Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Rais wa Bukina faso , Ibrahim Traore anadai kizazi chake kuna maswali matatu muhimu ya kujiuliza :-
1.Inawezekanaje Bara lenye utajiri mwingi ardhini kuwa ndio bara maskini kuliko yote Duniani ?
2.Inawezekanaje Africa kuwa bara lenye Njaa ?
3.Inawezekanaje Africa kuwa bara lenye viongozi omba omba kuliko yote ?
Ni nini hasa tatizo ?
View: https://youtu.be/I57bGuxMaPY?si=zYOW0-Ff8hDTUmoq
1.Inawezekanaje Bara lenye utajiri mwingi ardhini kuwa ndio bara maskini kuliko yote Duniani ?
2.Inawezekanaje Africa kuwa bara lenye Njaa ?
3.Inawezekanaje Africa kuwa bara lenye viongozi omba omba kuliko yote ?
Ni nini hasa tatizo ?
View: https://youtu.be/I57bGuxMaPY?si=zYOW0-Ff8hDTUmoq