Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hana pesa kama anazotoa MarekaniHataweza, wanaomfuata hawajui kuwa wananayemfuata ni bipolar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana pesa kama anazotoa MarekaniHataweza, wanaomfuata hawajui kuwa wananayemfuata ni bipolar
Aziz 🔥😀USAID ni idara ya CIA.
Marekani alipiga Mkwara Chagua ARV au Ngano ya RussiaHana pesa kama anazotoa Marekani
Jamaa kaishika vizuri dunia hakuna namna Mrusi ataweza kwa kushirikiana na China au Korea kaskaziniMarekani alipiga Mkwara Chagua ARV au Ngano ya Russia
Hapo ndio utajua tuna rais wa aina gani. Unaweza kukuta samia katii shinikizo la nchi za magharibu kususia BRICS. Inawezekana hatuhudhurii kitu kinawafurahisha westerners.Tumealikwa kuhudhuria BRICS Summit huko bondeni. Nani maakilishi huko?
NB: Mhe Dr Chakwera toka nchi jirani yupo SA yapata wiki Sasa.
Kama katii basi katumia akili maana tuna maslahi na beberu kuliko hao njaa KaliHapo ndio utajua tuna rais wa aina gani. Unaweza kukuta samia katii shinikizo la nchi za magharibu kususia BRICS. Inawezekana hatuhudhurii kitu kinawafurahisha westerners.
BRICS ni ukombozi toka makucha ya wamagharibi. Kama tz hatuoni umuhimu wa BRICS ndio maana tunajiingiza mkenge kwa wezi wa kimataifa kama DPW.
Ni wapigania uhuru dhidi ya beberu Amerika na vibaraka wake🤔Kuwa kibaraka ni kuwaje? Kwa hao hao walioenda huko brics ni vibaraka wa china na Russia au?
Kama katii basi katumia akili maana tuna maslahi na beberu kuliko hao njaa Kali
View: https://twitter.com/siadevinci/status/1694070518440178118?t=brUOKi31ue-0jp01LQbMcQ&s=19
Zembwela!!Tumealikwa kuhudhuria BRICS Summit huko bondeni. Nani maakilishi huko?
NB: Mhe Dr Chakwera toka nchi jirani yupo SA yapata wiki Sasa.
Mikutano gani ina faida kwa Tanzania ?Hakuna faida ya huo mkutano kwa Tanzania
Umasikini ni mbaya sanaWewe ulitaka niwe team njaa Kali?View attachment 2725846
Ukilijua Hilo ungana na wenye shibeUmasikini ni mbaya sana
Kufanya nini ?Ukilijua Hilo ungana na wenye shibe
Na wameliita jina la kihuni. Ukisoma USAID unaweza dhani ni shirika la misaada.USAID ni idara ya CIA.
nilimsikia mtu akisema eti huo ni mkutano wa vikoba vya mashankupe ya kwa buza kwa mpalangeBRICS ni kama mkutano wa Bongo Movie
Mkwea mapipa tayari ameshatua downtown tayari ushiriki wa BRICS (Brazil-Russia-China-South Africa)Tumealikwa kuhudhuria BRICS Summit huko bondeni. Nani maakilishi huko?
NB: Mhe Dr Chakwera toka nchi jirani yupo SA yapata wiki Sasa.