Nani Ananufaika na kuwafundisha watanzania ujinga?

CCM ndiyo inanufaika na ujinga wa Watanganyika
 
Ndo maana graduates wa kipindi hiki cha mwendokasi ni weupe hakuna mfano.......ni mwendo wa kufyatua vilaza.
 
Na ukitoka shuleni na ujinga

mtaani vijana wanaongezewa ujinga wa simba na yanga
 
Na ni majinga kweli kweli na mengine yanajivunia kabisa ujinga wao!
 
Mfumo wa watu fulani

Huoni sahvi ujingujing unapewa kipaumbele.....
Mtu anafanya maujingaujinga mwisho wa siku wanakuambia eti ni influencer
Na bungeni atakaribishwa

Ova
 
Moja ya kosa kubwa la karne ni viongoz wa ccm awamu zote kufanya kiswahili kuwa lugha ya kufundishia shule za msingi na awali huku watoto wao wakisoma shule za ama English Medium, International au nje ya nchi,hili limeongeza ujinga kias kikubwa kwa jamii na uelewa finyu wa mambo mengi ya kitaaluma na kimataifa,wengi ni wasomi wa kukariri sio wa kuelewa,Ningekuwa Rais on day one ningeanza mchakato wa kukifanya Kiingereza kuwa lugha ya kufundishia ngaz zote za elimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…