Ndiyo itakuwa makubaliano yaoUpinzani ndio umekufa rasmi Zanzibar. Huku bara Zitto anateuliwa viti maalum vya ubunge wa ikulu
Duuuuhhh, sawaCHADEMA wanaitamani sana Zenji ila wapemba na wachaga hawawezi kaa zizi moja, wote wabinafsi na wakabila hivyo msitegemee kupata chochote huko.
Very trueHakuna aliyekuwa mpinzani mwenye mvuto na ushawishi kwa wazanzibar kama huyu mzee.
Wazanzibar wamejenga imani na mtu huyu miaka sasa, hivyo kwa upande wangu naona atatafuta tu mbinu mbadala kuwaridhisha na ili imani yao kwake ibaki , japo haitakuwa kama hapo awali
Hivyo Seif naona bado ni mpinzani uchwara kama kawaida yake.
#jr
Sasahivi mzee anakula na kusaza hapati tabu tenaHakuna aliyekuwa mpinzani mwenye mvuto na ushawishi kwa wazanzibar kama huyu mzee.
Wazanzibar wamejenga imani na mtu huyu miaka sasa, hivyo kwa upande wangu naona atatafuta tu mbinu mbadala kuwaridhisha na ili imani yao kwake ibaki , japo haitakuwa kama hapo awali
Hivyo Seif naona bado ni mpinzani uchwara kama kawaida yake.
#jr
Kwani yeye kashift chama?Maalim Seif alikuwa mwanasiasa wa upinzani ambaye ameleta na kukuza upinzani huko visiwani Zanzibar na inasemakana ameshinda Mara kadhaa ingawa chama tawala hakikuwa tayari kumtangaza kuwa ndiye mshindi.
Jua lilichomoza na Sasa just limezama, Maalim nguvu na pumzi vimemuishia kiasi kwamba Sasa Uchaguzi uliofanyika mwaka ambao alishindwa vibaya kuliko miaka mingine yote, utakuwa Ni Uchaguzi wake wa mwisho kushiriki kinyanganyiro Cha Urais.
Je, ni nani mbadala wake ambaye ataweza kutikisa Kama au kuliko hata Maalim katika siasa za upinzani za Zanzibar?
Heche ni Mchaga,bulaya ni Mchaga,sugu ni Mchaga,Prof Safari ni Mchaga.? Chuki dhidi ya wachaga imeongezeka sana kipindi hiki.Social-cultural backround imewafikisha hapo walipo (Wachaga na wasambaa wa milimani wana hali almost sawa-Baridi kali,kufikiwa na wazungu mapema,shule za mwanzo lakini wasambaa wako nyuma mno ukilinganisha na wachaga.)CHADEMA wanaitamani sana Zenji ila wapemba na wachaga hawawezi kaa zizi moja, wote wabinafsi na wakabila hivyo msitegemee kupata chochote huko.
Kuna mbinu nyingi zakumlegeza mtu na mojawapo ni kumpelekea ujumbe wa mtu anayemwamini sana.Hebu tuwaze hivi-Wapinzani wote wameweka nguvu katika mataifa ya Magharibi kuwa angalau yanaweza kukemea yaliyotokea katika Uchaguzi.Ghafla Seif anatumiwa ujumbe na balozi wa Marekani kumuelekeza (kwa lugha laini)kuwa ni bora aingie ndani ya seriakli haramu akapaginie anayoyataka ndani ya serikali kuliko kuwa j.Seif anahakikishiwa ya kuwa Marekani bado inam support na ina sympathise naye katika madhila yaliyomkuta.Je,Seif anaweza kukataa ushauri huo?Hakuna aliyekuwa mpinzani mwenye mvuto na ushawishi kwa wazanzibar kama huyu mzee.
Wazanzibar wamejenga imani na mtu huyu miaka sasa, hivyo kwa upande wangu naona atatafuta tu mbinu mbadala kuwaridhisha na ili imani yao kwake ibaki , japo haitakuwa kama hapo awali
Hivyo Seif naona bado ni mpinzani uchwara kama kawaida yake.
#jr
Huzijui siasa za Zanzibar, labda ukipata muda wa kukaa na Lipumba muulize atakuelewesha vizuri.Ni zamu ya CHADEMA kuweka mizizi visiwa, naona kama Salum Mwalimu wa CHADEMA anaweza.
Fatma KarumeMaalim Seif alikuwa mwanasiasa wa upinzani ambaye ameleta na kukuza upinzani huko visiwani Zanzibar na inasemakana ameshinda Mara kadhaa ingawa chama tawala hakikuwa tayari kumtangaza kuwa ndiye mshindi.
Jua lilichomoza na Sasa just limezama, Maalim nguvu na pumzi vimemuishia kiasi kwamba Sasa Uchaguzi uliofanyika mwaka ambao alishindwa vibaya kuliko miaka mingine yote, utakuwa Ni Uchaguzi wake wa mwisho kushiriki kinyanganyiro Cha Urais.
Je, ni nani mbadala wake ambaye ataweza kutikisa Kama au kuliko hata Maalim katika siasa za upinzani za Zanzibar?