October 2pm
Senior Member
- May 2, 2023
- 106
- 282
- Thread starter
- #21
Ndugai
Ndugai yupi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugai
Nani?si kuna mmoja alishajitangaza atagombea?
Mimi mwenyewe nipo , japo yoyote chama kitaona anafaa mda ukifika sawa maana lengo ni moja tu ,kwenda kananiNani apeperushe bendera ya Chadema Kwa nafasi ya Urais mwakani 2025
Mimi mwenyewe nipo , japo yoyote chama kitaona anafaa mda ukifika sawa maana lengo ni moja tu ,kwenda kanani
Nimesaulika mkuu,ila bado sio tatizoUpo kwèñye Ile list?
Sugu yupo ila Jamaa Yao Lisu aliyepata kura chache na kupoteza Wabunge 2020 amesema anataka kugombea tena 🤣🤣Kwenye hiyo list HAKUNA.
Atakaribishwa au atahamia huko. Unaona je wewe!Samia ni CDM??
Lisu ndio anayefaa, lakini Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyeshoya ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.Nani apeperushe bendera ya Chadema Kwa nafasi ya Urais mwakani 2025
Andrew Chenge John Shibuda?🤣Atatokea Kanda ya ziwa! Kuweni wapole,kifaa kinakuja hamtaamini
2020 hakukuwa na uchaguzi, bali yalikuwa maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. We watu wametangazwa washindi huku hawajui kwa uhakika idadi halisi ya kura zao! Sasa huo ni uchaguzi ama ukhanithi?Sugu yupo ila Jamaa Yao Lisu aliyepata kura chache na kupoteza Wabunge 2020 amesema anataka kugombea tena 🤣🤣
Wakati sahihi ukifika watia nia watajitokeza katika kinyan'ganyiro. Mchakato wa kidemokrasia utachukua mkondo wake, hatimaye CDM itampata mgombea wake rasmi.Nani apeperushe bendera ya Chadema Kwa nafasi ya Urais mwakani 2025
Spiiika mstafuu,umemsauu....mzee wa tutau.......Ndugai yupi?
Huyu yupo wapihawa ghasia
Nipo Nyuma Sana. Kumbe naye alihamia CDM?Spiiika mstafuu,umemsauu....mzee wa tutau.......