Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,451
Leo ni siku ya mwisho ya mwezi Mei nani amepanda treni ya SGR?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi nimesema aliyedanganya ni Samia. By the way sisi hatumpigii kura Kadogosa tunamsubiri tunayemmudu 2025Aliyedanganya ni Kadogosa siyo mh Rais
Uwe na adabu!
Hii ndoto itakamilika 2078Leo ni siku ya mwisho ya mwezi Mei nani amepanda treni ya SGR? View attachment 2640891
Nimekoma mkuu 🤔Wewe uliamini kabisa hii serikali?
Akiitoa mshauri wake maana yake ameitoa mamaDuh.. Kama hiyo kauli aliitoa mama basi alipelekwa chaka na washauri wake
Mmempongeza kwa kukamikisha ujenzi wa Ikulu ni lini aninyenyua hata tofali? Zuri lake lkn baya la wasaidizi wake.Aliyedanganya ni Kadogosa siyo mh Rais
Uwe na adabu!
Hiyo heading umeandikiwa?Wapi nimesema aliyedanganya ni Samia. By the way sisi hatumpigii kura Kadogosa tunamsubiri tunayemmudu 2025
Asipewe kura 2025.Leo ni siku ya mwisho ya mwezi Mei nani amepanda treni ya SGR? View attachment 2640891
Nianaamini kuwa JPM angekuwa hai, SGR ingekuwa tayari inafanyakazi hata kama kuna wazembe wawili watatu wangekuwa wameumizwa.Leo ni siku ya mwisho ya mwezi Mei nani amepanda treni ya SGR? View attachment 2640891