Nani anastahili kutwaa tuzo ya mchezaji bora VPL?

Nani anastahili kutwaa tuzo ya mchezaji bora VPL?

Ligi ya VPL imemalizika jana, taja mchezaji anayestahili kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa msimu!!
1.Abdul Majid Mangalo
2. Shomari Kapombe
3. Mohamed Hussein
4. Mukoko Tonombe
5. Kibu Dennis
6. Cleophace Mukandala
7. Aishi Manula
8. John Bocco.

Ila kuna uwezekano mkubwa sana Aishi Manula akabeba
 
1.Abdul Majid Mangalo
2. Shomari Kapombe
3. Mohamed Hussein
4. Mukoko Tonombe
5. Kibu Dennis
6. Cleophace Mukandala
7. Aishi Manula
8. John Bocco.

Ila kuna uwezekano mkubwa sana Aishi Manula akabeba
Mkuu pamoja na kwamba hayo ni mawazo yako, lakini kwa sababu yako kwenye jukwaa huru, si vibaya kuyajadili.

Nimeona wadau wengi sana wamemjumuisha Abdu Majid Mangalo.

Mimi nadhani kuna tofauti kati ya mchezaji aliyecheza vizuri na mchezaji bora wa msimu.

Mangalo amecheza vizuri karibia msimu mzima, na wachezaji wa namna hii wapo wengi sana katika ligi. Lakini hiyo haitoshi kumpa tuzo ya mchezaji bora wa ligi.

Mchezaji bora wa ligi ni mchezaji ambaye kwa kifupi ni kwamba "amewashinda wote" (kwa performance) kwa msimu mzima.

Sasa sikumbuki kama Mangalo amewahi kuwa hata mchezaji bora wa mwezi. Labda unikumbushe.

Pili, mimi ukiniwekea Onyango, Dickson Job na Mangalo, useme nani ame perform vizuri msimu huu, bado Mangalo atashika nafasi ya tatu.

Nina hakika hao wawili niliowataja chances zao za kuwa mchezaji bora wa ligi ni ndogo mno, then Mangalo anawezaje kuwa favourites wa tuzo hiyo kubwa kabisa katika ligi ?

Nimeona nihoji hapo kwa Mangalo maana anajirudia rudia katika kutajwa lakini vigezo havitajwi vya yeye kuwapo hapo. Kwa Mukandala nimeona hata nisiulize, maana sidhani kama anatosha hata kuwa top performer ndani ya kikosi cha Dodoma jiji.

No hard feelings mkuu.
 
Mkuu pamoja na kwamba hayo ni mawazo yako, lakini kwa sababu yako kwenye jukwaa huru, si vibaya kuyajadili.

Nimeona wadau wengi sana wamemjumuisha Abdu Majid Mangalo.

Mimi nadhani kuna tofauti kati ya mchezaji aliyecheza vizuri na mchezaji bora wa msimu.

Mangalo amecheza vizuri karibia msimu mzima, na wachezaji wa namna hii wapo wengi sana katika ligi. Lakini hiyo haitoshi kumpa tuzo ya mchezaji bora wa ligi.

Mchezaji bora wa ligi ni mchezaji ambaye kwa kifupi ni kwamba "amewashinda wote" (kwa performance) kwa msimu mzima.

Sasa sikumbuki kama Mangalo amewahi kuwa hata mchezaji bora wa mwezi. Labda unikumbushe.

Pili, mimi ukiniwekea Onyango, Dickson Job na Mangalo, useme nani ame perform vizuri msimu huu, bado Mangalo atashika nafasi ya tatu.

Nina hakika hao wawili niliowataja chances zao za kuwa mchezaji bora wa ligi ni ndogo mno, then Mangalo anawezaje kuwa favourites wa tuzo hiyo kubwa kabisa katika ligi ?

Nimeona nihoji hapo kwa Mangalo maana anajirudia rudia katika kutajwa lakini vigezo havitajwi vya yeye kuwapo hapo. Kwa Mukandala nimeona hata nisiulize, maana sidhani kama anatosha hata kuwa top performer ndani ya kikosi cha Dodoma jiji.

No hard feelings mkuu.
Moja ya mafanikio makubwa ya Mangalo ni Biashara United kufanikiwa kuingia katika mashindano ya CAF.
 
Manula
Chama
Luis
Mangalo
Kapombe
Mkuu kuna sababu zozote za kumjumuisha Mangalo kama favourites wa tuzo ya mchezaji bora wa ligi ?

Huenda mimi naipa hadhi kubwa sana tuzo hii.

Mangalo anawezaje kuwa top performer wa ligi nzima ?

Sina shaka kuhusu kucheza vizuri, Mangalo amecheza vizuri, na hawa wako wengi sana. NADO amecheza vizuri, Lyanga amecheza vizuri, Dickson Job amecheza vizuri, Lwanga amecheza vizuri, n.k n.k

Lakini linapokuja suala la mchezaji bora wa msimu, hii ni beyond a normal "aliyecheza vizuri tu halafu basi".

Unatakiwa kucheza vizuri "kuwashinda wengine wote".

Hivi kwa mfano, Mangalo amecheza vizuri kuliko Mwanyeto wa Coastal Union ya msimu uliopita ?

Naombeni vigezo kwa huyu jamaa tafadhalini wakuu.

NB: This is not personal, isishesabike kwamba namchukia mchezaji tajwa, tunajadili tu for fun.
 
Moja ya mafanikio makubwa ya Mangalo ni Biashara United kufanikiwa kuingia katika mashindano ya CAF.
This is too low to be crowned MVP wa ligi mkuu. Yaani kwa maneno mengine awe amewashinda wachezaji wengine wote, mathalani ambao nao wamezisaidia timu zao kushiriki mashindano ya CAF, (wachezaji takribani 70 wa AZAM, YANGA na SIMBA) kwa jambo hilo tu ?
Kwa maoni yangu, inaweza kuwa kweli alikua mhimili katika mafanikio hayo, hiyo inaweza kumfanya kuwa mchezaji bora wa msimu wa kikosi cha biashara lakini sio wa ligi nzima.
 
Back
Top Bottom