Nani anaukumbuka huu uongo wa Serikali ya Samia?

Saizi chaka la Magu haliwafichi tena.

Me nasubiri crane la tonnes 26, Tuliloahidiwa na Serikali ya Sa100 kupitia MAKAMBA.
 
SGR itaanzaje wakati UMEME hautoshi?

SGR itaanzaje wakati bado hawajamaliza kujenga?
Hayo ndio walipaswa kuyasema. Kama yote hayo bado kwa nini waseme utaanza may?
 
Hiyo heading umeandikiwa?

We Mbwiga kama siyo bavicha ni Sukuma gang!
Unakwama wapi bwashee?
Amesema SERIKALI YA Samia. Hajasema Samia.
Nafikiri unaelewa serikali ina maana kuna watu wengi hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…