Nani anaukumbuka huu uongo wa Serikali ya Samia?

Nani anaukumbuka huu uongo wa Serikali ya Samia?

Msitari wa pambizo

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2014
Posts
3,098
Reaction score
5,451
Leo ni siku ya mwisho ya mwezi Mei nani amepanda treni ya SGR?
20230531_062950.jpg
 
Duh.. Kama hiyo kauli aliitoa mama basi alipelekwa chaka na washauri wake
 
SGR itaanzaje wakati UMEME hautoshi?

SGR itaanzaje wakati bado hawajamaliza kujenga?
 
Back
Top Bottom