Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa Timu gani bongo na anacheza namba ngapi? Na unakumbuka mechi gani alifanya vitu vikali sana ndani ya dimba?Kwa uhalisia mchezaji Bora ni Abdulmajid Mangalo lakini kwa ushabiki wa Simba apewe chama tu
Yuko Biashara United.Wa Timu gani bongo na anacheza namba ngapi? Na unakumbuka mechi gani alifanya vitu vikali sana ndani ya dimba?
Halafu akifika anapiga njeKisinda. Ana uwezo wa kukimbia toka golini kwao mpaka goli la adui kwa kasi kubwa..... Anakimbia 40km/hr
Yaani acha tu. Mafanikio aliyopata msimu mzima ni kumpiga chenga Onyango.Halafu akifika anapiga nje
💪Kisinda. Ana uwezo wa kukimbia toka golini kwao mpaka goli la adui kwa kasi kubwa..... Anakimbia 40km/hr
Huyu jamaa walimsajili ili achoshe timu tu💪
Huyu si ndio wanamuita TK Master?
mimi pia mchezaji wangu bora kwa msimu huu ni huyu mmakonde 💪No doubt!.
Chama anastahili.
Ila mimi ni Mshabiki Mkubwa sana wa Miquessone kuliko mchezaji yeyote Bongo. Ila kwa kuwa mpira unaangalia statistics zaidi basi apewe CCC.
Lakini spirit ya Mmakonde ni level nyingine.
Akifika golini anapitiliza anaenda mpaka jeshini, akirudi mpira umeisha.Kisinda. Ana uwezo wa kukimbia toka golini kwao mpaka goli la adui kwa kasi kubwa..... Anakimbia 40km/hr
Ni yeye TK master,anakimbia mpaka anauacha mpira nyuma[emoji23][emoji123]
Huyu si ndio wanamuita TK Master?
Mpira sio riadhaKisinda. Ana uwezo wa kukimbia toka golini kwao mpaka goli la adui kwa kasi kubwa..... Anakimbia 40km/hr
Mkuu kwanini "unawatukana" watu wazima ?Ngoja nikae nitulie,huu ndo mda wa kuona comment za watu wazima wasio na akili
Mkuu kwanini "unawatukana" watu wazima ?