Nani anaweza kutupa historia ya pesa?

Nani anaweza kutupa historia ya pesa?

Historia ya Fedha

Fedha ni kitu ambacho hukubaliwa na kundi la watu kwa ajili ya kubadilishana bidhaa, huduma, au rasilimali. Kila nchi ina mfumo wake wa ubadilishaji wa sarafu na pesa za karatasi.

Kuzuia na Fedha za Mali​

Mwanzoni, watu walipiga marufuku. Kubadilisha ni kubadilishana kwa mema au huduma kwa mema au huduma nyingine. Kwa mfano, mfuko wa mchele kwa mfuko wa maharagwe. Hata hivyo, vipi ikiwa huwezi kukubaliana na kitu ambacho kilikuwa na thamani ya kubadilishana au hakutaka kile mtu mwingine alikuwa nacho?
Ili kutatua tatizo hilo, wanadamu walitengeneza kile kinachoitwa pesa ya bidhaa.
Bidhaa ni kitu cha msingi kinachotumiwa na karibu kila mtu. Katika siku za nyuma, vitu kama vile chumvi, chai, tumbaku, ng'ombe, na mbegu walikuwa bidhaa na hivyo mara moja kutumika kama fedha. Hata hivyo, kutumia bidhaa kama fedha zilikuwa na matatizo mengine. Kubeba mifuko ya chumvi na vitu vingine ilikuwa ngumu na bidhaa zilikuwa vigumu kuhifadhi au ziliharibika.

Fedha za Fedha na Karatasi​

Vipengele vya metali vilitengenezwa kama pesa karibu 5000 BC Kwenye 700 BC, Wadidians wakawa wa kwanza katika ulimwengu wa magharibi kufanya sarafu. Nchi za hivi karibuni zilichagua mfululizo wao wa sarafu na maadili maalum. Chuma ilitumiwa kwa sababu ilikuwa inapatikana kwa urahisi, rahisi kufanya kazi na inaweza kutumika tena. Kwa kuwa sarafu zilipewa thamani fulani, ikawa rahisi kulinganisha gharama ya vitu ambavyo watu walitaka.
Baadhi ya pesa za kwanza zilizojulikana za karatasi zimerejea China ya kale, ambapo utoaji wa fedha za karatasi ulikuwa kawaida kutoka AD 960 kuendelea.

Mwakilishi wa Fedha​

Kwa kuanzishwa kwa fedha za karatasi na sarafu isiyo ya thamani, pesa ya bidhaa ilibadilishwa kuwa fedha za mwakilishi. Hii ilikuwa inamaanisha kuwa pesa yenyewe yenyewe haikuhitaji kuwa ya thamani sana.
Fedha ya Mwakilishi iliungwa mkono na ahadi ya serikali au benki ya kuitenganisha kwa kiasi fulani cha fedha au dhahabu.
Kwa mfano, muswada wa zamani wa Uingereza Pound au Pound Sterling mara moja umehakikishiwa kuwa na uwezo wa kukombolewa kwa kilo cha fedha sterling.
Kwa zaidi ya karne ya kumi na tisa na ishirini, idadi kubwa ya sarafu ilikuwa msingi wa fedha za mwakilishi kupitia matumizi ya kiwango cha dhahabu.

Fiat Fedha​

Fedha ya mwakilishi sasa imebadilishwa na fiat fedha. Fiat ni neno la Kilatini la "hebu lifanyike." Fedha sasa inapatiwa thamani na serikali au amri ya serikali. Kwa maneno mengine, sheria za zabuni za kutekeleza sheria zinafanywa. Kwa sheria, kukataliwa kwa fedha "zabuni ya sheria" kwa njia ya aina nyingine ya malipo ni kinyume cha sheria.

Mwanzo wa Ishara ya Dollar ($)​

Chanzo cha ishara ya "$" ya fedha sio uhakika. Wanahistoria wengi hueleza ishara ya fedha ya "$" kwa pesa ya Mexican au Kihispania "kwa pesa, au piastres, au vipande vya nane. Uchunguzi wa maandishi ya kale unaonyesha kwamba hatua ndogo "S" iliandikwa juu ya "P" na inaonekana kama alama ya "$".

US Money Trivia​

Mnamo Machi 10, 1862, fedha za kwanza za Marekani zililipwa. Madhehebu wakati huo walikuwa $ 5, $ 10, na $ 20. Walikuwa zabuni za kisheria na Sheria ya Machi 17, 1862. Kuingizwa kwa "Katika Mungu Tunayotumaini" juu ya sarafu zote ilihitajika na sheria mwaka 1955. Kifungu cha kitaifa kilionekana kwanza kwenye fedha za karatasi mwaka wa 1957 kwa dola za Fedha 1 na kwenye Shirika la Shirikisho lote Vidokezo vilivyoanza na Série 1963.

Banking ya umeme​

ERMA ilianza kama mradi wa Benki ya Amerika kwa jitihada za kuchanganya sekta ya benki. MICR (kutambua tabia ya wino magnetic) ilikuwa sehemu ya ERMA. MICR kuruhusiwa kompyuta kusoma namba maalum chini ya hundi ambazo ziruhusu kufuatilia kompyuta na uhasibu wa shughuli za hundi.
Sawa. Hapa tutaleteana vitabu vingi tu. Lakini hujajibu swali langu. Pesa ya tanzania kushuka thamani au ya zimbabwe ina uhusiano gani na uchumi.
 
Sawa. Hapa tutaleteana vitabu vingi tu. Lakini hujajibu swali langu. Pesa ya tanzania kushuka thamani au ya zimbabwe ina uhusiano gani na uchumi.
Hebu tutafsiri uchumi

Uchumi= ni mwingiliano wa kibiashara ambao unamuwezesha mtu katika jamii husika kupata anachokihitaji kwa kubadilishana na mwenzake anachokihitaji. Wawili wakirithiana bila mtu wa tatu kuingilia kati
 
Hebu tutafsiri uchumi

Uchumi= ni mwingiliano wa kibiashara ambao unamuwezesha mtu katika jamii husika kupata anachokihitaji kwa kubadilishana na mwenzake anachokihitaji. Wawili wakirithiana bila mtu wa tatu kuingilia kati
Kipimo cha uchumi ni nn?

Kipimo cha uchumi kinapimwa katika nchi au jamii fulani kwa kuangalia huduma zinapatikana kirahisi na kwa wakati? Kwa mfano.

Nikitaka kusafiri kwenda dodoma napata usafiri kwa wakati na ninafika kwa wakati
Au nikitaka kula. Napata chakula kwa wakati na kizuri na kwa urahisi upi?

Urahisi wa kitu ndo kipimo cha uchumi
 
Kipimo cha uchumi ni nn?

Kipimo cha uchumi kinapimwa katika nchi au jamii fulani kwa kuangalia huduma zinapatikana kirahisi na kwa wakati? Kwa mfano.

Nikitaka kusafiri kwenda dodoma napata usafiri kwa wakati na ninafika kwa wakati
Au nikitaka kula. Napata chakula kwa wakati na kizuri na kwa urahisi upi?

Urahisi wa kitu ndo kipimo cha uchumi
Swali: kama hicho ndo kipimo cha uchumi. Mbona tanzania tuna mali za kutosha zinazoweza kufanya maisha yawe marahisi. Kwani huo sio uchumi?
 
Nimeuliza kwa nn thamani ya pesa tanzania ni ndogo ukilinganisha na marekani. Mkaniambia uchumi mdogo. Nikauliza. Uchumi ni nn. Hakuna alienijibu. Haya ndo majibu ambayo tumekaririshwa mashuleni. Lakini hakuna mtu alie wahi kwenda deep kuuliza
Hizo details nilizokupa ni kujibu swali la historia ya fedha.

Kama unataka kujua kuhusu kwanini currency zina thamani tofauti, hiyo ni issue nyingine. Lakini haina uhusiano wa moja kwa moja na ukubwa wa uchumi.

Mimi sio mchumi ina najua exchange rate ina mambo mengi, sio tu ukubwa au udogo wa uchumi mfano google exchange rate inasema 1 usd ni sawa na 109.85 Kenyan Shilling, wakati huo huo 1usd ni sawa na 108.64 Japanese Yen, ukitumia kigezo cha Forex unaweza sema Kenya na Japan ziko sawa.
 
Hizo details nilizokupa ni kujibu swali la historia ya fedha.

Kama unataka kujua kuhusu kwanini currency zina thamani tofauti, hiyo ni issue nyingine. Lakini haina uhusiano wa moja kwa moja na ukubwa wa uchumi.

Mimi sio mchumi ina najua exchange rate ina mambo mengi, sio tu ukubwa au udogo wa uchumi mfano google exchange rate inasema 1 usd ni sawa na 109.85 Kenyan Shilling, wakati huo huo 1usd ni sawa na 108.64 Japanese Yen, ukitumia kigezo cha Forex unaweza sema Kenya na Japan ziko sawa.
Interesting mkuu. Sawa. Lakini nani anacontrol exchange rate. Na kwa kiasi gani kuna usalama kuwaamini wanaofanya hizo exchange rate?
Na kumbuka hazifanywi na mungu zinafanywa na binadamu. Kuna makosa mengi. Ni nani anawakagua kama wamefanya makosa
 
Interesting mkuu. Sawa. Lakini nani anacontrol exchange rate. Na kwa kiasi gani kuna usalama kuwaamini wanaofanya hizo exchange rate?
Na kumbuka hazifanywi na mungu zinafanywa na binadamu. Kuna makosa mengi. Ni nani anawakagua kama wamefanya makosa
Currency ni bidhaa kama bidhaa nyingine. Demand and supply rules zinafanya kazi. Nchi inapata foreign currency kwa kuuza vitu au huduma nje, na inapoteza tunaponunua vitu nje kwa kutumia foreign currency. Mkitumia zaidi ya kuingiza ndio hapo fedha yenu inashuka thamani.

Lakini pia kuna sera za fedha. Nchi inaweza kuamua kufanya currency devaluation ambayo inasaidia kupunguza gharama ya vitu, Marekani imekuwa ikilalamikia China kuwa inafanya currency manipulation yake against the USD, kitu kinachofanya bei za vitu vya China kuwa bei chini
 
Currency ni bidhaa kama bidhaa nyingine. Demand and supply rules zinafanya kazi. Nchi inapata foreign currency kwa kuuza vitu au huduma nje, na inapoteza tunaponunua vitu nje kwa kutumia foreign currency. Mkitumia zaidi ya kuingiza ndio hapo fedha yenu inashuka thamani.

Lakini pia kuna sera za fedha. Nchi inaweza kuamua kufanya currency devaluation ambayo inasaidia kupunguza gharama ya vitu, Marekani imekuwa ikilalamikia China kuwa inafanya currency manipulation yake against the USD, kitu kinachofanya bei za vitu vya China kuwa bei chini
Waafrika tunafit wapi kwenye system ya hela. Au sisi tunaongozwa tu, nani anaesimamia kujua nchi yoyote kwa ujumla inatendewa haki kwenye mfumo wa hela. Bila kudanganywa?
 
usiweke story za biblia, tunataka utupe mchanganuo wa kisayansi kwamba imekuaje mpaka tumekua na system ya pesa duniani kote, na dola kuwa pesa kuu.

Na nani ana mamlaka ya kushusha na kupandisha thamani ya pesa, pia nani anaeruhusiwa kuprint. nani anafaidika kwenye mfumo na nani hafaidiki
Sawa mkuu karibuni ndani ya masaa 14 naleta
 
Waafrika tunafit wapi kwenye system ya hela. Au sisi tunaongozwa tu, nani anaesimamia kujua nchi yoyote kwa ujumla inatendewa haki kwenye mfumo wa hela. Bila kudanganywa?
Mifumo ya fedha wameshika walioanzisha. Inasikitisha lakini huo ndio ukweli, wanaopanga bei ya dhahabu hawajawahi hata kujua inapatikana vipi. Lakini ndio hivyo tena, michezo hii wameanzisha wazungu, sheria wametunga wao... sisi tumeingizwa tu, ndio maana tunapigwa kila siku.

Tafuta kitu kina Chicago Mercantile Exchange.... unaweza kulima mahindi hapa Katavi, lakini bei wanaamua wana huko Chicago.
 
Mifumo ya fedha wameshika walioanzisha. Inasikitisha lakini huo ndio ukweli, wanaopanga bei ya dhahabu hawajawahi hata kujua inapatikana vipi. Lakini ndio hivyo tena, michezo hii wameanzisha wazungu, sheria wametunga wao... sisi tumeingizwa tu, ndio maana tunapigwa kila siku.

Tafuta kitu kina Chicago Mercantile Exchange.... unaweza kulima mahindi hapa Katavi, lakini bei wanaamua wana huko Chicago.
Aisee mkuu umeongea mantiki. Safi sana. Sasa yapasa tujiulize wote kua. Kujenga mabarabara na kufanya mamiradi bado haitoshi. As long as mfumo wa hela sio wetu. Ukabaila unatuhusu.
 
Aisee mkuu umeongea mantiki. Safi sana. Sasa yapasa tujiulize wote kua. Kujenga mabarabara na kufanya mamiradi bado haitoshi. As long as mfumo wa hela sio wetu. Ukabaila unatuhusu.
Mkuu, mambo ya finance yanatisha sana. Ndio maana ukisikia mtu anasema anataka kupambana na mabeberu, unajua kabisa hajui anachoongelea huyu.

Hutakiwi kabisa kuingia kwenye target za wenye dunia, lazima upotee
 
Mkuu, mambo ya finance yanatisha sana. Ndio maana ukisikia mtu anasema anataka kupambana na mabeberu, unajua kabisa hajui anachoongelea huyu.

Hutakiwi kabisa kuingia kwenye target za wenye dunia, lazima upotee
Sure mkuu
 
Back
Top Bottom