Nani anauwezo wa kunitoa kwenye kifungo hiki cha biashara?

Nani anauwezo wa kunitoa kwenye kifungo hiki cha biashara?

Wadau
Naomba mawazo yenu wadau
Mimi ninabishara ya Real Estate na Logistics. Sababu niliwekeza sana kwenye advertisements,Hizi Kampuni zangu zimekuwa maarufu sana kiasi kwamba sasa siwatafuti wateja ila wateja wananitafuta mimi kila siku ili kupata huduma na bidhaa zangu. Sasa kimbembe ni pale wakisharidhika na kukubali kufanya malipo....wanapotea mazima....hii imetokea zaidi ya mara 100 mpaka sasa nimeshazoea.
Sasa nimefikiria sana nitafute msaada labda kwa watu wa Mungu au nipeni mawazo nifanyaje
NB: Nimeshazunguka kwa manabii, waganga wengi sana bila mafanikio,Hata huko Tanga Handeni wanakokusifia nimefika kwa waganga maarufu wawili nao wamechemsha hii kesi .Nafikiri waganga wa Tanga wanachoweza ni kuroga, na ishu za kijamii kama vile kurudisha mke,mme,nk na siyo biashara halali kama zangu
Naombeni mawazo yenu GTs
NB: Nimeshazunguka kwa manabii, waganga wengi sana bila mafanikio,Hata huko Tanga Handeni wanakokusifia nimefika kwa waganga maarufu wawili nao wamechemsha hii kesi[emoji3064]

Tatizo limeanzia hapo
1. Umechanganya falme mbili kwa wakati mmoja sasa badala ya kusaidika zinapambana zenyewe kwa zenyewe
2. Umetumia madawa mengi sana mpaka yenyewe hayajui yatibu nini
3. Umeenda kwa waganga wengi sana kila mmoja kageuza mwili wako sehemu ya majaribio.. Mwili imekuwa kama punching bag

Kiroho, kinyota umeshachafuka sana.. Ushauri: Achana na hayo yote kwasasa.. Upe mwili nafasi ya kujitakasa urudi kwenye asili yake.. Tumia tiba ya chumvi kuharakisha mchakato
 
Wadau
Naomba mawazo yenu wadau
Mimi ninabishara ya Real Estate na Logistics. Sababu niliwekeza sana kwenye advertisements,Hizi Kampuni zangu zimekuwa maarufu sana kiasi kwamba sasa siwatafuti wateja ila wateja wananitafuta mimi kila siku ili kupata huduma na bidhaa zangu. Sasa kimbembe ni pale wakisharidhika na kukubali kufanya malipo....wanapotea mazima....hii imetokea zaidi ya mara 100 mpaka sasa nimeshazoea.
Sasa nimefikiria sana nitafute msaada labda kwa watu wa Mungu au nipeni mawazo nifanyaje
NB: Nimeshazunguka kwa manabii, waganga wengi sana bila mafanikio,Hata huko Tanga Handeni wanakokusifia nimefika kwa waganga maarufu wawili nao wamechemsha hii kesi .Nafikiri waganga wa Tanga wanachoweza ni kuroga, na ishu za kijamii kama vile kurudisha mke,mme,nk na siyo biashara halali kama zangu
Naombeni mawazo yenu GTs
NB: Nimeshazunguka kwa manabii, waganga wengi sana bila mafanikio,Hata huko Tanga Handeni wanakokusifia nimefika kwa waganga maarufu wawili nao wamechemsha hii kesi[emoji3064]

Tatizo limeanzia hapo
1. Umechanganya falme mbili kwa wakati mmoja sasa badala ya kusaidika zinapambana zenyewe kwa zenyewe
2. Umetumia madawa mengi sana mpaka yenyewe hayajui yatibu nini
3. Umeenda kwa waganga wengi sana kila mmoja kageuza mwili wako sehemu ya majaribio.. Mwili imekuwa kama punching bag

Kiroho, kinyota umeshachafuka sana.. Ushauri: Achana na hayo yote kwasasa.. Upe mwili nafasi ya kujitakasa urudi kwenye asili yake.. Tumia tiba ya chumvi kuharakisha mchakato
 
njoo inbox nikuelekeze kwa mchungaji ukaombewe ,Acha kupoteza pesa zako!!
1709228918958.png
 
Dunia hii ipo tofauti naunavyo ifikili ndugu yangu.kifupi nikwamba solutions yamambo yako yapo ndani mwako sio,kwakigagura,nabii au maji yaupako,na mganga watanga wote utapeli tuu tuu wamegeuza watu ni mashamba yao yakuvuna mabillions yafedha.
 
Mkuu swali la kujiuliza Hapa
:Hujadhulumu mtu kweli ? Akaamuwa kumshtakia Mungu au kukufanyia ulonzi ? Ambao hata kama utakwenda kwa waganga na waganguzi kama ni haki yake au ulimfanyia ubaya lazima utakusumbua kwenye kujinasua ,na suluhu pekee huwa ni kwenda kumwangukia mhusika,
Jaribu kutafakari hili maana binaadamu ukamkosea huwa anageuka mnyama na kukufanyia vitu vya ajabu ,jitahidi sana kufanya dua kama mwislam au maombi kama mkristo na kutoa sadaka ,na kamwe usichoke maana wengi huwa nnatakaga matokeo ya hapo kwa hapo na ilihali maa
 
Mkuu swali la kujiuliza Hapa
:Hujadhulumu mtu kweli ? Akaamuwa kumshtakia Mungu au kukufanyia ulonzi ? Ambao hata kama utakwenda kwa waganga na waganguzi kama ni haki yake au ulimfanyia ubaya lazima utakusumbua kwenye kujinasua ,na suluhu pekee huwa ni kwenda kumwangukia mhusika,
Jaribu kutafakari hili maana binaadamu ukamkosea huwa anageuka mnyama na kukufanyia vitu vya ajabu ,jitahidi sana kufanya dua kama mwislam au maombi kama mkristo na kutoa sadaka ,na kamwe usichoke maana wengi huwa nnatakaga matokeo ya hapo kwa hapo na ilihali maa
Katika kumbukumbu zangu sina dhuluma niliyofanya zaidi ya mkanganyiko mmoja ulitokeaga kibiashara na waliostahili kulipwa waliharibu wenyewe hivyo sikuwalipa
 
Dunia hii ipo tofauti naunavyo ifikili ndugu yangu.kifupi nikwamba solutions yamambo yako yapo ndani mwako sio,kwakigagura,nabii au maji yaupako,na mganga watanga wote utapeli tuu tuu wamegeuza watu ni mashamba yao yakuvuna mabillions yafedha.
Sio rahisi akuelewe.
 
NB: Nimeshazunguka kwa manabii, waganga wengi sana bila mafanikio,Hata huko Tanga Handeni wanakokusifia nimefika kwa waganga maarufu wawili nao wamechemsha hii kesi[emoji3064]

Tatizo limeanzia hapo
1. Umechanganya falme mbili kwa wakati mmoja sasa badala ya kusaidika zinapambana zenyewe kwa zenyewe
2. Umetumia madawa mengi sana mpaka yenyewe hayajui yatibu nini
3. Umeenda kwa waganga wengi sana kila mmoja kageuza mwili wako sehemu ya majaribio.. Mwili imekuwa kama punching bag

Kiroho, kinyota umeshachafuka sana.. Ushauri: Achana na hayo yote kwasasa.. Upe mwili nafasi ya kujitakasa urudi kwenye asili yake.. Tumia tiba ya chumvi kuharakisha mchakato
Tiba ya chumvi ndiyo ikoje mkuu?
 
Dunia hii ipo tofauti naunavyo ifikili ndugu yangu.kifupi nikwamba solutions yamambo yako yapo ndani mwako sio,kwakigagura,nabii au maji yaupako,na mganga watanga wote utapeli tuu tuu wamegeuza watu ni mashamba yao yakuvuna mabillions yafedha.
inawezekana ikawa kweli manake jana nilikwenda kwa nabii mmoja pale Mwenge Mpakani ..kiingilio kumuona uso kwa uso ni elfu 50 ,lakini alinichosha baada ya kunipa maono tofauti kabisa na yaliyonipeleka na nikamwambia hayo siyo yaliyonileta akatahamaki.....wakanifanyia scanning ten wakaleta bill ya vifaa vya kiroho shs 639,000 dah nikawangalia wale vijana jinsi wanavyotesa watu masikini..nikasema sirudi tena!!!
 
Ni Kweli mzee kwenye Uzi wake ameeleza mwenyewee jinsi anavyotembe na wake ,,za watu na mbaya Zaid akaenda kumla bint wa yule mwnamke ameniudhi mno laana IPO haujij tu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nilishatubu.Yamekwisha.Hakuna binadamu aliyemkamilifu. Naomba suluhisho
 
Back
Top Bottom