Maalim Seif alikuwa mwanasiasa wa upinzani ambaye ameleta na kukuza upinzani huko visiwani Zanzibar na inasemakana ameshinda Mara kadhaa ingawa chama tawala hakikuwa tayari kumtangaza kuwa ndiye mshindi.
Jua lilichomoza na Sasa just limezama, Maalim nguvu na pumzi vimemuishia kiasi kwamba Sasa Uchaguzi uliofanyika mwaka ambao alishindwa vibaya kuliko miaka mingine yote, utakuwa Ni Uchaguzi wake wa mwisho kushiriki kinyanganyiro Cha Urais.
Je, ni nani mbadala wake ambaye ataweza kutikisa Kama au kuliko hata Maalim katika siasa za upinzani za Zanzibar?
Jua lilichomoza na Sasa just limezama, Maalim nguvu na pumzi vimemuishia kiasi kwamba Sasa Uchaguzi uliofanyika mwaka ambao alishindwa vibaya kuliko miaka mingine yote, utakuwa Ni Uchaguzi wake wa mwisho kushiriki kinyanganyiro Cha Urais.
Je, ni nani mbadala wake ambaye ataweza kutikisa Kama au kuliko hata Maalim katika siasa za upinzani za Zanzibar?