Nani anauza gari kati ya TRA na Mjapan?

Bro tunajilinganisja na Japan yenye viwanda vya magari(Toyota,Mazda,Mitsubishi,Nissan etc) huku wakiwa na matreni ya umeme kibao/public transport system yao ni wamejizatiti.
 
Ndio maaana mimi huwa nawashangaa watu wanaoshabikia serikali hii, unajua kwa ufupi kabisa serikali hii ni wezi, wanakusanya kodi kwa kuwanyonya wananchi maskini, na ndio maana watu hwa wanatafuta namna ya kukwepa kodi, ndio njia pekee, ukifanya biashara halafu ukalipa kodi ile wanayotaka serikali lazima utafirisika mapema sana, watu wengi hulazimika kukwepa kodi, umeona hapo juu mfano wa hizo kodi, wizi mtupu
 
Umesema vizuri
 
Bro tunajilinganisja na Japan yenye viwanda vya magari(Toyota,Mazda,Mitsubishi,Nissan etc) huku wakiwa na matreni ya umeme kibao/public transport system yao ni wamejizatiti.
Hatujilinganishi, hatuna barabara za kuweza kuhimili gari nyingi.
 
TRA ndo anauza gari,,MJAPAN yeye ni kama dalali tu [emoji16]
 
Hatujilinganishi, hatuna barabara za kuweza kuhimili gari nyingi.
Ila tuna Usafiri wa umma bora wa kuweza kutu accommodate sio mkuu?Cheki Mwendokasi inavyojaza watu na Costa/hiace zetu uniambie hali unaionaje mkuu.
 
Ila tuna Usafiri wa umma bora wa kuweza kutu accommodate sio mkuu?Cheki Mwendokasi inavyojaza watu na Costa/hiace zetu uniambie hali unaionaje mkuu.
Torque magari yakiongezeka mara mbili tu ya haya yaliyopo utaichukia serikali. Tunatakiwa tutatue tatizo la miundombinu kwanza. Usafiri wa uma bado ni tatizo linalotakiwa kutatuliwa.
 
Hatujilinganishi, hatuna barabara za kuweza kuhimili gari nyingi.
Tanzania tuna bara bara bora na nzuri ila magari bora mengi ni ya serikali sisi tupo na vipasso kutwa kuuliza naweza kufika nacho mbeya hiki kutokea daslm wangepunguza Kodi ili watu tuweze kumiliki magari ya ukweli sio hivi kila kukicha kigari kinagonga wakati hayo ya ukweli hayana bei na nachosikitika huko japan tunanunua gari unafanana nalo umri ila tunaliita jipya..
 
Nakubaliana na ww kuwa Tungepunguza kodi ya magari mapya ambayo kuyanunua huko nje ni gharama.

Still nchi haipo kwenye mazingira wezeshi ya kuhimili idadi kubwa ya wenye magari.
 
Nakubaliana na ww kuwa Tungepunguza kodi ya magari mapya ambayo kuyanunua huko nje ni gharama.

Still nchi haipo kwenye mazingira wezeshi ya kuhimili idadi kubwa ya wenye magari.
Unaongea kitu usichokijua network ya bara bara Tanzania ipo juu mno Kama unasafiri kwa nchi zingine za kusini hata East Africa sisi tupo juu ukiondoa SA na Botswana ila zingine hapo hakuna wa kutufananisha na mfumo wa bara bara mikoa mingi imeunganishwa na kiwango cha lami kasoro kipande kidogo huko kigoma kuitafuta nyakanazi na kuingia kigoma yenyewe...
 
Torque magari yakiongezeka mara mbili tu ya haya yaliyopo utaichukia serikali. Tunatakiwa tutatue tatizo la miundombinu kwanza. Usafiri wa uma bado ni tatizo linalotakiwa kutatuliwa.
Sawa mkuu acha tukubaliane kutokubaliana.
 
Sawa mm sifahamu ninachoongea, tufanye ww upo sahihi maana mm nakueleza uwezo wa barabara zetu kama nchi kuhimili idadi kubwa ya magari ww unaongelea network ya barabara ukilinganisha na nchi zingine, Hatutaelewana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…