Nani anaongoza Kanisa Katoliki Tanzania kwa sasa?

Nani anaongoza Kanisa Katoliki Tanzania kwa sasa?

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Nilidhani baada ya aliyekuwa Kadinali wa Kanisa la Katoliki Tanzania ambaye pia ni Askofu Jimbo la Dar es Salaam, Muadhama Askofu Pengo kustaafu na kurithiwa na Askofu Yuda, kwamba mrithi wake angerithi vyeo vyote viwili.

Lakini nimeona sivyo kwani Baba Askofu Yuda anatambuliwa na kuitwa Askofu wa Jimbo kuu Katoliki Dar es Salaam.

Je, Cheo cha Kadinali hakipo kwa sasa?

Au muundo wa kanisa unasemaje?
 
Linaongozwa na kila Askofu kwenye Jimbo lake, na ndani ya nchi maaskofu hao huwa wanakua na Baraza lao ambalo kwa pamoja huratibu mambo ya kanisa ndani ya nchi, na pia baraza hilo huchagua viongozi wa kamati mbalimbali zaidi huwa na rais wa baraza la Maaskofu Tanzania.

Hivyo itoshe kusema kwamba uongozi wa Kanisa Katoliki Tanzania upo chini ya Baraza la Maaskofu.
 
Kadinali ni cheo. Cheo hicho hutambulika Kama maseneta au wajumba wa kamati kuu walio pewa kibali Cha kumchagua Papa. Hapa tz Kuna balozi wa Vatican nae ni askof makazi yake yapo pale St Peters church na Kuna kiongozi mkuu wa RC yeye makazi yake yapo kurasini makao makuu ya Rc Tanzania.

Kadinali msaafu anaheshimika zaidi anapokuwa Vatican Kwa shuguli maalum. Hapa duniani nadhani wapo 21 hao wote wanatoka nchi mbalimbali. Kwa mfano pengo hapa kwetu yupo chini ya askofu mkuu wa RC Kama nilivyosema makazi yake yapo Kurasini.
 
Nani anaongoza kanisa katoliki Tanzania kwa sasa? Swali nzuri ila ungeenda mbali kidogo je hiyo sasa yako unamaanisha lini na je kabla ya hiyo sasa ni nani alikuwa anaongoza? Ni swali chokonozi tu maana ni kama unaona kulikuwa na muhusika ila sasa hayupo! Kuna kujichanganya au kutofahamu! Askofu mkuu wa jimbo anahusika na utawala katika zone yake.

Cardinali ni cheo kama walioleleza kuwa na nafasi ya kumchagua Papa iwapo atakuwa ameondoka katik cheo hicho aidha kwa kujihuzulun au kufariki na huyo kardinal iwapo tu atakuwa chini ya umri wa miaka 75 ndo atakuwa na uhalali wa kupiga kura. Kwa muktadha huo kiongozi au msemaji wa baraza la Maaskofu Tanzania ni Raisi wa Baraza la maaskofu.

Sasa kusema kiongizi unarudi kwenye mzunguko huo huo na Rais wa baraza na akifanya kazi sanjari na katibu mkuu wa baraza hilo kwa mamlaka yake. Huwa wengi wanashindwa kuelewa mamlaka kisakramenti na kiutawala. Kama ulivyo wewe mtoa mada.
 
Je kardinali Pengo baada ya kustaafu cheo chake bado anaruhusiwa kumchagua Papa?
 
Kurasini ni nyumba tu ya kawaida ta kumpumzikia haina hadhi yoyote.
Kadinali ni cheo. Cheo hicho hutambulika Kama maseneta au wajumba wa kamati kuu walio pewa kibali Cha kumchagua Papa. Hapa tz Kuna balozi wa vatcan nae ni askof makazi yake yapo pale St piter church na Kuna kiongozi mkuu wa Rc yeye makazi yake yapo kurasini makao makuu ya Rc Tanzania. Kadinali msaafu anaheshimika zaidi anapo kuwa vatcan Kwa shuguli maalum hapa duniani nadhani wapo 21 hao wote wanatoka nchi mbalimbali. Kwa mfano pengo hapa kwetu yupo chini ya askofu mkuu wa Rc Kama nilivyo Seema makazi yake yapo kurasini.
 
Kwasasa bado ni kardinali na alichokistaafu yeye ni cheo cha uskofu mkuu,hana jimbo ambalo analiongoza. Hivyo anaruhusiwa hadi atakapoteuliwa kardinali mwingine.

Je, kardinali Pengo baada ya kustaafu cheo chake bado anaruhusiwa kumchagua Papa?
 
Kwasasa bado ni kardinali na alichokistaafu yeye ni cheo cha uskofu mkuu,hana jimbo ambalo analiongoza.Hivyo anaruhusiwa hadi atakapoteuliwa kardinali mwingine
Kama kardinali ni cheo basi atakuwa amestaafu pia maana nnavyoelewa Papa anaweza kumchagua kardinali kutoka nchi yoyote sio lazima iwe Tanzania.
 
Kadinali ni cheo. Cheo hicho hutambulika Kama maseneta au wajumba wa kamati kuu walio pewa kibali Cha kumchagua Papa. Hapa tz Kuna balozi wa vatcan nae ni askof makazi yake yapo pale St piter church na Kuna kiongozi mkuu wa Rc yeye makazi yake yapo kurasini makao makuu ya Rc Tanzania. Kadinali msaafu anaheshimika zaidi anapo kuwa vatcan Kwa shuguli maalum hapa duniani nadhani wapo 21 hao wote wanatoka nchi mbalimbali. Kwa mfano pengo hapa kwetu yupo chini ya askofu mkuu wa Rc Kama nilivyo Seema makazi yake yapo kurasini.
Ingaww una uelewa kiasi lakini huna huelewa sahihi, unapotosha.

Hakuna kiongozi mkuu wa Wakatoliki Tanzania lielewe hili vizuri, hakuna Askofu mkuu wa Tanzania nzima, hakuna.

Kila Askofu ni mkuu kwenye jimbo lake ndio muwakilishi wa Yesu kristo.

Kadinali hata padre au shemasi anaweza kuteuliwa kuwa mjumbe wa Conclave.

Kwahiyo Askofu na Kadinali cheo kikuu ni Askofu kwa sababu imeshatokea mapadre walioteuliwa kuwa makadinari yani wajumbe wa Conclave.
 
Rais wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) ndio kiongozi mkuu.

Tuanzie hapo!
 
Massinyori-mwakilishi wa papa anawazidi wote

Mwadhama kadrinali mjumbe katika conclave kikao mhimu cha kumchagua papa

Anahudhuria kikao cha kuchagua papa (conclave) akiwa na yeye ni candidate iwapo tu hajafikisha miaka 75

Kadrinali yoyote akiisha vuka miaka 75 ni mjumbe tu katika uchaguzi wa papa ila yeye siyo candidate(hawezi kuchaguliwa)

Tanzania kwa sasa kwa mjibu wa kanisa katoliki la Roma- mkubwa ni massinyori
 
Kadinali ni cheo. Cheo hicho hutambulika Kama maseneta au wajumba wa kamati kuu walio pewa kibali Cha kumchagua Papa. Hapa tz Kuna balozi wa vatcan nae ni askof makazi yake yapo pale St piter church na Kuna kiongozi mkuu wa Rc yeye makazi yake yapo kurasini makao makuu ya Rc Tanzania. Kadinali msaafu anaheshimika zaidi anapo kuwa vatcan Kwa shuguli maalum hapa duniani nadhani wapo 21 hao wote wanatoka nchi mbalimbali. Kwa mfano pengo hapa kwetu yupo chini ya askofu mkuu wa Rc Kama nilivyo Seema makazi yake yapo kurasini.
Acha kupotosha hakuna askofu mkuu wa RC Tanzania, RC haliongozwi hivyo. Kila Askofu ana mamlaka kamili katika jimbo lake.
 
Kuna wajuvi wa mambo hapa JF lkn bahati mbaya hawajui lolote!

Kanisa la Roma halijawahi kuwa na Askofu mkuu wa Tanzania ila lina maaakofu wakuu wa majimbo. Askofu mkuu wa jimbo kuu la Dar es Salaam ana hadhi na mamlaka sawa kabisa na Askofu wa jimbo kuu Kigoma katika maeneo yao ya kiuongozi.
 
Hakuna kiongozi yoyote askofu aliyewahi kuongoza Tanzania kama askofu mkuu

Kumbuka hili askofu anamamlaka yake yakutawala eneo lake ambalo amepewa hayo mamlaka na Baba mtakatifu ambaye Yeye amepata kibali kutoka Yesu Kristo.

Kila askofu anatawala kwake

Kwahiyo Tanzania hakuna askofu anayewatawala wenzake
 
Kadinali ni cheo. Cheo hicho hutambulika Kama maseneta au wajumba wa kamati kuu walio pewa kibali Cha kumchagua Papa. Hapa tz Kuna balozi wa vatcan nae ni askof makazi yake yapo pale St piter church na Kuna kiongozi mkuu wa Rc yeye makazi yake yapo kurasini makao makuu ya Rc Tanzania. Kadinali msaafu anaheshimika zaidi anapo kuwa vatcan Kwa shuguli maalum hapa duniani nadhani wapo 21 hao wote wanatoka nchi mbalimbali. Kwa mfano pengo hapa kwetu yupo chini ya askofu mkuu wa Rc Kama nilivyo Seema makazi yake yapo kurasini.
Wrooong mkuu. Sivyo kabisa. Hakuna Askofu mkuu wa Tz. Kila Jimbo Askofu muhusika ndiye mkuu wa jimbo husika na basi. Kuna mdau amejibu vyema huko juu. Na kardinali siyo Cheo. Hawa ni maaskofu ambao huteuliwa na Papa na si lazima kwa nchi kuwa na mwakilishi.

Hawa huwa wawakilishi kule Vatican kwa mambo mbalimbali ya kanisa. Hivyo kwamfano kama Pengo, yeye mandatory yake ilikua Dsm na basi. Hana mamlaka yoyote juu ya jimbo la Askofu mwingine. Kama unakumbuka ule waraka wa Pasaka. Maaskofu wengine wote walikua wanaongea lugha moja Kasoro Pengo.

Hakuna kiongozi mkuu wa kanisa kwa nchi kasoro Papa ambaye yeye ni wa dunia.
 
Back
Top Bottom