Nani anayekagua na kudhibiti ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG)?

Nani anayekagua na kudhibiti ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG)?

Sio kwa Nia mbaya ila Nina wasiwasi na cag ..sisemi hafanyi kazi vizuri ila najua kwamba na yeye ni binadamu na kama binadamu lazima ana ubinadamu wake!! Ofisi ya cag ndio inaweza kujaa rushwa kubwa kubwa na uonevu na yeye achunguzwe
Nakumbumbuka COASCO mkoa wa Mbeya alitoa ripoti ya ukaguzi na chama Cha wakulima wakapata hati isiyoridhisha. Sasa na wao walikaguliwa na CAG wakapata hati chafu. Kwahiyo huyu CAG nae akikaguliwa huenda tukaona madudu maana nasikia huwa wanazidi bajeti na kupokea rushwa Kwa baadhi ya taasisi Ili wasipewe hati chafu na wengine wanakataa na kupewa hati zenye mashaka.
 
Hyo Ofsi nayo inatumika kisiasa , kuchomeana na kuchafuana, Maghufuli watu kama hawa alikuwa anawafukuza tuu..hyo ofsi nayo madudu kibao , vijana wa hyo ofsi wanakula rushwa kutengeneza hati safi kwa mtu flani na kumchoma mtu fulan
 
Tanzania ufisadi hautaisha, maana sasa mafisadi wamegeukia CAG baada ya kuumbuliwa kwenye ripoti.
 
Sio kwa Nia mbaya ila Nina wasiwasi na cag ..sisemi hafanyi kazi vizuri ila najua kwamba na yeye ni binadamu na kama binadamu lazima ana ubinadamu wake!! Ofisi ya cag ndio inaweza kujaa rushwa kubwa kubwa na uonevu na yeye achunguzwe
Huu ujinga wa kuwa CAG achunguzwe pia aliwahi kuuleta Ndugai ili kuhalalisha kumkomoa CAG Assad. Hope hii I'd ni ya Ndugai au mkewe.
 
Hyo Ofsi natumika kisiasa , kuchomeana na kuchafuana, Maghufuli watu kama hawa alikuwa anawafukuza tuu..hyo ofsi nayo madudu kibao , vijana wa hyo ofsi wanakula rushwa kutengeneza hati safi kwa mtu flani na kumchoma mtu fulan

Magufuli alikuwa ana chuki na yoyote anayeweka uchafu wake hadharani. Alikuwa anatumia madaraka yake kwa personal attack.
 
Sio kwa Nia mbaya ila Nina wasiwasi na cag ..sisemi hafanyi kazi vizuri ila najua kwamba na yeye ni binadamu na kama binadamu lazima ana ubinadamu wake!! Ofisi ya cag ndio inaweza kujaa rushwa kubwa kubwa na uonevu na yeye achunguzwe
Kila ofisi inachunguzwa kuanzia ofisi ya rais, ya CAG, nk
 
IMG-20230411-WA0001.jpg
 
Huu ujinga wa kuwa CAG achunguzwe pia aliwahi kuuleta Ndugai ili kuhalalisha kumkomoa CAG Assad. Hope hii I'd ni ya Ndugai au mkewe.
Yaani wewe,huwa unajiona wewe ndio mtanzania zaidi,mwenye haki ya kusema,ila wengine wakisema ni wajinga.wewe unajiona ndio mzalendo kuliko woote walio hai kwenye nchi hii,na kidole chako kile kidogo kina akili nyingi kuliko vichwa vywa watanzania million 60.

Wewe ni mbinafsi na mbaguzi sana.kutwa kucha maandiko yako ni utengana,ni kimtukana jpm na sikuma gang tu,huo ni upumbavu.
 
Yaani wewe,huwa unajiona wewe ndio mtanzania zaidi,mwenye haki ya kusema,ila wengine wakisema ni wajinga.wewe unajiona ndio mzalendo kuliko woote walio hai kwenye nchi hii,na kidole chako kile kidogo kina akili nyingi kuliko vichwa vywa watanzania million 60.

Wewe ni mbinafsi na mbaguzi sana.kutwa kucha maandiko yako ni utengana,ni kimtukana jpm na sikuma gang tu,huo ni upumbavu.

Nionyeshe post zako unazosifia unaotofautiana nao mitazamo, au ukihubiri umoja.
 
Sio kwa Nia mbaya ila Nina wasiwasi na cag ..sisemi hafanyi kazi vizuri ila najua kwamba na yeye ni binadamu na kama binadamu lazima ana ubinadamu wake!! Ofisi ya cag ndio inaweza kujaa rushwa kubwa kubwa na uonevu na yeye achunguzwe
Public Audit Act, kifungu namba 46, kinaelekeza namna CAG anavyokaguliwa hasa kwenye matumizi ya bajeti yake.
Screenshot_20230411-094813.jpg
 
Sio kwa Nia mbaya ila Nina wasiwasi na cag ..sisemi hafanyi kazi vizuri ila najua kwamba na yeye ni binadamu na kama binadamu lazima ana ubinadamu wake!! Ofisi ya cag ndio inaweza kujaa rushwa kubwa kubwa na uonevu na yeye achunguzwe
CAG kwa sheria anachunguzwa na bunge
 
Back
Top Bottom