Captain Ibrahim Traure Mungu ampe maisha marefu hapa duniani. Amevaa viatu vya Thomas Sankara ( RIP) wa Burkina Faso. Maswali yake haya 3 aliyoya ainisha , majibu yake ni kwamba tumekuwa hivi tulivyo kwa sababu tumekosa Kitu kimoja muhimu kati ya vitu 4 ambavyo tunahitaji kuwa navyo katika Mataifa yetu ya kiafrika ili tuendelee . Vutu hivi 4 kulingana na Mwl Nyerere (RIP) , ni Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora. Kwa Mataifa yote ya Kiafrika, karibia vitu hivi vyote vipo kwa wingi tu ( plenty and abundance ) , ila kitu tulichokikosa ni Kimoja tu, ambacho hata hapa kwetu TZ kimekuwa haba sana, na sijui ni lini na wapi tutakipata.Ana hoja, ilq matumbo yetu nimakubwa sana na wabinafsi mno.
Rushwa adui wa haki
Uzalendo wa mdomoni
Maneno mengi kuliko vitendo
Nk
Unamfahamu huyu Shujaa au unamsikia tu. Ni rare species yulehata yeue mpigaji akaekimya
Yeye mwenyewe mamluki wa serikali.AIONE KWENYE JALADA: Mbowe.
Kama wapo baadhi ya Viongozi waliweza kuingia mikataba ya madini kwa kukubali Nchi ipewe asilimia 3 ya mapato ya madini kama ya dhahabu baada ya kutoa gharama zote za Uendeshaji hapo Ibrahima Traore anasemaje ???!!!Rais wa Bukina faso , Ibrahim Traore anadai kizazi chake kuna maswali matatu muhimu ya kujiuliza :-
1.Inawezekanaje Bara lenye utajiri mwingi ardhini kuwa ndio bara maskini kuliko yote Duniani ?
2.Inawezekanaje Africa kuwa bara lenye Njaa ?
3.Inawezekanaje Africa kuwa bara lenye viongozi omba omba kuliko yote ?
Ni nini hasa tatizo ?
View: https://youtu.be/I57bGuxMaPY?si=zYOW0-Ff8hDTUmoq
Rais wa Bukina faso , Ibrahim Traore anadai kizazi chake kuna maswali matatu muhimu ya kujiuliza :-
1.Inawezekanaje Bara lenye utajiri mwingi ardhini kuwa ndio bara maskini kuliko yote Duniani ?
2.Inawezekanaje Africa kuwa bara lenye Njaa ?
3.Inawezekanaje Africa kuwa bara lenye viongozi omba omba kuliko yote ?
Ni nini hasa tatizo ?
View: https://youtu.be/I57bGuxMaPY?si=zYOW0-Ff8hDTUmoq
Acha porojo kama ulimuona mwamba kwenye mafuriko , yuko kweny tmu ya uokoaji halafu unaleta porojo watu wanakosa chakula.Korea hii hii ambayo watu wake wamekosa chakula na kuamua kula mbwa kama chakula Cha kujinusuru.
ELIMURais wa Bukina faso , Ibrahim Traore anadai kizazi chake kuna maswali matatu muhimu ya kujiuliza :-
1.Inawezekanaje Bara lenye utajiri mwingi ardhini kuwa ndio bara maskini kuliko yote Duniani ?
2.Inawezekanaje Africa kuwa bara lenye Njaa ?
3.Inawezekanaje Africa kuwa bara lenye viongozi omba omba kuliko yote ?
Ni nini hasa tatizo ?
View: https://youtu.be/I57bGuxMaPY?si=zYOW0-Ff8hDTUmoq
Jibu ni moja tu Poor governance : kutoka kwenye hilo tatizo tuna misuse of resources, rushwa , upendeleo, even kupata viongiz wa ajab ajabRais wa Bukina faso , Ibrahim Traore anadai kizazi chake kuna maswali matatu muhimu ya kujiuliza :-
1.Inawezekanaje Bara lenye utajiri mwingi ardhini kuwa ndio bara maskini kuliko yote Duniani ?
2.Inawezekanaje Africa kuwa bara lenye Njaa ?
3.Inawezekanaje Africa kuwa bara lenye viongozi omba omba kuliko yote ?
Ni nini hasa tatizo ?
View: https://youtu.be/I57bGuxMaPY?si=zYOW0-Ff8hDTUmoq
Kuna majibu matatu:1.Rais wa Bukina faso , Ibrahim Traore anadai kizazi chake kuna maswali matatu muhimu ya kujiuliza :-
1.Inawezekanaje Bara lenye utajiri mwingi ardhini kuwa ndio bara maskini kuliko yote Duniani ?
2.Inawezekanaje Africa kuwa bara lenye Njaa ?
3.Inawezekanaje Africa kuwa bara lenye viongozi omba omba kuliko yote ?
Ni nini hasa tatizo ?
View: https://youtu.be/I57bGuxMaPY?si=zYOW0-Ff8hDTUmoq