Nani anastahili tuzo ya Nobel katika marais 6 tuliowahi kuwa nao Tanzania?

Tuzo za za Nobel ziko sita, unaongelea tuzo gani ya Nobel?

1.Ya Amani?
2.Ya Fasihi?
3.Ya Biolojia/madawa?
4. Ya Physics ?
5. Ya Kemia?
6. Ya Sayansi ya Uchumi?
 
Mawazo ya Nyerere uliyokwoti, hayamo hayamo katika zile category sita za nobel: yaani Chemistry, Physics, Medicine, Literaturre, Economic Sciences na Peace. Kwa dunia ya leo Nyerere anaweza kushinda kwenye Peace lakini hana sifa kwa vile ni mfu.
Kitu gani alichofanya ambacho kingewafanya wazungu wampe tuzo ya Nobel ya amani?
 
Tuzo za za Nobel ziko sita, unaongelea tuzo gani ya Nobel?

1.Ya Amani?
2.Ya Fasihi?
3.Ya Biolojia/madawa?
4. Ya Physics ?
5. Ya Kemia?
6. Ya Sayansi ya Uchumi?
Nyerere alistahili lakini kwa sasa labda JK hakuna mwingine,Samia atakuwa na nafasi kubwa kupata tuzo ya Mo Ibrahim.
 
Tuzo za za Nobel ziko sita, unaongelea tuzo gani ya Nobel?

1.Ya Amani?
2.Ya Fasihi?
3.Ya Biolojia/madawa?
4. Ya Physics ?
5. Ya Kemia?
6. Ya Sayansi ya Uchumi?
Aliyezindua daraja la Mfugale anastahili...
 
Tuzo za za Nobel ziko sita, unaongelea tuzo gani ya Nobel?

1.Ya Amani?
2.Ya Fasihi?
3.Ya Biolojia/madawa?
4. Ya Physics ?
5. Ya Kemia?
6. Ya mchango katika sayansi ya Uchumi?
 
Tuzo za za Nobel ziko sita, unaongelea tuzo gani ya Nobel?

1.Ya Amani?
2.Ya Fasihi?
3.Ya Biolojia/madawa?
4. Ya Physics ?
5. Ya Kemia?
6. Ya Sayansi ya Uchumi?
Baba wa Taifa tu wengine hawastahili tuzo ya aina yoyote ile.
 
Drederik de Klerk na Mandela walipewa tuzo moja ya Nobel ya amani kama washindi wawili kwa pamoja.
 
Tuzo ya Nobel ya Sayansi ya Uchumi haitolewi kwa wanasiasa, inatolewa kwa wanazuoni na mara nyingi ni hutolewa kwa Waahidhiri wa vyuo vikuu ambao huja na nadharia mpya katika uchumi.

Kwa nini Nyerere alistahili Tuzo ya amani?
No.1 itamfaa ametatua migogoro mingi Sana ya kikanda kama mpatanishi ndio maana hata majuzi kawapatanisha Wazambia.
 
Nyerere, JPM, Mama Samia👍
 
Tuzo ya Nobel ya Sayansi ya Uchumi haitolewi kwa wanasiasa, inatolewa kwa wanazuoni na mara nyingi ni hutolewa kwa Waahidhiri wa vyuo vikuu ambao huja na nadharia mpya katika uchumi.

Kwa nini Nyerere alistahili Tuzo ya amani?
Shuleni nilifundishwa kwamba Mwl. Nyerere alikuwa Political Economist (ambayo ni sehemu ya Sayansi ya Uchumi) na Roving Lecturer. Somo la siasa A-Level (sikusoma civics) ilikuwa na sehemu mbili za elimu ya uraia na uchumi-siasa (Political Economy). Mkuu Yoda, mimi wakati fulani ninahisi Kamati ya Nobel ina majuto kwa Nyerere kwamba kwanini hawakuchukuwa hatua akiwa hai.
 
Tuzo za za Nobel ziko sita, unaongelea tuzo gani ya Nobel?

1.Ya Amani?
2.Ya Fasihi?
3.Ya Biolojia/madawa?
4. Ya Physics ?
5. Ya Kemia?
6. Ya Sayansi ya Uchumi
Feel the force- Yoda 🤣 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…