Nani anayekagua na kudhibiti ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG)?

Nani anayekagua na kudhibiti ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG)?

Kwanza naomba uelewe kuwa CAG ni sawa na neno Rais.

Swali lako ni sawa na kusema nani huwa anaikagua ofisi ya Rais?

Jibu ni kuwa, Mkaguzi anayekagua hesabu za Ofisi ya CAG anatoka kwenye makampuni binafsi ya ukaguzi (Private Audit Firms) inayotambuliwa kisheria na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi (NBAA) ambaye atachaguliwa na Kamati ya bunge ya Hesabu za Serikali kuu ( PAC).

Hii ni kwa mujibu wa Sheria ya Ukaguzi wa Umma Na. 11 ya mwaka 2008 Kifungu 46 (1-6)

Serikali Kuu hukaguliwa na CAG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu Kwa mujibu wa Sheria ya Ukaguzi wa Umma Na. 11 ya mwaka 2008 Kifungu 46 (1)- (6) cha Sheria ya Ukaguzi inatoa utaratibu wa kumpata Mkaguzi wa kuikagua Ofisi ya CAG. Sheria hiyo inaeleza kuwa Mkaguzi anayekagua ofisi ya CAG atachaguliwa na PAC kutoka kwenye makampuni binafsi ya ukaguzi Kwa Maana ya Private Audit Firms yanayotambuliwa na NBAA.
........
Kwa Mapenzi Mema Kabisa Nitamwandikia/Ofisi Ya Spika Kwamba Tunaomba Kamati Ya PAC itue Kampuni Ifanye Ukaguzi Ndani Ya Ofsi Ya CAG.

Sent using Jamii Forums mobile app
Prof atawaua asee mtaimba kila wimbo lakini dawa lazima iwaingie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu Kwa mujibu wa Sheria ya Ukaguzi wa Umma Na. 11 ya mwaka 2008 Kifungu 46 (1)- (6) cha Sheria ya Ukaguzi inatoa utaratibu wa kumpata Mkaguzi wa kuikagua Ofisi ya CAG. Sheria hiyo inaeleza kuwa Mkaguzi anayekagua ofisi ya CAG atachaguliwa na PAC kutoka kwenye makampuni binafsi ya ukaguzi Kwa Maana ya Private Audit Firms yanayotambuliwa na NBAA.
........
Kwa Mapenzi Mema Kabisa Nitamwandikia/Ofisi Ya Spika Kwamba Tunaomba Kamati Ya PAC itue Kampuni Ifanye Ukaguzi Ndani Ya Ofsi Ya CAG.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hilo hufanyika ili CAG kuwa kama client na Other Auditing firm kufanya ukaguzi ofisi ya CAG yaani NAOT.

Kazi ya kumtafuta mkaguzi atakayemkagua CAG hufanyika katika utaratibu wa zabuni ambayo hufanywa mapema katika mwaka husika na hivyo mzabuni kujupata mikataba yote pamoja na TOR na hvy mwaka tu husika unapoisha mkaguzi ambaye ni mzabuni aliyeshinda tender ya kumkagua CAG Hutoa Engagemeny letter kama taratibu zilivyo akimweleza CAG kuwa atakaguliwa nao na hao jamaa siku fulani hadi fulani.

Siku ikifika mkaguzi atafanya ukaguzi kwa muda wake na baadae atatoa taarifa itakayokwenda kwa waziri mwenye dhamana.

So kwa sasa hadi unapozungumza hili ni kwamba hiyo kazi imekwishafanyika na report ipo mezani uzuri haina madudu kama hayo mliyokutwa nayo ninyi.

Ofisi ya CAG wapo smart sana kwenye kufuata taratibu mzee, hata kama kuna mapungufu lk huwezi kukutana na uchafu unaofananishwa hata kidogo na huo wenu.

Nxt time usikurupuke mkuu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu Kwa mujibu wa Sheria ya Ukaguzi wa Umma Na. 11 ya mwaka 2008 Kifungu 46 (1)- (6) cha Sheria ya Ukaguzi inatoa utaratibu wa kumpata Mkaguzi wa kuikagua Ofisi ya CAG. Sheria hiyo inaeleza kuwa Mkaguzi anayekagua ofisi ya CAG atachaguliwa na PAC kutoka kwenye makampuni binafsi ya ukaguzi Kwa Maana ya Private Audit Firms yanayotambuliwa na NBAA.
........
Kwa Mapenzi Mema Kabisa Nitamwandikia/Ofisi Ya Spika Kwamba Tunaomba Kamati Ya PAC itue Kampuni Ifanye Ukaguzi Ndani Ya Ofsi Ya CAG.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnataka kuchunguza kama CAG ni "DHAIFU" kama nyie!
 
Wakuu Kwa mujibu wa Sheria ya Ukaguzi wa Umma Na. 11 ya mwaka 2008 Kifungu 46 (1)- (6) cha Sheria ya Ukaguzi inatoa utaratibu wa kumpata Mkaguzi wa kuikagua Ofisi ya CAG. Sheria hiyo inaeleza kuwa Mkaguzi anayekagua ofisi ya CAG atachaguliwa na PAC kutoka kwenye makampuni binafsi ya ukaguzi Kwa Maana ya Private Audit Firms yanayotambuliwa na NBAA.
........
Kwa Mapenzi Mema Kabisa Nitamwandikia/Ofisi Ya Spika Kwamba Tunaomba Kamati Ya PAC itue Kampuni Ifanye Ukaguzi Ndani Ya Ofsi Ya CAG.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kuna mashindano ya ukaguzi?!
 
Wakuu Kwa mujibu wa Sheria ya Ukaguzi wa Umma Na. 11 ya mwaka 2008 Kifungu 46 (1)- (6) cha Sheria ya Ukaguzi inatoa utaratibu wa kumpata Mkaguzi wa kuikagua Ofisi ya CAG. Sheria hiyo inaeleza kuwa Mkaguzi anayekagua ofisi ya CAG atachaguliwa na PAC kutoka kwenye makampuni binafsi ya ukaguzi Kwa Maana ya Private Audit Firms yanayotambuliwa na NBAA.
........
Kwa Mapenzi Mema Kabisa Nitamwandikia/Ofisi Ya Spika Kwamba Tunaomba Kamati Ya PAC itue Kampuni Ifanye Ukaguzi Ndani Ya Ofsi Ya CAG.

Sent using Jamii Forums mobile app
We unadhani hawakaguliwi..?? Basi wanakaguliwa kila mwaka...
Sema hawana hati chafu au madudu ya kuweza kutetemesha nchi kama yenu huko..
 
"MKAGUZI WA HESABU ZA SERIKALI" Hii hoja imenibidi nirejee jina la CAG kwa Kiswahili. Kinadharia katika definition ya SERIKALI huwa tunawaondoa BUNGE na MAHAKAMA. Pamoja na majibu mazuri ya wajumbe kwa swali la mtengeneza uzi, naomba pia kufahamishwa nani anakagua hesabu za BUNGE na utaratibu wa kuujulisha umma taarifa ya ukaguzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba Hyo Taarifa Tuone Kama Haina Madudu
Mkuu hilo hufanyika ili CAG kuwa kama client na Other Auditing firm kufanya ukaguzi ofisi ya CAG yaani NAOT.

Kazi ya kumtafuta mkaguzi atakayemkagua CAG hufanyika katika utaratibu wa zabuni ambayo hufanywa mapema katika mwaka husika na hivyo mzabuni kujupata mikataba yote pamoja na TOR na hvy mwaka tu husika unapoisha mkaguzi ambaye ni mzabuni aliyeshinda tender ya kumkagua CAG Hutoa Engagemeny letter kama taratibu zilivyo akimweleza CAG kuwa atakaguliwa nao na hao jamaa siku fulani hadi fulani.

Siku ikifika mkaguzi atafanya ukaguzi kwa muda wake na baadae atatoa taarifa itakayokwenda kwa waziri mwenye dhamana.

So kwa sasa hadi unapozungumza hili ni kwamba hiyo kazi imekwishafanyika na report ipo mezani uzuri haina madudu kama hayo mliyokutwa nayo ninyi.

Ofisi ya CAG wapo smart sana kwenye kufuata taratibu mzee, hata kama kuna mapungufu lk huwezi kukutana na uchafu unaofananishwa hata kidogo na huo wenu.

Nxt time usikurupuke mkuu!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutamuomba Waziri Wa Fedha+Kamati Ya PAC Watuambie Kama CAG alishaleta Taarifa Ya Kukaguliwa Kwake
IMG_20190410_211605.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
CAG i wangu ni wa watz, una maana kin Mkulo etc amewatenda?? jenga hoja mkuu usiharibu utamu, afu soma hapa chini
Kabla hujajiuliza hili swali lazma ujue majukumu ya ofisi ya ukaguzi ( NAO)

Hawa hawana pesa za miradi wao kazi Yao ni kukagua,.. sehemu zinazopigwa pesa Mara nyingi huwa kwenye taasisi zinakopelekwa pesa za miradi,Ofisi ya mkaguzi mkuu pale wanapelekewa OC na mafungu yanayowawezesha kufika sehemu zote za nchi katika taasisi za umma na miradi ili kuikagua

Pamoja na hiyo utendaji wake unamulikwa na mahakama ili asimuonee mtu, na ndo maana hata bungeni Kuna kamati ya PAC na LAAC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We unadhani hawakaguliwi..?? Basi wanakaguliwa kila mwaka...
Sema hawana hati chafu au madudu ya kuweza kutetemesha nchi kama yenu huko..
Ok Kama wamekaguliwa, Kama Ripoti Ya Ukaguzi Wa Ofisi Wa CAG ipo Na Ilishapelekwa Bungeni Basi Itolewa na Wananchi Wajue, Hili Sio Hitaji Langu Bali Ni Kwa Mujibu Wa Kifungu cha 46(1)(6) cha Sheria Ya Ukaguzi Wa Umma No. 11 ya Mwaka 2008

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi ya kukagua CAG tuwape CCM ili wamsimamie kama wanavyosimamia Tume ya Uchaguzi na Polisi. Najua mnatamani sana kum-control CAG. ******* ameonyesha mfano...

Pamoja na mazuri ninayohisi yamefanywa na CAG, najiuliza ni nani anayemkagua katika utendaji wake?

-------- Michango-------

SubiriJibu anasema,

Mleta mada,

Ukiachilia mbali wanaokubeza kwa mada yako inabidi nikupongeze kwani umeleta kitu kikubwa kilichojificha kutokana na wengi wetu nikiwemo mimi tuko wavivu wa kusoma.

Katiba yetu iko wazi kabisa kuhusu CAG. Ibara ya 143 (i) inasema: {Kutakuwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali wa Jamhuri ya Muungano.}

Hapo hakuna matatizo. Jibu la swali lako linaweza kupatikana kwenye ibara ya 143(6) isemayo hivi: {Katika kutekeleza madaraka yake kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (2), (3) na (4) ya ibara hii, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu hatalazimika kufuata amri au maagizo ya mtu mwingine yeyote au idara yoyote ya Serikali, lakini maelezo hayo ya ibara hii ndogo hayataizuia Mahakama nayo kutumia madaraka yake kwa ajili ya kuchunguza kama Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu ametekeleza madaraka yake kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii au sivyo.}

Hapo kwenye blue ni kwamba CAG si mwisho he/she is subject to court. Hivyo, CAG anaweza kushitakiwa mahakamani kama ameboronga.

Kikubwa kingine ambacho hukukileta lakini nakiona potential kwenye post yako ni kwenye ibara ya 143(4) isemayo hivi: { Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu atawasilisha kwa Rais kila taarifa atakayotoa kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (2) ya ibara hii. Baada ya kupokea taarifa hiyo Rais atawaagiza watu anaohusika wawasilishe taarifa hiyo kwenye kikao cha kwanza cha Bunge kitakachofanyika baada ya Rais kupokea taarifa hiyo na itabidi iwasilishwe katika kikao hicho kabla ya kupita siku saba tangu siku ile kilipoanza kikao hicho. Iwapo Rais hatachukua hatua za kuwasilisha taarifa hiyo kwa Spika wa Bunge (au Naibu wa Spika ikiwa kiti cha Spika ki wazi wakati huo au ikiwa kwa sababu yoyote Spika hawezi Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania}

Hapa ndipo penye sakata ambalo inawezekana hujui lakini umelianzisha. Maana yake ni nini? Maana yake ni kwamba Rais ndiye anayepewa report ya madudu aliyogundua CAG wakati wa ukaguzi wake. Mara tu Rais anapoipata report hiyo anaipeleka kopi Bungeni.

Hivyo, mtiririko wa safari ya report ni kwamba inaanza kwa CAG, inaenda kwa Rais, kisha inaenda Bungeni. Hakuna mahala panapoonyesha kuwa Makamu wa Rais, au Waziri Mkuu au Waziri yoyote anapitia mlolongo wa kuipokea au kuigusa report ya CAG.

Kumbe, Waziri Mkuu na mawaziri wenzake, wanashtukia kuyasoma madudu yale report inaposomwa Bungeni. Hivyo, kwa utaratibu huu mtu pekee anayejua madudu ya report kabla haijaenda Bungeni ni Rais na CAG tu.

Kwa utaratibu huu, huwezi kusema Waziri Mkuu hakumshauri Rais kuhusu madudu yaliyomo kwenye report ya CAG wakati Waziri Mkuu hakupata nafasi ya kuiona kwani utaratibu uko wazi kabisa yeye anaijua report inaposomwa Bungeni.

Nakubali kwamba Pinda anaweza kuwa aliiona mapema, lakini kikatiba anapoiona Pinda ni kwamba ime-leak kwani hakutakiwa hadi aisikie ikisomwa Bungeni.

Hivyo, kikatiba huwezi kusema Pinda anapaswa kuwajibika kwa lolote lililotajwa na CAG. Eti hakumshauri Rais. Angemshauri vipi kwa jambo ambalo katiba yenyewe inasema kuwa hakutakiwa kulijua kabla report haijasomwa Bungeni na kuisikia kama tunavyoisikia sisi.

Hivyo, aliyeshindwa kuwawajibisha mawaziri kabla hata repirt haijaenda Bungeni ni Rais mwenye kikatiba na tuache ngonjera zingine za kisiasa ambazo hazitasaidia kuubadilisha ukweli huu wa kikatiba.

Someni ibara mbili za katiba yaani 143 na 144 ambapo ukweli ninaosema umeanikwa wazi hata primary school pupil anaweza kuusoma.

Namalizia tena, hongera mleta mada, na kama magazeti yatapitia thread hii, hii ni habari mpya ya kubadilisha upepa wa suala zima ambalo sasa eti linachukua sura ya kisiasa wakati ni suala la kikatiba.
 
Na bashite mr zero wa karomije ha ha baba wa chato na mwana muna mchecheto majambazi nyie
 
Back
Top Bottom