Serikali ya Samia ni Samia? Kadogosa ameajiriwa na serikali ipi? Ya Magufuli? 🤔Hiyo heading umeandikiwa?
We Mbwiga kama siyo bavicha ni Sukuma gang!
Sasa siamfute kazi, kwann wananchi wanadanganywa na wasaidizi wake na yeye anakaa kimya?!.Aliyedanganya ni Kadogosa siyo mh Rais
Uwe na adabu!
Bado masaa machache tusubiriLeo ni siku ya mwisho ya mwezi Mei nani amepanda treni ya SGR? View attachment 2640891
Hayo ndio walipaswa kuyasema. Kama yote hayo bado kwa nini waseme utaanza may?SGR itaanzaje wakati UMEME hautoshi?
SGR itaanzaje wakati bado hawajamaliza kujenga?
Mbarawa ni tapeli anamdanganya huyu mazaDuh.. Kama hiyo kauli aliitoa mama basi alipelekwa chaka na washauri wake
Unakwama wapi bwashee?Hiyo heading umeandikiwa?
We Mbwiga kama siyo bavicha ni Sukuma gang!