mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Bwashee, hebu tuache kidogo tumalize hili la Bandari.Wakuu heshima kwenu.
Ukiangalia sura ya elimu ya taifa letu inatia kinyaa. Wanafunzi wanafundishwa juu juu sana na eti sera ya elimu inalazimisha wafaulu kwa wingi.
Lugha ya kufundishia ni kiswahili.
Hakuna mkazo wa kusoma science kwa undani na utafiti. Hakuna bidii ya kina kuwafananisha watanzania na wa nje.
Mitihani nayo imekaa kisiasa sana. Muundo mpya wa elimu nao upuuzi tuu bado hakuna nia ya dhati ya kuwapa elimu ya kweli watanzania.
Nani ananufaika na huu ujinga wa watanzania?
Watawala wa SisiemuNani ananufaika na huu ujinga wa watanzania?
Naunga Mkono hojaBwashee, hebu tuache kidogo tumalize hili la Bandari.
Samahani lakini
Zanzibar mwaka huu wataongoza matokeo ya darasa la 7Wee angalia Samia alipoingia Madarakan, mwaka wake huohuo, watoto wakaanza kufaulu sanaaa si kidato Cha Nne, Si kidato Cha Tano.
Ukiuliza utasikia, Mama kajenga Madarasa , Mama kafanya hivi 🤣🤣🤣🤣.
Tunaenda kua na Kizazi Cha Ujinga Pro !!!!. ya Prof Mruma, ni madogo
Tulijenga kwa mabua tunaona muda umeenda hatutaki kufanya ujenzi imara na thabiti tunaishia kuyapamba mabua yavutieWakuu heshima kwenu.
Ukiangalia sura ya elimu ya taifa letu inatia kinyaa. Wanafunzi wanafundishwa juu juu sana na eti sera ya elimu inalazimisha wafaulu kwa wingi.
Lugha ya kufundishia ni kiswahili.
Hakuna mkazo wa kusoma science kwa undani na utafiti. Hakuna bidii ya kina kuwafananisha watanzania na wa nje.
Mitihani nayo imekaa kisiasa sana. Muundo mpya wa elimu nao upuuzi tuu bado hakuna nia ya dhati ya kuwapa elimu ya kweli watanzania.
Nani ananufaika na huu ujinga wa watanzania?
Lazima nijiengue mkuu.Umetumia nafsi ya tatu kama vile wewe si mtanzania, ungetumia nafsi ya kwanza.
Haya matatizo ni yetu sote kama watanzania tuangalie namna gani tunatatua.
Kuanza tu kwa kujiengua tayari ni tatizo.
Unaweza usiwe sehemu ya mfumo uliopo sasa hivi, lakini bado uko Tanzania mkuu. Kwa hiyo unaathirika kwa namna moja ama nyingine.Lazima nijiengue mkuu.
Mimi nikiangalia kwa mfano chekechea moja hivi wamerundika watoto kama 130... nikiangalia watoto wa darasa la tano unamuuliza mbuzi kwa kiingereza anaitwa nani mpaka awazeeee ndo anakujibu.
Mimi si sehemu ya ule upuuzi wanaita mtaala mpya . Mimi sio sehemu ya Necta
Sihusiki na huu upuuzi.
Kenya wenzetu wapo serious sana na elimu.
Usinilaumu ila kama vipi tuingie mtaani kupingana na huu umruma
Tuingie mtaani sio?Unaweza usiwe sehemu ya mfumo uliopo sasa hivi, lakini bado uko Tanzania mkuu. Kwa hiyo unaathirika kwa namna moja ama nyingine.
Mtaani kivipi?Tuingie mtaani sio?
Kuna mwingine zaidi ya ccm mkuu?? Au na wewe ni kada unatuchora?Wakuu heshima kwenu.
Ukiangalia sura ya elimu ya taifa letu inatia kinyaa. Wanafunzi wanafundishwa juu juu sana na eti sera ya elimu inalazimisha wafaulu kwa wingi.
Lugha ya kufundishia ni kiswahili.
Hakuna mkazo wa kusoma science kwa undani na utafiti. Hakuna bidii ya kina kuwafananisha watanzania na wa nje.
Mitihani nayo imekaa kisiasa sana. Muundo mpya wa elimu nao upuuzi tuu bado hakuna nia ya dhati ya kuwapa elimu ya kweli watanzania.
Nani ananufaika na huu ujinga wa watanzania?
View attachment 2698381
Mimi ni kada na siwachoriKuna mwingine zaidi ya ccm mkuu?? Au na wewe ni kada unatuchora?
Twende ikuluMtaani kivipi?
CCM ndio inanufauka UKITAKA kunufaika au Kutajirika CHEZA na WAJINGAWakuu heshima kwenu.
Ukiangalia sura ya elimu ya taifa letu inatia kinyaa. Wanafunzi wanafundishwa juu juu sana na eti sera ya elimu inalazimisha wafaulu kwa wingi.
Lugha ya kufundishia ni kiswahili.
Hakuna mkazo wa kusoma science kwa undani na utafiti. Hakuna bidii ya kina kuwafananisha watanzania na wa nje.
Mitihani nayo imekaa kisiasa sana. Muundo mpya wa elimu nao upuuzi tuu bado hakuna nia ya dhati ya kuwapa elimu ya kweli watanzania.
Nani ananufaika na huu ujinga wa watanzania?
View attachment 2698381
Ila kinacho fanyika ni dhambi kubwaaaCCM ndio inanufauka UKITAKA kunufaika au Kutajirika CHEZA na WAJINGA