Nani anaweza kutupa historia ya pesa?

Nani anaweza kutupa historia ya pesa?

Nafikiri ni Busara kwa wewe kujibu swali na si kuzua swali baada ya kuulizwa swali,

Ningelikua ni wewe ningejitahidi kujibu swali ningeeleza namna inavyofanya kazi kama mwenyewe ulipozungumza kuwa 'tupo hapa kuelimishana'

Tafadhali tueleze inafanyaje kazi?

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Ni vizuri ungeelezea unavoelewa ww au unavohisi then inakua ni rahisi kukusahihisha na kukuelimisha kuliko kuanza upya darasa.
We unaelewa nn kuhusu mfumo wa pesa na huelewi nn kuhusu mfumo? Tuanzie hapo.

Kuelewa mfumo wa pesa ni lazima utafute information kwa umakini. Usifate sana information za kwenye academic material. Jaribu kutoka nje ya hapo na utafute material zinazoelezea uhalisia. Pia ni vizuri ukajua basics za biashara kabla ya pesa kuingia. Hapo ndo utakua unajenga msingi mzuri wa kuijua pesa.

Maana nikisema nikuelimishe. Utanilazimu nirudi kwenye history tena. Pia kuna elimu nyingi za uongo zimewekwa kimakusudi kupotosha ukweli. Kwa hiyo ni vema kwanza ufatilie history kwa umakini.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni vizuri ungeelezea unavoelewa ww au unavohisi then inakua ni rahisi kukusahihisha na kukuelimisha kuliko kuanza upya darasa.
We unaelewa nn kuhusu mfumo wa pesa na huelewi nn kuhusu mfumo? Tuanzie hapo.

Kuelewa mfumo wa pesa ni lazima utafute information kwa umakini. Usifate sana information za kwenye academic material. Jaribu kutoka nje ya hapo na utafute material zinazoelezea uhalisia. Pia ni vizuri ukajua basics za biashara kabla ya pesa kuingia. Hapo ndo utakua unajenga msingi mzuri wa kuijua pesa.

Maana nikisema nikuelimishe. Utanilazimu nirudi kwenye history tena. Pia kuna elimu nyingi za uongo zimewekwa kimakusudi kupotosha ukweli. Kwa hiyo ni vema kwanza ufatilie history kwa umakini.
Mkuu sifahamu lolote kuhusu namna Inflation inakuwa Exported, Tafadhali nijuze how inflation is Exported.

Nitashukuru[emoji120]

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu sifahamu lolote kuhusu namna Inflation inakuwa Exported, Tafadhali nijuze how inflation is Exported.

Nitashukuru[emoji120]

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Ok iko hivi

Tuanze na inflation ya ndani ya nchi
[emoji116]
Mfano. Nchi ya tanzania pekee, ina mali( mazao, maji, nguvu kazi, entertainment, usafiri, etc) zenye thamani ya trilion 5. Lazima u print pesa iwe sawa na thamani ya mali na nguvu kazi ya uzalishaji.
Turudi kwenye basic concept.
[emoji116]
Kabla ya pesa watu walikua wanabadilishana vitu.
Bank kwa usimamizi wa serikali ika print pesa. Watu wakawa wanapeleka mali bank wanapewa pesa. Wengine nguvu kazi wanapewa pesa. Wengine walinzi wa pesa wanapewa pesa. Wengine wakawa viongozi wakawa wanapewa pesa.
Mwisho mpaka pesa yote ikaingia kwenye mzunguko na bank ikabaki na pesa "0". Lakini ikawa na mali za kutosha. Bank nayo ikajikuta kwenye mzunguko ule ule, ikawa inatoa mali kupata pesa. Na kutoa pesa kupata mali. Mambo yakaendelea.

Twende kwenye concept inayofuata
[emoji116]
Kwa mazingira hayo, mfano tuna serikali x, serikali x ikawa na matumizi mabaya ya pesa mpaka ikaishiwa pesa. Ikaamua kuprint pesa nyingi ili iendelee kua na nguvu. Lakini kumbuka pesa ya mwanzo ilikua na thamani sawa na uzalishaji na mali, unapoongeza mapesa mengi kwenye mzunguko, pesa inaanza kukosa thamani. Kwa sababu unatengeneza watu wengi wasiofanya kazi ila wanataka huduma za kijamii na mali. Kwa hiyo pesa itakosa thamani na uzalishaji utakua mgumu. Kwa sababi kila mtu ana pesa na ukishakua na pesa kazi haifanyiki unatafuta mtu wa kumnyonya na kumtuma. Lakini ingekua inaendana na mali na uzalishaji ingekua na thamani na ngumu kupatikana.

Twende kwenye kuhamisha inflation
[emoji116]
Mfano, serikali x ina uwezo mkubwa wa kucontrol serikali zote duniani, ikaamua badala ya hizi hela tulizo print kuziweka kwenye nchi yetu, tuziweke kwenye mzunguko wa hela wa dunia. Yani hela ya serikali x inaweza kununua kitu chochote kwenye serikali yoyote ila hela serikali yoyote haiwezi kununua kitu kutoka serikali x mpaka serikali x imruhusu na ikimruhusu inabidi alipie hiyo service.

Je umeelewa au umeshindwa kuelewa wapi?
 
Ok iko hivi

Tuanze na inflation ya ndani ya nchi
[emoji116]
Mfano. Nchi ya tanzania pekee, ina mali( mazao, maji, nguvu kazi, entertainment, usafiri, etc) zenye thamani ya trilion 5. Lazima u print pesa iwe sawa na thamani ya mali na nguvu kazi ya uzalishaji.
Turudi kwenye basic concept.
[emoji116]
Kabla ya pesa watu walikua wanabadilishana vitu.
Bank kwa usimamizi wa serikali ika print pesa. Watu wakawa wanapeleka mali bank wanapewa pesa. Wengine nguvu kazi wanapewa pesa. Wengine walinzi wa pesa wanapewa pesa. Wengine wakawa viongozi wakawa wanapewa pesa.
Mwisho mpaka pesa yote ikaingia kwenye mzunguko na bank ikabaki na pesa "0". Lakini ikawa na mali za kutosha. Bank nayo ikajikuta kwenye mzunguko ule ule, ikawa inatoa mali kupata pesa. Na kutoa pesa kupata mali. Mambo yakaendelea.

Twende kwenye concept inayofuata
[emoji116]
Kwa mazingira hayo, mfano tuna serikali x, serikali x ikawa na matumizi mabaya ya pesa mpaka ikaishiwa pesa. Ikaamua kuprint pesa nyingi ili iendelee kua na nguvu. Lakini kumbuka pesa ya mwanzo ilikua na thamani sawa na uzalishaji na mali, unapoongeza mapesa mengi kwenye mzunguko, pesa inaanza kukosa thamani. Kwa sababu unatengeneza watu wengi wasiofanya kazi ila wanataka huduma za kijamii na mali. Kwa hiyo pesa itakosa thamani na uzalishaji utakua mgumu. Kwa sababi kila mtu ana pesa na ukishakua na pesa kazi haifanyiki unatafuta mtu wa kumnyonya na kumtuma. Lakini ingekua inaendana na mali na uzalishaji ingekua na thamani na ngumu kupatikana.

Twende kwenye kuhamisha inflation
[emoji116]
Mfano, serikali x ina uwezo mkubwa wa kucontrol serikali zote duniani, ikaamua badala ya hizi hela tulizo print kuziweka kwenye nchi yetu, tuziweke kwenye mzunguko wa hela wa dunia. Yani hela ya serikali x inaweza kununua kitu chochote kwenye serikali yoyote ila hela serikali yoyote haiwezi kununua kitu kutoka serikali x mpaka serikali x imruhusu na ikimruhusu inabidi alipie hiyo service.

Je umeelewa au umeshindwa kuelewa wapi?
Mkuraysh, umeelewa? Kama kuna sehemu hujaelewa unaongea
 
Ok iko hivi

Tuanze na inflation ya ndani ya nchi
[emoji116]
Mfano. Nchi ya tanzania pekee, ina mali( mazao, maji, nguvu kazi, entertainment, usafiri, etc) zenye thamani ya trilion 5. Lazima u print pesa iwe sawa na thamani ya mali na nguvu kazi ya uzalishaji.
Turudi kwenye basic concept.
[emoji116]
Kabla ya pesa watu walikua wanabadilishana vitu.
Bank kwa usimamizi wa serikali ika print pesa. Watu wakawa wanapeleka mali bank wanapewa pesa. Wengine nguvu kazi wanapewa pesa. Wengine walinzi wa pesa wanapewa pesa. Wengine wakawa viongozi wakawa wanapewa pesa.
Mwisho mpaka pesa yote ikaingia kwenye mzunguko na bank ikabaki na pesa "0". Lakini ikawa na mali za kutosha. Bank nayo ikajikuta kwenye mzunguko ule ule, ikawa inatoa mali kupata pesa. Na kutoa pesa kupata mali. Mambo yakaendelea.

Twende kwenye concept inayofuata
[emoji116]
Kwa mazingira hayo, mfano tuna serikali x, serikali x ikawa na matumizi mabaya ya pesa mpaka ikaishiwa pesa. Ikaamua kuprint pesa nyingi ili iendelee kua na nguvu. Lakini kumbuka pesa ya mwanzo ilikua na thamani sawa na uzalishaji na mali, unapoongeza mapesa mengi kwenye mzunguko, pesa inaanza kukosa thamani. Kwa sababu unatengeneza watu wengi wasiofanya kazi ila wanataka huduma za kijamii na mali. Kwa hiyo pesa itakosa thamani na uzalishaji utakua mgumu. Kwa sababi kila mtu ana pesa na ukishakua na pesa kazi haifanyiki unatafuta mtu wa kumnyonya na kumtuma. Lakini ingekua inaendana na mali na uzalishaji ingekua na thamani na ngumu kupatikana.

Twende kwenye kuhamisha inflation
[emoji116]
Mfano, serikali x ina uwezo mkubwa wa kucontrol serikali zote duniani, ikaamua badala ya hizi hela tulizo print kuziweka kwenye nchi yetu, tuziweke kwenye mzunguko wa hela wa dunia. Yani hela ya serikali x inaweza kununua kitu chochote kwenye serikali yoyote ila hela serikali yoyote haiwezi kununua kitu kutoka serikali x mpaka serikali x imruhusu na ikimruhusu inabidi alipie hiyo service.

Je umeelewa au umeshindwa kuelewa wapi?
NADHARIA yako nimeielewa vyema, Ila sasa hebu tuwe na Uhalisia kidogo[emoji23]

Mathalan, Leo hii Marekani itengeneza pesa nyingi kisha iziingize katika mzunguko wa Dunia, hii italeta vipi Inflation katika nchi kama Tanzania.[emoji23]

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Tuwe hapa[emoji116]
Hii ni kweli kabisa. Inasemwa kuwa wanaexport inflation. Wanaprint mahela halafu yanaenda kuumiza vinchi vingine kabisa.
Marekani kuprint Pesa nyingi na kuzisukumia katika mzunguko wa Dunia unaathiri vipi 'vinchi vingine kabisa' kama Tanzania?

Mbona mnanchanganya jamani[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Tuwe hapa[emoji116] Marekani kuprint Pesa nyingi na kuzisukumia katika mzunguko wa Dunia unaathiri vipi 'vinchi vingine kabisa' kama Tanzania?

Mbona mnanchanganya jamani[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Nafikiri kwa akili ya yako unafikiri waki print alafu wakasukumia kwenye vinchi vidogo, kwamba vinchi vidogo vitakua na hela nyingi[emoji23][emoji23]. Haiko ivo. Bali wao ndo wanazitumia hizo hela kununua chochote kwenye vinchi vidogo. Na kuwa force wananchi wa tu nchi tudogo kufanya kazi zaidi bila kujua wanamfaidisha anae print hela.
 
Nafikiri kwa akili ya yako unafikiri waki print alafu wakasukumia kwenye vinchi vidogo, kwamba vinchi vidogo vitakua na hela nyingi[emoji23][emoji23]. Haiko ivo. Bali wao ndo wanazitumia hizo hela kununua chochote kwenye vinchi vidogo. Na kuwa force wananchi wa tu nchi tudogo kufanya kazi zaidi bila kujua wanamfaidisha anae print hela.
Duuh sawa mkuu
Ilishawahi kutokea mkuu?

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Unataka historia ya pesa gani ? kama za hapa tanzania pesa ilikuwepo hata kabla ya mwarabu maana kuna kiwanda cha pesa kilikuwepo huko sehemu za mwambao kabla ya karne ya 15.

na kuhusu pesa dunia nzima zilitengenezwa kutokana na mapungufu ya barter system kwa mfano mtu una mbuzi ila unataka kuku na mwenzio anasema ana kuku wawili mbadilishane kwa mbuzi,au wewe una commodity nyingi na za kila aina na unataka kuzipunguza hivo the need for money arised
Upo ushahidi wa kale kama kielelezo cha matumizi ya coin East Africa 200 BC, maeneo kama kilwa & lamu
 
Wakuu leo nina swali

Swali: nani anaweza kutupa historia ya pesa?

Pesa ina historia ndefu ambayo imepitia hatua kadhaa muhimu.

Mwanzo, jamii zilikuwa zikibadilishana bidhaa na huduma moja kwa moja (kama vile nafaka kwa samaki), lakini mfumo huu wa kubadilishana (barter) ulikuwa na mapungufu kwa sababu haikuwa rahisi kupatanisha mahitaji ya kila mtu.

Baadaye, vitu kama vile dhahabu, fedha, na shaba zilianza kutumika kama pesa kutokana na thamani yake thabiti na ufanisi wake wa kubadilishana, na hivyo kuanzishwa kwa pesa ya kielektroniki (commodity money).

Karne ya 7, Wakati wachina, walianzisha fedha za karatasi, na hii ilikuwa hatua kubwa katika kuondoa matumizi ya vitu vya asili kama pesa na kufungua njia kwa mifumo ya kibenki.

Hivi karibuni, fedha zimekuwa za kielektroniki na digitali, na pesa za kidijitali kama Bitcoin na Cryptocurrencies zimeongeza mabadiliko makubwa katika sekta ya fedha.

Pesa, tangu kuanzishwa kwake, imekuwa na mabadiliko ya kimsingi, na leo tunatumia fedha za kidijitali na mifumo ya kibenki ya kisasa.

Kwanini Kubadilika kwa Thamani ya Pesa (yaani Mfumuko wa Bei) ni WIZI!
 
Back
Top Bottom