pangalashaba
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 1,301
- 1,579
Huyo tunajua akili zake wala usipoteze muda wako!Nigga umesoma hizo statistics au ume jibu kishabiki?
Kwahiyo kazi ya kiungo ni kutoa asist peke yake tu!?Kwani ni washambuliaji? hapa tunajadili viungo na sio washambuliaji!
Weakest pointKwani ni washambuliaji? hapa tunajadili viungo na sio washambuliaji!
Naona unaleta siasa hapa!!Tukiacha ushabiki KDB yuko vizuri sana kuanzia uchezeshaji,usaidizi,nidhamu na hata ufungaji magoli pia.
Ili km ni ushabiki nafikiri Pogba atashinda maana washabiki wa Man U huwa hawakubali ukweli wala kushindwa.
Basi ndyo maana unasema gaucho ni nomaPogba aka sizonje yuko juu sn sn
Ndio maana nikasema "primary roles" yaani kuchezesha timu na kuassist!Kwahiyo kazi ya kiungo ni kutoa asist peke yake tu!?
Nimekujibu kutokana na post yako uliyoweka, wewe ulisema kiungo kazi yake ni kutoa assist, nikakuwekea viungo ambao kutokana na umahiri wao wengi huwasema ni legends, umebadili mwelekeo na kukubali kwamba sio lazima kiungo atoe tu assist anaweza akawa na role nyingineTwende taratibu utaelewa!!
Akina makelele walikua ni holding midfield na mara nyingi walikua nyuma kusaidia ulinzi...
Huwezi walinganisha na akina pogba na de brune ambao wako nyuma ya washambuliaji wa timu...na hawa kazi yao kubwa ni ku assist na kuchezesha timu!
Na ndio maana tunamlinganisha pogba na de brune na sio pobga na makelele!
Ukileta data utagundua kuwa ozil ana assist nyingi kuliko xavi but who was the best?Naona unaleta siasa hapa!!
Weka data data mezani twende sawa sio unabwabwaja tu!
Acha kumfananisha debruyne na takataka
Paul Scholes ni mmoja wapo wa viungo bora kuwahi kucheza premier league, inawezekana akawa bora kuliko viungo wote waliowahi kucheza ligi hii, katika career yake alianza kucheza msimu wa mwaka 1994/1995 mpaka 2012/2013, Jumla ya mechi 499. Alifanikiwa kutoa assist 55 tu kwa wastani tunaweza kusema ni assists 0.11 kwa msimu mmoja, yani kwenye msimu mmoja ametoa assist chini ya 1.Unajua hao viungo ulio wataja walikua wanacheza namba ngapi mkuu?
Je unajua Pogba na De brune wanacheza namba ngapi?
Majukumu ya attacking midfield na defencive midfield yako sawa kweli? naona kama unalinganisha visivyolingana mkuu...
Na tukimtaja morata au lukaku au benzema basi primary role zao ni kufunga na sio kuchezesha timu!
Paul Pogba, Manchester United: 13 appearances 9assist
Neymar, Paris Saint-Germain: 14 appearances
Philipp Max, FC Augsburg: 18 appearances
Pione Sisto, Celta Vigo: 19 appearances
Leroy Sane, Manchester City: 21 appearances
Kevin De Bruyne, Manchester City: 23 appearances 9assist
Sababu?
Uko sahihi. Ila bado hizi data zina mbeba pogba...... Tena kwa kiwango kikubwa tu!Tuweke kila kitu objectively hapa
Paul Pogba:
View attachment 678300
View attachment 678301
KEVIN DE BRUYNE:
View attachment 678303
View attachment 678304
Hizo ni official statistics kutoka
Premier League Football News, Fixtures, Scores & Results
Weka data mkuu acha mihemko.Ukiacha idadi ya magori, hata kwenye passes accuracy utaona kuwa De Bruyne yupo juu zaidi ya Pogba.
Kwa kutumia mihemko uko sahihi ila kwa kutumia data uko very wrong.KDB ni noma albino wa kizungu anaejua mpira sana
POGBA ni namba mbili baada ya KDB
Ka google umri wao mkuu usiwe mvivu!! Ukipata jibu uje ufute ulichoandika hapaKDB√ 100% japo ni mdogo kwa Pogba hana utoto wa kipuuzi puuzi. Hana tattoo, style moja ya nywele. Soka lake linaeleweka