Nani atakuwa mbadala wa Maalim Seif kwa Siasa za Upinzani upande wa Zanzibar?

Nani atakuwa mbadala wa Maalim Seif kwa Siasa za Upinzani upande wa Zanzibar?

Maalim Seif alikuwa mwanasiasa wa upinzani ambaye ameleta na kukuza upinzani huko visiwani Zanzibar na inasemakana ameshinda Mara kadhaa ingawa chama tawala hakikuwa tayari kumtangaza kuwa ndiye mshindi.

Jua lilichomoza na Sasa just limezama, Maalim nguvu na pumzi vimemuishia kiasi kwamba Sasa Uchaguzi uliofanyika mwaka ambao alishindwa vibaya kuliko miaka mingine yote, utakuwa Ni Uchaguzi wake wa mwisho kushiriki kinyanganyiro Cha Urais.

Je, ni nani mbadala wake ambaye ataweza kutikisa Kama au kuliko hata Maalim katika siasa za upinzani za Zanzibar?
Tanzania kuna upinzani uchwara. Kazi ya upinzani imekuwa kutisha, kupinga, kutukana, kuongea hovyohovyo, siasa za chuki, kutokuaminika, kununuliwa, kutokuwa na msimamo, kutokuwapo kwa ustaarabu na kutia watu hofu.

Approach ya upinzani katika siasa ni mbovu ndiyo maana wanaifanya ccm iwe defensive sikuzote ikiogopa upinzani. Ccm inaamini kwamba upinzani ukichukua madaraka, wale wote waliofanya uovu ndani ya ccm watakwenda ndani na kutaifishwa mali zao. Kwahiyo, ccm haiwezi wapa nafasi upinzani kabisa maana ni threat kwao. Ebu fikirieni, chadema itawale alafu wakina Kikwete, IGP na Magufuli watabaki salama?

Mawazo yangu, Ili upinzani uwepo Tz inabidi ccm igawanyike mara mbili wapingane wenyewe kwa wenyewe kwa ustaarabu.

Sent from my SM-G981B using JamiiForums mobile app
 
Sasahivi mzee anakula na kusaza hapati tabu tena
Hatakama ningekuw mimi lazma ningekubali uteuzi. Kwanza umri umemtupa mkono then hata uhakika wa kushinda huo urais hana , so apige bata tu kwenye v8 ghost
 
Huzijui siasa za Zanzibar, labda ukipata muda wa kukaa na Lipumba muulize atakuelewesha vizuri.

Kama kuna Mtanganyika ambaye angeweza kuwa na influence Zanzibar ni Profesa Lipumba.
Watu wengi humu ni vitoto vya mwaka 95/2000.

Siasa za Zanzibar, ni siasa za damu, dini, utaifa, uarabu, uunguja na upemba.

Agenda yao kubwa ni utaifa.

Watu wanataka nchi yao.
 
Kuna mbinu nyingi zakumlegeza mtu na mojawapo ni kumpelekea ujumbe wa mtu anayemwamini sana.Hebu tuwaze hivi-Wapinzani wote wameweka nguvu katika mataifa ya Magharibi kuwa angalau yanaweza kukemea yaliyotokea katika Uchaguzi.Ghafla Seif anatumiwa ujumbe na balozi wa Marekani kumuelekeza (kwa lugha laini)kuwa ni bora aingie ndani ya seriakli haramu akapaginie anayoyataka ndani ya serikali kuliko kuwa j.Seif anahakikishiwa ya kuwa Marekani bado inam support na ina sympathise naye katika madhila yaliyomkuta.Je,Seif anaweza kukataa ushauri huo?
Nadharia ya pili ni kuwekwa kati na kuambiwa ukweli hasa kama hivi "Mheshimiwa kwa umri wako liwake jua lisiwake jua huwezi kupata U rais wa nchi hii.Pia Mheshimiwa ustawi na usalama wa nchi yetu ni muhimu zaidi kuliko wewe na katika uchaguzi uliopita una makosa makubwa manne ulifanya na ushahidi ni huu hapa (unaweza ukasoma na hata ukachukua kwani nakala zipo nyingi).Ni juu yako kuamua kushirikiana na serikali au la,Tutakuja Jumanne kuchukua majibu au ukiwa tayari tujulishe kwa namba hii hapa"
Kipindi cha Seif ndio kimefikia kikomo,anaingia serikali akiwa amevujika moyo ingawa itabidi aweke tabasamu la plastiki.
Haya ndiyo maisha yetu wanadamu.
Kwa raia wa kawaida kuna wakati tuatakiwa turudi nyuma tuache mambo yaende kama wanavyotaa wakubwa,kupimana nguvu na upepo hakuna faida kwa sasa.
Walio na mawazo tofauti na CCM wataendelea kuwepo na watatfuta njia nyingine ya kuonyesha tofauti zao.

Nilimjibu mwamba mmoja humu nadhani bado ni relevant:

IMG_20201207_132055_767.jpg

IMG_20201207_132118_432.jpg


Hii ikawa bakshish:

Vita sasa mumo mumo, hongera bwana Hamadi,
Walidhani huna kimo, wakuchomeshe mahindi,
Itahitajika Omo, kuusafisha ushindi,
Ndani sasa yuko Sefu, pa kuficha pawe papya!

Haya yote tokea hapa:


Umri Seif umeenda. Tuombeane uzima. Seif ni mwana halisi wa Zanzibar. Hakuna kuu au dogo litakalo ufifisha ukweli huo.
 
hatakama ningekuw mimi lazma ningekubali uteuzi. Kwanza umri umemtupa mkono then hata uhakika wa kushinda huo urais hana , so apige bata tu kwenye v8 ghost
Mandela angekuwa na mawazo kama yako mpk leo SA ingekuwa bado chini ya makaburu
 
Huzijui siasa za Zanzibar, labda ukipata muda wa kukaa na Lipumba muulize atakuelewesha vizuri.

Kama kuna Mtanganyika ambaye angeweza kuwa na influence Zanzibar ni Profesa Lipumba.
Salum Mwalimu ni mbara mkuu?
 
Maalim Seif alikuwa mwanasiasa wa upinzani ambaye ameleta na kukuza upinzani huko visiwani Zanzibar na inasemakana ameshinda Mara kadhaa ingawa chama tawala hakikuwa tayari kumtangaza kuwa ndiye mshindi.

Jua lilichomoza na Sasa just limezama, Maalim nguvu na pumzi vimemuishia kiasi kwamba Sasa Uchaguzi uliofanyika mwaka ambao alishindwa vibaya kuliko miaka mingine yote, utakuwa Ni Uchaguzi wake wa mwisho kushiriki kinyanganyiro Cha Urais.

Je, ni nani mbadala wake ambaye ataweza kutikisa Kama au kuliko hata Maalim katika siasa za upinzani za Zanzibar?
Mm hapa na mkiniunga mkono nitafanya mengi
 
Kuna mbinu nyingi zakumlegeza mtu na mojawapo ni kumpelekea ujumbe wa mtu anayemwamini sana.Hebu tuwaze hivi-Wapinzani wote wameweka nguvu katika mataifa ya Magharibi kuwa angalau yanaweza kukemea yaliyotokea katika Uchaguzi.Ghafla Seif anatumiwa ujumbe na balozi wa Marekani kumuelekeza (kwa lugha laini)kuwa ni bora aingie ndani ya seriakli haramu akapaginie anayoyataka ndani ya serikali kuliko kuwa j.Seif anahakikishiwa ya kuwa Marekani bado inam support na ina sympathise naye katika madhila yaliyomkuta.Je,Seif anaweza kukataa ushauri huo?

Nadharia ya pili ni kuwekwa kati na kuambiwa ukweli hasa kama hivi "Mheshimiwa kwa umri wako liwake jua lisiwake jua huwezi kupata U rais wa nchi hii.Pia Mheshimiwa ustawi na usalama wa nchi yetu ni muhimu zaidi kuliko wewe na katika uchaguzi uliopita una makosa makubwa manne ulifanya na ushahidi ni huu hapa (unaweza ukasoma na hata ukachukua kwani nakala zipo nyingi).Ni juu yako kuamua kushirikiana na serikali au la,Tutakuja Jumanne kuchukua majibu au ukiwa tayari tujulishe kwa namba hii hapa"

Kipindi cha Seif ndio kimefikia kikomo,anaingia serikali akiwa amevujika moyo ingawa itabidi aweke tabasamu la plastiki.
Haya ndiyo maisha yetu wanadamu.
Kwa raia wa kawaida kuna wakati tuatakiwa turudi nyuma tuache mambo yaende kama wanavyotaa wakubwa,kupimana nguvu na upepo hakuna faida kwa sasa.

Walio na mawazo tofauti na CCM wataendelea kuwepo na watatfuta njia nyingine ya kuonyesha tofauti zao.
Noted
 
Back
Top Bottom