Nani anaweza kutupa historia ya pesa?

Nani anaweza kutupa historia ya pesa?

Neno PESA ni tamshi la kihindi. Hivo matumizi yaliebukia India kwanza!

Mwanzoni kulikuwepo na beta-trade.. kadri ya maendeleo duniani mfumo wa Serufi na mbadala hutumika.

BTW miaka hii tunaanza kutumia kadi za ATM na hatimae tutafikia mfumo wa "Caripto currencies!!"
 
Mimi nitatoa ila niweke wazi ni Historia ya pesa toka enzi za kaisari au pesa ya Bongo
 
Mimi nitatoa ila niweke wazi ni Historia ya pesa toka enzi za kaisari au pesa ya Bongo
usiweke story za biblia, tunataka utupe mchanganuo wa kisayansi kwamba imekuaje mpaka tumekua na system ya pesa duniani kote, na dola kuwa pesa kuu.

Na nani ana mamlaka ya kushusha na kupandisha thamani ya pesa, pia nani anaeruhusiwa kuprint. nani anafaidika kwenye mfumo na nani hafaidiki
 
wakuu hii mada ni ngumu sana au ni nn, au tuanzie kwenye barter system, kubadilishana bidhaa kwa bidhaa
 
JF ni google ya waswahili hebu tusaidie kwa kunaoona chenga chenga kwa hiyo lugha ya malkia.
mkuu usirushe document au link, ingia mzigoni ili tupate kujadili, ukirusha link inamaana unakua muoga wa kuchanganua mambo, hata sisi tuna google, kwani tungeamua kila swali situngeliuliza google
 
WAKUU LEO NINA SWALI

SWALI: NANI ANAWEZA KUTUPA HISTORIA YA PESA?
Unataka historia ya pesa gani ? kama za hapa tanzania pesa ilikuwepo hata kabla ya mwarabu maana kuna kiwanda cha pesa kilikuwepo huko sehemu za mwambao kabla ya karne ya 15.

na kuhusu pesa dunia nzima zilitengenezwa kutokana na mapungufu ya barter system kwa mfano mtu una mbuzi ila unataka kuku na mwenzio anasema ana kuku wawili mbadilishane kwa mbuzi,au wewe una commodity nyingi na za kila aina na unataka kuzipunguza hivo the need for money arised
 
Back
Top Bottom