Wala hata Sio Chuma...Hivi kweli yaani anataka Ziara ya Rais Kaenda Uwanja wa Ndege,Au Kukagua Reli au Kazi fulani na CCM waende?
Acheni hizo bana!
Rais ni Wa wananchi na Ni serikali...Ukitaka Kila kitu anachofanya Rais wewe useme yeah ni Mwenyekiti wa chama hivyo Wenyeviti wa mikoa twende!
Shughuli za Chama ni chamani huko! Kumbe walikuwa wanaumia sanaaa wasipoitwa kwenye Ziara za Rais na wenyewe waende na Mavazi yao![emoji115][emoji2][emoji2]
Acheni hizo bana!
Rais ni Wa wananchi na Ni serikali...Ukitaka Kila kitu anachofanya Rais wewe useme yeah ni Mwenyekiti wa chama hivyo Wenyeviti wa mikoa twende!
Shughuli za Chama ni chamani huko! Kumbe walikuwa wanaumia sanaaa wasipoitwa kwenye Ziara za Rais na wenyewe waende na Mavazi yao![emoji115][emoji2][emoji2]