Nani anatuwakilisha BRICS Summit - South Africa?

Nani anatuwakilisha BRICS Summit - South Africa?

Shida ni kubwa wewe ni team beberu 😂😂
Wewe ulitaka niwe team njaa Kali?
1692282592639.jpeg
 
Hivyo ni bora kuwa kibaraka wa beberu,si nafuu kuwa njaa kali inakufunza kujitegemea kwa kufanya kazi🚶
Kuambiwa uimarishe living standards na mifumo ya utoaji haki na elimu nchini mwenu ndiyo ukibaraka?
Ndiyo maana mnataka kujiunga na mifumo ambayo haitaingilia mambo yenu ya ndani hata kama mtachinjana?
 
Back
Top Bottom