Nani anaratibu haya kwa Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan?

Aliens 👽 ??!!! Sio kweli !
 
Hizi safari zake za mara kwa mara huko Arabuni tena za kificho hazina nia njema kwa Tanganyika yetu,Amkeni Watanganyika .
 
Lakini naye ana akili kweli? Inakuwaje anapelekwa kisirisiri na sirini..?

Yeye haioni hatari kweli?

Kwa taarifa yake anapaswa kujua kabisa kuwa yuko pale kwa hisani ya katiba tu, lakini in actual senses, hakupaswa kabisa kukalia kiti cha Urais cha watu wa Jamhuri ya Tanganyika na ndiyo maana tulizozana sana kukubaliana iwapo amu- replace Hayati Rais John P. Magufuli immediately baada ya kufariki kwake (JPM) au tuvunje katiba kwa kumweka mtu mwingine likiwemo jeshi hadi kutakapoitisha uchaguzi mwingine..

Lakini Kwa shingo upande, tukasema, basi acha tuheshimu katiba na kwa wakati sahihi naye mwisho wa siku aondoke Kwa mujibu wa katiba; kifo, kujiuzuru, ugonjwa wa muda mrefu au potelea mbali amalize muda wake...

Kwa hiyo achunge sana safari za kimya kimya hizi anazopangiwa na wasaidizi wake. Si ajabu wakawa na lengo la kumuwahisha kiaina kwa namna nyingine na halali na sahihi Kwa mujibu wa katiba ili waweke mtu wao..!

Mama una dhamana kubwa mno. Usitangulize starehe na bata ukiacha kuchunga uhai wako mwenyewe..!
 
Aisee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…