Nani bora kati ya Paul Pogba na Kevin De Bruyne?

Nani bora kati ya Paul Pogba na Kevin De Bruyne?

Tukiacha ushabiki KDB yuko vizuri sana kuanzia uchezeshaji,usaidizi,nidhamu na hata ufungaji magoli pia.
Ili km ni ushabiki nafikiri Pogba atashinda maana washabiki wa Man U huwa hawakubali ukweli wala kushindwa.
 
Tukiacha ushabiki KDB yuko vizuri sana kuanzia uchezeshaji,usaidizi,nidhamu na hata ufungaji magoli pia.
Ili km ni ushabiki nafikiri Pogba atashinda maana washabiki wa Man U huwa hawakubali ukweli wala kushindwa.
Naona unaleta siasa hapa!!

Weka data data mezani twende sawa sio unabwabwaja tu!
 
Tuweke kila kitu objectively hapa

Paul Pogba:

Screen Shot 2018-01-17 at 10.39.19 PM.png

Screen Shot 2018-01-17 at 10.39.32 PM.png




KEVIN DE BRUYNE:
Screen Shot 2018-01-17 at 10.40.19 PM.png


Screen Shot 2018-01-17 at 10.40.32 PM.png


Hizo ni official statistics kutoka
Premier League Football News, Fixtures, Scores & Results
 
Twende taratibu utaelewa!!

Akina makelele walikua ni holding midfield na mara nyingi walikua nyuma kusaidia ulinzi...

Huwezi walinganisha na akina pogba na de brune ambao wako nyuma ya washambuliaji wa timu...na hawa kazi yao kubwa ni ku assist na kuchezesha timu!

Na ndio maana tunamlinganisha pogba na de brune na sio pobga na makelele!
Nimekujibu kutokana na post yako uliyoweka, wewe ulisema kiungo kazi yake ni kutoa assist, nikakuwekea viungo ambao kutokana na umahiri wao wengi huwasema ni legends, umebadili mwelekeo na kukubali kwamba sio lazima kiungo atoe tu assist anaweza akawa na role nyingine
 
KDB ni noma albino wa kizungu anaejua mpira sana
POGBA ni namba mbili baada ya KDB
 
Unajua hao viungo ulio wataja walikua wanacheza namba ngapi mkuu?

Je unajua Pogba na De brune wanacheza namba ngapi?

Majukumu ya attacking midfield na defencive midfield yako sawa kweli? naona kama unalinganisha visivyolingana mkuu...


Na tukimtaja morata au lukaku au benzema basi primary role zao ni kufunga na sio kuchezesha timu!
Paul Scholes ni mmoja wapo wa viungo bora kuwahi kucheza premier league, inawezekana akawa bora kuliko viungo wote waliowahi kucheza ligi hii, katika career yake alianza kucheza msimu wa mwaka 1994/1995 mpaka 2012/2013, Jumla ya mechi 499. Alifanikiwa kutoa assist 55 tu kwa wastani tunaweza kusema ni assists 0.11 kwa msimu mmoja, yani kwenye msimu mmoja ametoa assist chini ya 1.

Sasa kwa kuwa tunaangalia tu namba ya assist inawezekana akawa ni mojawapo wa vilaza kabisa katika mchezo huu wa mpira wa miguu, yani hastahili kupewa heshima yoyote.

Lakini magwiji wengi wa soka wanameshimu huyu jamaa, inamaana wamekosea? Umewahi kumuona akiwa uwanjani ?
 
Paul Pogba, Manchester United: 13 appearances 9assist
Neymar, Paris Saint-Germain: 14 appearances
Philipp Max, FC Augsburg: 18 appearances
Pione Sisto, Celta Vigo: 19 appearances
Leroy Sane, Manchester City: 21 appearances
Kevin De Bruyne, Manchester City: 23 appearances 9assist

Upo sahihi kabisa Mkuu ndo maana nikasema wanalingana assists ila Pogba yuko nyuma mechi kumi ndo utaona kwamba Pogba ni best play maker kuliko KDB
 
Back
Top Bottom