Kodi ni kubwa sana ndio maana wengi wanakimbilia magari madogo na ya zamani na usalama wake pindi likipata ajali ndogo tuu ni mdogo wakati gari zilizotumika za 2010 mpaka 2015 bei zake za kawaida tuu kuanzia Toyota hilux. d4d, Disco 3,4,Range Rover,Subaru,Mercedes-Benz, Bmw na yanakua na Life span ya muda mrefu mpaka lianze kuja kusumbua lakini kwa kodi hizi tunaagiza gari ya 2000 harafu kutwa kulalamika hizi gari ni mbovu...Serikali punguzeni kodi kidogo kwenye magari sio starehe ni chombo tuu hicho kama vyombo vingine tuu..