watumishi wa Mungu lakini ukweli acha usemwe. Wengine hawajasimama katika kweli na wanafanya madhara makubwa sana na huu Ukristo wetu wa kisasa wa kuabudu personality za hawa mitume na manabii badala ya kusimama katika Neno.

In short Kapola is dirty. Ameharibu mabinti wengi sana waliopita pale kwake. Clinically the guy can be classified as a prolific and ruthless sexual predator. Ingekuwa ni huko kwenye nchi za wenzetu angekuwa na kesi nyingi sana mahakamani za sexual manipulation, grooming and abuse.

Na kwa vile Mungu huwa hadhihakiwi, subiri anguko lake litakapofika ndiyo utaelewa. Kwa sasa kama unasali kwake au unamwona tu kwenye TV huwezi kuelewa. Tunza hii comment na tuombe tuwe wazima.

Pray for him, if you can!

View attachment 2678117

🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️ kazi kweli kweli
 
Manabii na mitume wa ukweli waliishia pale Bible ilipofika mwisho wa kuandikwa the rest ni wezi,matapeli,wahuni,wenye tamaa ya vitu vya dunia taja na mengine unayoyajua wewe.

Watu wanafanyiwa maigizo hawaelewi,Mungu alikuwa hana sababu ya kuweka mlemavu kama siyo kwa ajili ya kuwajaribu wale aliowapa viungo vyote,mf,kipofu yupo ili mimi mwenye macho yanayoona vizuri nimsaidie kula pale asipoweza kutafuta kula yake kama mimi au nimsaidie pale anapohangaika kufanya kitu eg;kuvuka barabara au kumuepusha na mashimo lakini anatokea kijana mmoja mvaa suit na mawani ya jua kwa sababu anajua kucheza na maandiko anamleta kwenye banda lake la mabati mtu kama huyu na kusema "nguvu zake za kinabii zimempa uoni" watu na akili zao wanashangilia.

Yaani watu wanapingana na jinsi Mungu alivyoipanga dunia,maskini Mungu amewaweka ili dunia iwe balanced na kupitia wao watu wafike kwake ila waokota sadaka so called prophet wanaita umaskini ni laana huku wakiwaambia hao maskini wawape sadaka (na wao maskini wanatoa hawajui kama hao wanaowaita walaaniwa ilibidi wapokee kutoka kwao).

Wengine wanafikia hatua ku-act kufufua maiti,Mungu mwenyewe alimuonyesha mwanadamu pale alipokaa katikati yake akijifanya mtu kupitia Yesu kwamba baada ya mishe zote duniani kuna kifo lakini leo mtu anasema amefufua mfu huyu ni nani anapingana na Mungu?wakipewa homework waende Muhimbili au Ocean Road kwenye wagonjwa wa ukweli wanaingilia huku wanatokea huku mbona huko hawathubutu kwenda kuonyesha unabii wao?


Mtaibiwa sana.
Nadhani unaongelea manabii wa uongo.Manabii wa kweli wanatenda miujiza.
Umasikini ni laana
 
Back
Top Bottom